Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa.
Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu. Mke wangu ana kiburi cha asili, gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu.
Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke...
Peace be with you all sons of Zion,
Katika maisha kuna mambo piga ua galagaza siwezi kuyafanya sioni manufaa yoyote yapatikanayo kwayo:
1. Kwenda kwa waganga
2. Kushabikia mamipira
3. Kunywa pombe
4. Kumrudia mwanamke niliemuacha
5. Kumpunja mtu haki zake
Na wewe ongeza.
Nimefuatilia kwa karibu wanasiasa wanaijitosa kugombea urais.
Wengi wamejikuta kuingia matatixo mazito ya kimaisha, hasa wanaotoka vyama vyenye ushawishi kama CCM na CHADEMA.
Na hata wakiupata, bado wanakuwa na maisga ya ndege, kurukia tawi hili na lile, kujinusuru kiusalama.
Heri upambe tu...
Habari ndugu msomaji. Ningependa tukumbushane jambo la muhimu sana tunalopaswa kujifunza na kuzingatia katika maisha.
Kuna baadhi ya misemo inaonekana kama imezoeleka lakini ina maana kubwa sana. Mfano: Maisha ni hapa hapa duniani, dunia ni duara.
Jambo la msingi ninaloweza kusema ni kwamba...
" KITU GANI ULICHOKIONA MAISHANI MWAKO KILICHOKUHUZUNISHA ZAIDI ?!"
Peace be with you all,
Maisha yana mengi ya kufurahisha, kushangaza, kuchekesha lakini pia kuhuzunisha. Leo niwashirikishe jambo lililonihuzunisha zaidi maishani, pia wewe tuambie nini kilikuhuzunisha zaidi.
Mwaka 2009...
Nilikuwa sina mpango hata wa kuandika Hii thread lakini naiandika kwa ufupi sana baada ya kupita instagram na kukutana na clip hatari za wahuni wakiwa wanahamishwa gereza huko El salvador
Kuhamishwa kwao,mikao yao yani imenikumbusha Moment hatari sana nilizowahi pitia miaka ya zamani hiyo
Gusa...
Nimetoka kucheki documentary ya magonjwa yanayorithika nimeona nije kuweka maoni,
Magonjwa ya kuruthi:
kifafa cha kurithi.
sickle cell.
CCHS ; tunavyopumua huwa hatufikirii kupumua, wenye ygonjwa huu inabidi wafikirie ili wapumue, wanapolala inabidi watumie mashine kuwasaidia.
Kansa ya mifupa...
Mi nakumbuka siku ile tumeenda canteen kwenye buffet sausage zikawa zimeisha. Wamebaki wanafunzi wawili hawajapata sausage na yule msimamizi wa chakula Mr. Shivj Hindurana anawashawishi wachukue cake. Wakagoma na kuanza kulia kuwa wamenyanyaswa.
Wadau Tuliosoma Internationa School of Tanganyika...
Ukiona popote pale (Mitandaoni pia Kunahusika) Unachukiwa na Wanaokujua, Wasiokujua hadi wale ambao kamwe hawajawahi Kuishi nawe ila Wanaamini mabaya yako ya Uwongo na Kufitinishwa na Maadui zako jua haya yafuatayo:
1. Umebarikiwa mno na Mwenyezi Mungu kuliko Walivyobarikiwa Wao na Shetani.
2...
Habari ya Usiku wana JF,
Natumaini mko poa na wmaendelea vyema kabisa katika majukumu yenu na ratiba zenu za kila siku.
Kuna nyuzi nyingi sana zipo humu majukwaani zinazoelezea njia mbalimbali yakupamana na tatizo la ajira yakitolewa mawazo na miongozo mbalimbali ambayo huenda si kwa kila mtu...
Yuko radhi kufa kwa ajili yangu
Yuko radhi kuondoka kwao kuja kwangu hata bila mahari, aolewe tu na mimi.
Hajaniomba hata mia, japo aliwahi kuonesha symptoms😅😅😂😂 nikakwepa
Nishamwambia sina maisha ya kumfanya aishi katika ndoa ila anataka tu aje hata tukilala chini ya mti, poa tu...
Formula za maisha unazotakiwa kujiambia!
-Kila kitu kwenye maisha nimemkabidhi Mungu
-Naepuka hasira kwa gharama yoyote
-Sipendi kumuona mtu anaumia au kusononeka
-Sijiwekei matarajio makubwa
-Sina marafiki (Nina watu wakaribu)
-Sikai na chuki dhidi ya mtu
-Kwangu pesa ni baada ya utu.
Ahlan wa sahlan
Ukiwa kama mwanadamu lazima kuna mambo mabaya umeyapitia katika maisha yako ambayo hutamani mwanadamu mwingine (mwanao,ndugu n.k) aje kuyajua na kuyapitia.
Binafsi sitapenda mtu yeyote hususani wanangu aje kujua kuhusu Kamari (kubeti).
Why? Ni ulevi ambao mtu akishauonja ni...
“Mimi ni BWANA; ndilo jina langu; na utukufu wangu sitampa mwingine, wala sitawapa sanamu sifa zangu. Tazama, mambo ya kwanza yamekuwa, nami nayahubiri mambo mapya; kabla hayajatokea nawapasheni habari zake.” Isa. 42:8,9.
“Kumbukeni mambo ya zamani za kale; maana mimi ni Mungu, wala hapana...
Wengi wetu mara nyingi huwa tunafikiri kukosa mafanikio ni matokeo ya kukosa bahati katika maisha. Fikra hizo mara nyingi, huwazuia wengi katika kufanikiwa na kujikuta wakiishia kuwa watu wa kulaumu na kushindwa kila siku.
Kimsingi kitu kikubwa kinachochangia kuzuia mafanikio yetu ni baadhi ya...
Kuna muda huwa nashindwa hata kuelewa kama hawa ni wenzetu.
Sizungumzii waarabu original wale wa Oman, Dubai, n.k ni hawa waarabu wa hapa hapa bongo wengi wakiwa machotara waliochanganyikana kabisa na wabantu, wengi wapo Sikonge, Igunga, Ngega, Tinde, Itobo, n.k
Yani wao ni ndani tu mda wote...
Wanadamu tusipozibiti haya mambo matatu basi lazima utakuja kushangaa,kujilaumu na mengineyo.
Mambo matatu yenyewe:
( 1) Unapokuwa na furaha usitoe "ahadi"
ijalishi furahaa hupo sehemu gani kwenye mapenzi, urabuni, sherehe, starehe, mafanikio n.k. Hapa watu wengi hutoa ahadi wasizotegemea kwa...
MARA ZOTE KUWA NA SHUKRANI KWA YOTE ULIYONAYO MAISHANI
Kwa Mkono wa, Robert Heriel
Bila Shukrani maisha hayamfai mtu. Hayana maana yoyote, bila Shukrani maisha ni UTUMWA na mzigo mzito wenye maumivu makali mno. Kushukuru ni kuishi, kunamfanya mtu aishi Kwa Raha na furaha.
Pasipo kushukuru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.