machine

A machine (or mechanical device) is a mechanical structure that uses power to apply forces and control movement to perform an intended action. Machines can be driven by animals and people, by natural forces such as wind and water, and by chemical, thermal, or electrical power, and include a system of mechanisms that shape the actuator input to achieve a specific application of output forces and movement. They can also include computers and sensors that monitor performance and plan movement, often called mechanical systems.
Renaissance natural philosophers identified six simple machines which were the elementary devices that put a load into motion, and calculated the ratio of output force to input force, known today as mechanical advantage.Modern machines are complex systems that consist of structural elements, mechanisms and control components and include interfaces for convenient use. Examples include a wide range of vehicles, such as automobiles, boats and airplanes, appliances in the home and office, including computers, building air handling and water handling systems, as well as farm machinery, machine tools and factory automation systems and robots.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    EFD machine imeandika full FM. Naomba mwenye utaalamu anisaidie

    Niliiingia chaka nikajiunga na maximalipo kwa kununua machine yao na ku deposit 500000. Muda si mrefu kampuni imefilisika, hawapokei simu na wala sijui namna ya kupata pesa yangu. Wiki iliyopita EFD machine imeandika full FM na nilipomuuliza dealer akaniambai Fiscal memory imejaa huna jinsi...
  2. Wapi nitaipata wine bottle corker machine?

    Wakuu nawasalimu! Tafadhali kama unajua duka (Dar es salaam ama Dodoma) ambalo naweza kununua hii mashine ya kuzibia chupa za mvinyo (wine) ambayo kwa Kiingereza wanaiita 'wine bottle corker machine' (pichani) naomba unifahamishe. Nahitaji moja tu kwa ajili ya shughuli zangu nyumbani.
  3. Serikali inakusanyaje kodi katika zile mashine za Kichina za kamali?

    Wadau kuna hizi machine za kamali za wachina zimetapakaa kila Kona ya mijinI hadi vijijini na wenyewe utawakuta na harrier na Krueger wanakusanya hela. Je, hizi mashine Serikali wanapataje mapato yao na zinaingizwaje nchini na zina usimamizi gani wa Serikali maana hawa jamaa wanapata hela...
  4. INAUZWA 4core power and machine company limited

    4CORE POWER AND MACHINE COMPANY LIMITED We dealing with:- ■Generator ☆Selling generator Used and New ☆Preventive and Breakdown maintenances ☆Generator installation ■Air Compressor ☆Selling Air compressor Used and New ☆Preventive and Breakdown maintenances ☆Air compressor installation ■Machine...
  5. 4core power and Machine company Limited

    Are you a victim of a frequent power outage at your office, factory, workshop, or home like the rest of us ? If the answer is YES! then you must be looking for a reliable, budget-friendly and pollution-free alternative solution to a frequent power outage problem. Meet the team of...
  6. Ni mashine gani ambayo ukiipata itafungua njia zako za kibiashara?

    Kila mtu ana ndoto ya kuwa na mradi mkubwa wa biashara. Lakini lazima tukubali ili ufike sehemu lazima uanzie somewhere. Kwa wajasiriamali wengi huwa tunatamani ukipata mashine au kifaa fulani basi itakufungulia milango na kukusogeza sehemu kuzifikia ndogo zako. Mimi moja ya mashine...
  7. Guardiola the machine

    Absolutely amazing scenes at the Etihad. Last time I saw this was at the same Etihad in 2012 And yesterday I couldn't resist my tears after observing Gudiola in tears. Actually it was my first time to see This Spanish dude in that situation. And then where are they those morons used to...
  8. J

    photocopy machine nzuri

    naomba kujua photocopy machine( black and white) all in one nzuri ambayo ni heavy duty kwa stationery ya kuanzia m1 to m3 used but in good condition
  9. INAUZWA Brand new ice cream machine

    2 Tanks (6litre each) 2,499,000Tsh 0673206639 Tupo kariakoo, Aggrey street.
  10. V

    INAUZWA Blood Pressure machine for sale

    Nauza digital blood pressure machine iko katika hali nzuri sana. Bei sh 140000.00 mazungumzo yako. Punguza gharama za kwenda kucheck BP kwenye clinic .simu 0712652110
  11. Uzi maalumu wa Co2 laser engraving machine, ushauri, msaada, vipuri, utengenezaji

    Kwa wale wote wanaomiliki au ku operate machine tajwa hapo juu, basi karibuni sana nimefungua uzi huu mahsusi kabisa kuwakutanisha watumiaji wa machine hizo, lengo ni kukabiliana na changamoto mbalimbali kwenye uendeshaji na utunzaji wa hizo machines. Kuna baadhi ya watu waliagiza machine hizo...
  12. Perpetual motion machine

    Perpetual motion machine; can we create one Katika pitapita zangu kwenye vitabu namekutana na hiki kitu perpetual motion, ambacho wanadai mpaka saiv ni theoritical Yan haiwezekan practically coz inaviolet some laws of physics. But nkajiuliza are there already laws which are set for everything on...
  13. INAUZWA Jiunge na Dirm VFD uokoe 50% ya EFD machine, ni bora, salama kisasa zaidi

    HABARI NJEMA... katika kipindi hiki cha kufunga na kuanza mwaka mpya, na kufanyiwa makadilio ya kodi za TRA, ninayo furaha kubwa kukujuza wewe Mfanyabiashara kuwa unaweza kuokoa mpaka 50% ya garama za kununua mashine za EFD endapo utajiunga na mfumo wa Dirm VFD ambao ni mbadala wa EFD machine...
  14. Rais Samia, baada ya madarasa kituo kinachofuata kiwe vifaa tiba vya msingi kama mashine za Ultrasound, Haematology, Analyserachine na X-ray

    Kukosekana kwa vifaa hivi kwenye vituo vya afya vingi imekuwa changamoto kubwa kwa matibabu Ushauri baada ya kufanya vizur kwenye madarasa sasa nguvu ihamishie huko pia kuna vituo vingi vikubwa vya afya vyenye hadhi ya kuwa na vipimo hivyo lakini havina hali inayo pelekea wangonjwa kusafiri 20...
  15. Calculations za VAT kupitia EFD machine

    Habari wakuu! Naomba kuelimishwa kidogo, nataka kufanya biashara na Supermarket moja hapa jijini Dar, wameahidi kuchukua mzigo mkubwa iwapo ntakuwa namiliki risiti za EFD kwaajili ya VAT. Kwa lengo wakati nawauzia basi niwatolee hiyo electronic receipt. Sasa naomba ushauri je kumiliki hicho...
  16. T

    Natafuta machine mpya ya kutengeneza juice ya miwa

    Habari ya mwaka mpya wakuu, mwaka wa 2022. nawatakia kila la heri yote, sasa natafuta machine ya kutengeneza juice ya miwa, machine mpya, ni wapi naweza inunua au ni wapi naweza enda kuangiza moja, nasikia hata VETA wanauda machine aa hizo, naomba ushauri wenu waku, natangulia shukrani zangu
  17. INAUZWA Nauza Printer Epson L805 na Photocopy machine Ricoh MP 2000 L2

    Nauza Printer Epson L805 imetumika mwaka mmoja tu. Inaprint sticker na picture vizuri na haibaguwi karatasi. Pia inaprint CD. Printer hii haina tatizo lolote kabisa. Inapatikana Mwanza Nyamagana Barabara ya Balewa karibu na Nyanza Shule ya Msingi. Bei ni 350,000 Tsh. Picture zake ziko chini...
  18. N

    INAUZWA Mashine ya kuhesabia hela (Money counter machine)

    Mashine ya kuhesabia Hela bei ya offer 330,000/= Free delivery Condition: New Tupigie 0745146690 / 0656190449 Ofisi yetu ipo Kinondoni Studio CHRISTMAS OFFER
  19. R

    Nahitaji ps4 machine

    Hello.. nina hitaji ps4 used,mwenye ako nayo au kuuza nicheki kwa 0622902768 mhusika awe mwanza..nipo mwanza pia.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…