Umoja wa Madaktari nchini Uganda (UMA) wamepinga suala la kulazimisha watumishi wa Afya na raia kupatiwa chanjo ya COVID19 kilazima. Wametahadharisha kuwa yatakapotokea matokeo yoyote serikali itawajibika.
Uganda imepata upinzani hata kwa wahudumu wa Afya ambao hawajawa tayari kuchoma chanjo...
WANAOFAIDI KEKI YA TAIFA
Na Thadei Ole Mushi.
Kwa Mwezi anapokea Milioni 11,000,000
Kwa mwaka atapokea 132,000,000
Kwa miaka mitano atapokea Jumla 660,0000
Huu ni mshahara tu hujaweka kiinua Mgongo, bado Sitting allowance, bado Posho mbalimbali nk. Tuachane na mawaziri na manaibu waziri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.