1. Muda. Pesa haiwezi kununua muda uliopoteza.
2. Uzoefu wa kihisia.(Furaha,huzuni,vifijo, nderemo,shangwe,hofu, ukumbusho)
3. Muunganiko wa kweli-Watu wanaokujali au kukukubali pasipo fidia ya chochote.
4. Afya. Unaweza kwenda kwa madaktari bingwa na wazuri lakini juhudi zako binafsi pekee...