RC wa Mbeya, Juma Homera amewashauri wanaume wenye matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume kuacha kutumia dawa za kienyeji kuongeza nguvu hizo akidai dawa hizo zina madhara na badala yake watumie maharagwe aina ya Jesca
Nimekuwa mjini muda mrefu sana
Nimeona kukaa mjini hailipi
Napanga niende kijijini nikalime
Niepukane na matozo ya serikali ambayo yanaletwa kila uchao
Niko kanda ya ziwa
Unanishauri nihamie wapi ambapo naweza kufanya kilimo cha mahindi karanga mahindi maharage na mpunga
Na nikafanikiwa...
Niko wilaya ya kwimba napenda kujua kama maharage yanaweza kusitawi vizuri kwenye udongo mweusi (mfinyanzi) maana ninaeneo la aina hiyo na liko karibu na chanzo Cha maji.
Naomba ushauri wako.
Miaka mitatu nyuma nimewahi fanya kazi na wazungu fulani toka Uingereza ya kununua karanga, tulipomaliza waliondoka, last week walinichek wanataka haya maharage.
Wao hawataki kuja huku, wanataka tani na tani za haya maharage baada ni biashara endelevu.
Kwa hiyo natafuta mbia mwenye mtaji...
Wakuu heshima zenu
Mimi ni mkazi wa Dar ...niko Arusha nikifatilia soko la maharage ya njano aina ya GOROLI.....lengo ni kununua maharage Arusha na kuuza Dar
Watalamu naomba kujua changamoto za hii biashara.
Natanguliza shukrani.
Mimi ni mfanyabiashara chipukizi, napatikana Tanga. Natafuta wanunuzi wa zao la ngwara au fiwi jamii ya maharage na choroko.
Nina gunia zisizo pungua 8 store. Pia itapendeza kupata mawasiliano au kujua trend ya bei ya zao hili sokoni hususani kwa mkoa wa Arusha.
Naona bora niingie shamba tu akili yangu ilipofikia.
Nataka kuingia kwenye kilimo cha maharagwe Arusha. Je, ni njia zipi zitahitajika kupitia kilimo hiki? Faida, hasara! Angalizi. Mahitaji, Eneo, Na vinginevyo. Kabla sijaanzishaa.
Naombeni mawazo yenu wapendwa
Ubalozi wa China nchini Tanzania umetangaza makampuni 49 ya Tanzania yaliyoruhusiwa kuuza maharage soya nchini China.
Hatua hiyo ya Mamlaka ya forodha kuruhusu maharage soya ni fursa kwa wakulima wa Tanzania kwa kuwa sasa wana soko la uhakika.
Mazao jamii ya maharage ni maharage, kunde, choroko, mbaazi, njugumawe nk. Kutokana na idadi ya wasio kula nyama duniani kuongezeka soko la mazao haya limeongezeka sana. Mazao haya hutumiwa na watu wa dini na race zote.
Licha ya mabara mengi kuwa watumiaji wazuri wa mazao haya, Afrika ya...
Maharage ni miongoni mwa nafaka zinazotumika sana Tanzania, tafsri yake soko lake lipo, kuna aina nyingi za maaharage, lakini maharage maarufu na yenye soko ni maharage ya njano, ni mikoa gani na wilaya zipi yanalimwa maharage ya njano.
Habari wanajamvi.
Mimi ni mkulima wa maharage ila changamoto kubwa sana ninayokutana nayo ni uharibifu mkubwa unaofanywa na ndege wanaoshabulia majani ya mimea wakati ikiwa michanga.
Hawa ndege ni wa rangi ya brown, wana mkia mrefu na kichwani wana kichungi. Kweli wananiharibia sana kiasi cha...
Wadau kama kichwa cha habari kinavojieleza, nina kama gunia 30. Naomba mwenye kujua dawa nzuri ya kuhifazia maharage anijuze kwani nahitaji kuyaweka kama miezi minne..
Najua wajuvi mnaodili ni hili zao mpo.
Natanguliza shukrani kwenu
Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali, ambalo jibu lake rasmi litapatikana baada ya October 28, 2020, ila kama una majibu, unaweza kuchangia kujibu na sio lazima tusubiri hadi hiyo October 2020.
Angalizo:
Naomba kuanza hili bandiko na angalizo la mawazo masafi, tusome bandiko hili tukiwa na...
Maharage ni zao jamii ya mikunde ambalo hulimwa kwa ajili ya kuliwa kama mboga au futari linaweza kama maharage mabichi au maharage makavu. Pia majani yake mni chakula cha mifugo na yanatumika pia kama mboga kwa binadamu. Katika ekari moja unaweza kupata Kg 600 hadi 1200 za maharage.
Maharage...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.