Unaweza kusema mafanikio ni kuwa na maisha mazuri, kwa mfano, kuwa na Biashra au kazi nzuri yenye
Kipato kikubwa, kumiliki nyumba nzuri pamoja na magari ya kifahari nk,
Swali langu ni je? kwa mtu anayefanya shughuli zisizo halali kama vile ujambazi au ufisadi na anamiliki nyumba
nzuri, magari...