Nataka nije nitoe mahari kwenu, nitajie mahari yako
Najua kila mmoja anamuhitaji mwenzake, kwa kifupi tunahitajiana.
Haya mambo ya kumfanya mwingine agharamike sana, ili aonekane ndio muhitaji sana katika mahusiano, hayana maana; kwa kifupi tunahitajiana.
Nimekupenda wewe pisi kali unaetembea...