maishani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. 101 East

    Ni level gani ya elimu imekupa marafiki?

    Ni level gani ya elimu imekupa marafiki ambao umedumu nao hadi leo, kati ya 1. Primary 2. Secondary 3. A level 4. Chuo 5. Kitaa
  2. GENTAMYCINE

    Je, ufanye nini kwa waliokuwa wakikudharau, wakikucheka, wakikusanifu na kufurahia mapito yako maishani pale mwenyezi mungu akikubariki kuwazidi?

    Je, 1. Uwalipizie Kisasi? 2. Uwasamehe na ikibidi Uwasaidie baadhi yao? 3. Uwafanyie Kufuru ya Kimatumizi? 4. Kama ni Wanaume basi kwa Makusudi utembee / ulale na Wake zao? 5. Kama ni Wanawake basi Ulale nao ( Uwakaze ) bila Huruma? 6. Uwatambie kwa Kuwakera 7. Unyamaze, utumie muda wako mwingi...
  3. A

    Visa na matukio (adventures) binafsi niliopitia maishani

    Binadam tunapitia mengi sana maishani. Yanaweza yakawa ya kila namna, mazuri au mabaya. Yapo yakusikitisha, kufurahisha, maudhi, kutisha, kufurahia na kuchukia lakini mwisho wa siku yanabaki kua ni (adventure) au hadithi ya maisha (kwa sauti ya mzee Rukhsa). Tajitahidi kuweka katika kila post...
  4. Teslarati

    Maishani mwangu hamna watu ninaowadharau zaidi ya wanaume wenzangu wasiohudumia watoto wao

    Kwanza huwezi kuwa hauhudumii mtoto wako na ukajiita mwanaume, wewe ni mvulana bado. Yaani kama hujafikia level ya kuwa responsible kwa outcomes za matendo yako ikiwemo kidinya papuchi wewe huna sifa za kuwa mwanaume kamwe. Hapa siongelei wanaume wanaojua kwamba wamesingiziwa watoto lkn wale...
  5. matunduizi

    Faida 04 za kijana kuoa ukiwa na miaka 20

    Ukomavu wa utu uzima unaanza mtu akifikisha miaka 20. Utu uzima unaanza akifikisha miaka 13. Kimsingi mwenyezi Mungu hatambui kitu mnachokiita Teenagers/Adolescents au foolishage. Miaka 13~19 ni mtu mzima anayejianaa kuoa akihitimu 20s. Ziko faida nyingi wazazi wakiwaandaa vijana wao kukomaa...
  6. KikulachoChako

    Uliwezaje kuzivuka changamoto na magumu uliyopitia maishani?

    Habari za muda huu ndugu zanguni. Maishani mwetu wakati mwingine hutokeza changamoto na magumu mbali mbali yanayotukabili na kukabiliana nayo. Changamoto za kimaisha na magumu kwenye harakati za maisha wakati fulani hutufanya kuvunjika mioyo na kuona kama dunia imekuelemea. Lakini nyakati...
  7. Mhaya

    Sijawahi kuchanganyikiwa maishani mwangu namna hii

    Wanaume wawili walikutana kwenye kituo cha basi na wakawa na mazungumzo. Mmoja wao aliendelea kulalamika kuhusu matatizo ya familia yake. Hatimaye yule mtu mwingine wa pili akasema, “unafikiri unayo matatizo ya kifamilia? Sikiliza hali yangu." "Miaka michache iliyopita nilikutana na mjane...
  8. M

    Tukio gani lilitokea maishani likabadilisha mtazamo na imani yako?

    Nilipokuwa mdogo, miaka kadhaa iliyopita nilipoteza kamera ya rafiki yangu mmoja aliyekuja kututembelea nyumbani kwetu. Nilikuwa bado mwanafunzi nikiishi pamoja na wazazi. Rafiki huyu aliipata kamera hiyo kama zawadi kutoka kwa ndugu yake aliyekuwa akiishi ughaibuni. Tulipiga picha nyingi naye...
  9. Vincenzo Jr

    Tuishi kwa kusaidiana kila mtu ana umuhimu katika maishani yetu

    Tusaidiane ingali tukiwa hai, msaada unaokuja kusaidia mazishi una maana lakini ungekua na maana zaidi kama ungekuja wakati wa kuuguza.
  10. Eli Cohen

    Licha ya mabaya na mapungufu yako ni tabia ipi nzuri toka kwako ungependa mwanao aifuate ili imsaidie maishani?

    I know am not perfect na sio kama najisifia humu ila mwanangu akifata hulka yangu ya uchapakazi katika nyanja ya kazi za kawaida na zile za uchumi itakuwa bonge la blessing sana kwangu. Vipi kwa upande wako, ungependa mwanao afuate tabia, mwenendo au hulka gani nzuri uliyonayo? Karibuni.
  11. Braza Kede

    Ulikosea nini maishani hautaki mwingine arudie kosa kama hilo

    Tuwekee hapa kisa chako huenda ikasaidia mdau mwingine anaepita hapa kujifunza na kuepuka makosa. Mimi nilikuwa na tabia ya kumuamini sana mtu hasa kama amenipa ishara njema za kumuamini pale mwanzo. Ila baada ya kulizwa sana hapo kati nimejifunza hautakiwi kumuamini mtu kwa 100% na usimuamini...
  12. Aramun

    Nimeyatimba: Nimesex na mtu mwenye HIV, ni kipindi kigumu sana maishani mwangu

    Ni single mother mmoja ambaye tulikuwa tunawasiliana naye kwa muda kidogo. Tulishaingiza issues za kusex siku nyingi tuu sema kwenye kukutana ni kama kuna kakitu kanatuzuia. Siku kadhaa zilizopita siku ikatimia tukaonana na kufanya yetu ya kikubwa. Tulikuwa tumejiandaa kabisa kwamba tutacheki...
  13. matunduizi

    Mambo 10 yanayokuchelewesha maishani

    1: Ubishi na ujuaji. ( Undevelopable mindset) 2: Kung'ang'ania kukaa sehemu hiyohiyo hata kama mambo yamegoma. 3: Kufunguka. Kutaka kila mtu ajue wewe ni nani na unanini. 4: Kulakula hovyo bila mpango. 5: Marafiki wengi ambao hawana mchango kwenye fyucha yako. 6: Kuwa na connection...
  14. matunduizi

    Mambo 05 ya kujifunza maishani kutoka kwa mitume na manabii wa uongo nchini Tanzania

    1: Uwe msiri na usiwe unapatikana kirahisi wakati wote au kuwa adimu( do not be too available). Huwezi kumkuta nabii wa uongo anatembeatembea hovyo au anapatikana kirahisi. Watu wanatafuta kitu adimu sio kinachopatikana kila mahali. 2: Usijibujibu tuhuma. Usiongee au kujitetea unaposhambuliwa...
  15. Mundele Makusu

    Tujifunze kitu kikubwa hapa

    Pichani:Muanzilishi wa KFC(Kentury Fried Chicken) HISTORIA YAKE.. Akiwa na miaka 5 Alifiwa na Baba yake... Akiwa na miaka 16 aliamua kuacha shule. Akiwa na miaka 17 tayari alikua kapoteza ajira 4. Akiwa na miaka 18 aliamua kuoa. Akiwa na miaka 19, alifanikiwa kuwa Baba. Akiwa na miaka 20...
  16. Nyanda Banka

    Umuhimu wa watu Maishani

    Siku utakapotambua kuwa pesa hazimziki mtu ndiyo utakapojua thamani ya watu, Tuishi kwa kupendana na kuheshimiana LIFE HAS NO FORMULA
  17. Money Penny

    Mwanaume yupi ukiolewa nae utaenjoi sana ndoa?

    Kuna swali hapa nimeulizwa Money Penny, eti mwanaume wa ngapi kuzaliwa ni mzuri na utainjoi ndao ukiolewa nae? Mwanaume wa Kwanza kuzaliwa? Mwanaume wa Mwisho kuzaliwa? Mwanaume wa nne kuzaliwa? Nyuzi zangu: Kaka wa kipare ashindwa kumtongoza Vera Sidika.... Story: Fumanizi la ukubwani...
  18. GENTAMYCINE

    Kwanini ukiwanyamazia Maadui zako kwa Kunuachia Mwenyezi Mungu, baadae yakiwakuta Mabalaa Maishani wanaanza kusema Wewe ni Mchawi na Umewaroga?

    Asante sana Mwenyezi Mungu kwa kuendelea Kutujibia Sisi tusio na lolote, uwezo wowote na tusio na baya kwa Mtu huku Wema wetu na Roho Nzuri zetu zikiwa ndizo Fimbo za Kutuchapia, Kutunyanyasa, Kututesea na Kutusimangia hapa duniani. Kama kuna Mtu yoyote unajua fika kuwa kwa Makusudi au kwa...
  19. Yesu Anakuja

    Mapito ya huzuni na masikitiko maishani

    MAPITO YA HUZUNI NA MASIKITIKO MAISHANI Nimeandika haya baada ya kupita katika jangwa zito sana lililouumiza sana moyo wangu kwa siku mbili mfululizo. Mtu mwenye mamlaka, ambaye Mungu amemuamini na authority fulani, aliunyanyasa moyo wangu sana na kunidhalilisha mbele za watu, na bila sababu...
  20. ras jeff kapita

    Mambo ya kuzingatia maishani

    Muabudu Mungu ipasavyo, tafuta hela za kutosha, fanya mazoezi, jali familia yako, Mpende mkeo, kula bata, saidia wengine, jiepushe na ugonvi jielimishe kadiri uwezavyo jaribu kuitafuta talanta yako (kipaji) epuka jinai. Mengine mnaweza kuongezea.
Back
Top Bottom