maharage

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Idugunde

    RC Homera: Kuleni Maharagwe aina ya Jesca muongeze nguvu za kiume

    RC wa Mbeya, Juma Homera amewashauri wanaume wenye matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume kuacha kutumia dawa za kienyeji kuongeza nguvu hizo akidai dawa hizo zina madhara na badala yake watumie maharagwe aina ya Jesca
  2. msigazi

    Wapi naweza kufanya kilimo cha mahindi karanga mahindi maharage na mpunga?

    Nimekuwa mjini muda mrefu sana Nimeona kukaa mjini hailipi Napanga niende kijijini nikalime Niepukane na matozo ya serikali ambayo yanaletwa kila uchao Niko kanda ya ziwa Unanishauri nihamie wapi ambapo naweza kufanya kilimo cha mahindi karanga mahindi maharage na mpunga Na nikafanikiwa...
  3. concordile 101

    Nauza maharage ya njano-Dar

    Nauza maharage ya njano, yapo Dar kwa bei ya 1650 kwa bei ya jumla. Ya yale gololi ndogo. Mawasiliano 0657561168
  4. Jkitamoga

    Naomba ushauri kuhusu kilimo Cha maharage Wilayani Kwimba

    Niko wilaya ya kwimba napenda kujua kama maharage yanaweza kusitawi vizuri kwenye udongo mweusi (mfinyanzi) maana ninaeneo la aina hiyo na liko karibu na chanzo Cha maji. Naomba ushauri wako.
  5. nyamatingo

    Natafufa aina hii ya maharage

    Yoyote mwenye aina hii ya maharage. Yaliyovunwa kuanzia mwezi wa 6. Anitafute kwa namba 0687575502.
  6. A love

    Biashara ya maharage

    Habari zenu, kwa wale wafanyabiashara wa maharage, mnatumia nini kupima maharage mnapouza kwa wazaji wa rejareja?
  7. Chimulenge

    Nina soko Uingereza la maharage haya natafuta patner mwenye mtaji

    Miaka mitatu nyuma nimewahi fanya kazi na wazungu fulani toka Uingereza ya kununua karanga, tulipomaliza waliondoka, last week walinichek wanataka haya maharage. Wao hawataki kuja huku, wanataka tani na tani za haya maharage baada ni biashara endelevu. Kwa hiyo natafuta mbia mwenye mtaji...
  8. Tony Yeyo

    Biashara ya maharage ya njano

    Wakuu heshima zenu Mimi ni mkazi wa Dar ...niko Arusha nikifatilia soko la maharage ya njano aina ya GOROLI.....lengo ni kununua maharage Arusha na kuuza Dar Watalamu naomba kujua changamoto za hii biashara. Natanguliza shukrani.
  9. YONA RAPHAEL

    Nahitaji kujua lilipo soko la zao la ngwara / fiwi jamii ya maharage

    Mimi ni mfanyabiashara chipukizi, napatikana Tanga. Natafuta wanunuzi wa zao la ngwara au fiwi jamii ya maharage na choroko. Nina gunia zisizo pungua 8 store. Pia itapendeza kupata mawasiliano au kujua trend ya bei ya zao hili sokoni hususani kwa mkoa wa Arusha.
  10. buyoya419

    Nataka kuanza Kilimo cha Maharage

    Naona bora niingie shamba tu akili yangu ilipofikia. Nataka kuingia kwenye kilimo cha maharagwe Arusha. Je, ni njia zipi zitahitajika kupitia kilimo hiki? Faida, hasara! Angalizi. Mahitaji, Eneo, Na vinginevyo. Kabla sijaanzishaa. Naombeni mawazo yenu wapendwa
  11. Analogia Malenga

    Makampuni 49 ya Tanzania yaruhusiwa kuuza maharage soya China

    Ubalozi wa China nchini Tanzania umetangaza makampuni 49 ya Tanzania yaliyoruhusiwa kuuza maharage soya nchini China. Hatua hiyo ya Mamlaka ya forodha kuruhusu maharage soya ni fursa kwa wakulima wa Tanzania kwa kuwa sasa wana soko la uhakika.
  12. Sky Eclat

    Mazao jamii ya maharage ni fursa nzuri ya biashara

    Mazao jamii ya maharage ni maharage, kunde, choroko, mbaazi, njugumawe nk. Kutokana na idadi ya wasio kula nyama duniani kuongezeka soko la mazao haya limeongezeka sana. Mazao haya hutumiwa na watu wa dini na race zote. Licha ya mabara mengi kuwa watumiaji wazuri wa mazao haya, Afrika ya...
  13. M

    Wapi yanalimwa maharage ya njano?

    Maharage ni miongoni mwa nafaka zinazotumika sana Tanzania, tafsri yake soko lake lipo, kuna aina nyingi za maaharage, lakini maharage maarufu na yenye soko ni maharage ya njano, ni mikoa gani na wilaya zipi yanalimwa maharage ya njano.
  14. Ngorunde

    Msaada: Jinsi ya kudhibiti ndege waharibifu kilimo cha maharage

    Habari wanajamvi. Mimi ni mkulima wa maharage ila changamoto kubwa sana ninayokutana nayo ni uharibifu mkubwa unaofanywa na ndege wanaoshabulia majani ya mimea wakati ikiwa michanga. Hawa ndege ni wa rangi ya brown, wana mkia mrefu na kichwani wana kichungi. Kweli wananiharibia sana kiasi cha...
  15. Superbug

    Nimetafuna mende mwenye yai nyuma kwenye maharage nimependa ladha yake

    Nilijua nitatapika ila kiukweli nimeinjoi Sana nimefurahishwa na ladha yake japo nilimtafuna kwa bahati mbaya nimeridhika na ladha yake.
  16. Feld Marshal Tantawi

    Dawa gani ni nzuri ya kuhifadhia maharage

    Wadau kama kichwa cha habari kinavojieleza, nina kama gunia 30. Naomba mwenye kujua dawa nzuri ya kuhifazia maharage anijuze kwani nahitaji kuyaweka kama miezi minne.. Najua wajuvi mnaodili ni hili zao mpo. Natanguliza shukrani kwenu
  17. Pascal Mayalla

    "Maharage ya Mbeya maji mara moja" ni kauli ya kweli? Ni kwenye maharage tu au hadi kwa wanambeya? Kama kauli huumba, Jibu sahihi ni Oktoba 2020!

    Wanabodi, Hili ni bandiko la swali, ambalo jibu lake rasmi litapatikana baada ya October 28, 2020, ila kama una majibu, unaweza kuchangia kujibu na sio lazima tusubiri hadi hiyo October 2020. Angalizo: Naomba kuanza hili bandiko na angalizo la mawazo masafi, tusome bandiko hili tukiwa na...
  18. Informer

    Kilimo cha Maharage: Mbinu za kulima, Ushauri na Masoko yake

    Maharage ni zao jamii ya mikunde ambalo hulimwa kwa ajili ya kuliwa kama mboga au futari linaweza kama maharage mabichi au maharage makavu. Pia majani yake mni chakula cha mifugo na yanatumika pia kama mboga kwa binadamu. Katika ekari moja unaweza kupata Kg 600 hadi 1200 za maharage. Maharage...
Back
Top Bottom