maishani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kimsboy

    Kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa. Najuta

    Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa. Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu. Mke wangu ana kiburi cha asili, gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu. Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke...
  2. The unpaid Seller

    Maishani kamwe siwezi kufanya mambo haya, wewe ni mambo yapi huwezi kufanya?

    Peace be with you all sons of Zion, Katika maisha kuna mambo piga ua galagaza siwezi kuyafanya sioni manufaa yoyote yapatikanayo kwayo: 1. Kwenda kwa waganga 2. Kushabikia mamipira 3. Kunywa pombe 4. Kumrudia mwanamke niliemuacha 5. Kumpunja mtu haki zake Na wewe ongeza.
  3. Jidu La Mabambasi

    Ukitaka matatizo maishani, gombea Urais

    Nimefuatilia kwa karibu wanasiasa wanaijitosa kugombea urais. Wengi wamejikuta kuingia matatixo mazito ya kimaisha, hasa wanaotoka vyama vyenye ushawishi kama CCM na CHADEMA. Na hata wakiupata, bado wanakuwa na maisga ya ndege, kurukia tawi hili na lile, kujinusuru kiusalama. Heri upambe tu...
  4. F

    SoC03 Lolote utendalo kwa mwenzako kuna siku litarudi maishani mwako

    Habari ndugu msomaji. Ningependa tukumbushane jambo la muhimu sana tunalopaswa kujifunza na kuzingatia katika maisha. Kuna baadhi ya misemo inaonekana kama imezoeleka lakini ina maana kubwa sana. Mfano: Maisha ni hapa hapa duniani, dunia ni duara. Jambo la msingi ninaloweza kusema ni kwamba...
  5. The unpaid Seller

    Kitu gani ulichonacho kilichokuhuzunisha zaidi maishani mwako?

    " KITU GANI ULICHOKIONA MAISHANI MWAKO KILICHOKUHUZUNISHA ZAIDI ?!" Peace be with you all, Maisha yana mengi ya kufurahisha, kushangaza, kuchekesha lakini pia kuhuzunisha. Leo niwashirikishe jambo lililonihuzunisha zaidi maishani, pia wewe tuambie nini kilikuhuzunisha zaidi. Mwaka 2009...
  6. CONTROLA

    Furahia Uhuru ulionao sasa, ni zawadi kubwa sana maishani mwako

    Nilikuwa sina mpango hata wa kuandika Hii thread lakini naiandika kwa ufupi sana baada ya kupita instagram na kukutana na clip hatari za wahuni wakiwa wanahamishwa gereza huko El salvador Kuhamishwa kwao,mikao yao yani imenikumbusha Moment hatari sana nilizowahi pitia miaka ya zamani hiyo Gusa...
  7. NetMaster

    Kama una ugonjwa unaokupa tabu maishani na unarithishwa fikiria kuhusu kuasili

    Nimetoka kucheki documentary ya magonjwa yanayorithika nimeona nije kuweka maoni, Magonjwa ya kuruthi: kifafa cha kurithi. sickle cell. CCHS ; tunavyopumua huwa hatufikirii kupumua, wenye ygonjwa huu inabidi wafikirie ili wapumue, wanapolala inabidi watumie mashine kuwasaidia. Kansa ya mifupa...
  8. Komeo Lachuma

    Wadau Tuliosoma Internationa School of Tanganyika,Tukio gani huwezi kuja lisahau Maishani?

    Mi nakumbuka siku ile tumeenda canteen kwenye buffet sausage zikawa zimeisha. Wamebaki wanafunzi wawili hawajapata sausage na yule msimamizi wa chakula Mr. Shivj Hindurana anawashawishi wachukue cake. Wakagoma na kuanza kulia kuwa wamenyanyaswa. Wadau Tuliosoma Internationa School of Tanganyika...
  9. GENTAMYCINE

    Ifahamu SIRI hii kubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwa faida yako maishani

    Ukiona popote pale (Mitandaoni pia Kunahusika) Unachukiwa na Wanaokujua, Wasiokujua hadi wale ambao kamwe hawajawahi Kuishi nawe ila Wanaamini mabaya yako ya Uwongo na Kufitinishwa na Maadui zako jua haya yafuatayo: 1. Umebarikiwa mno na Mwenyezi Mungu kuliko Walivyobarikiwa Wao na Shetani. 2...
  10. KijanaHuru

    MAARIFA MBADALA: Tambua kitu sahihi kwa njia sahihi cha kufanya maishani

    Habari ya Usiku wana JF, Natumaini mko poa na wmaendelea vyema kabisa katika majukumu yenu na ratiba zenu za kila siku. Kuna nyuzi nyingi sana zipo humu majukwaani zinazoelezea njia mbalimbali yakupamana na tatizo la ajira yakitolewa mawazo na miongozo mbalimbali ambayo huenda si kwa kila mtu...
  11. Nyuki Mdogo

    Mwanamke wa ajabu ameniijia maishani mwangu!

    Yuko radhi kufa kwa ajili yangu Yuko radhi kuondoka kwao kuja kwangu hata bila mahari, aolewe tu na mimi. Hajaniomba hata mia, japo aliwahi kuonesha symptoms😅😅😂😂 nikakwepa Nishamwambia sina maisha ya kumfanya aishi katika ndoa ila anataka tu aje hata tukilala chini ya mti, poa tu...
  12. Kuwite94

    Mambo muhimu unayotakiwa kujiambia kila siku maishani

    Formula za maisha unazotakiwa kujiambia! -Kila kitu kwenye maisha nimemkabidhi Mungu -Naepuka hasira kwa gharama yoyote -Sipendi kumuona mtu anaumia au kusononeka -Sijiwekei matarajio makubwa -Sina marafiki (Nina watu wakaribu) -Sikai na chuki dhidi ya mtu -Kwangu pesa ni baada ya utu.
  13. T

    Mambo gani umeyafanya au kuyapitia maishani mwako ambayo hutamani mwanao/mtu mwingine kuyapitia?

    Ahlan wa sahlan Ukiwa kama mwanadamu lazima kuna mambo mabaya umeyapitia katika maisha yako ambayo hutamani mwanadamu mwingine (mwanao,ndugu n.k) aje kuyajua na kuyapitia. Binafsi sitapenda mtu yeyote hususani wanangu aje kujua kuhusu Kamari (kubeti). Why? Ni ulevi ambao mtu akishauonja ni...
  14. Jackwillpower

    Biblia, kitabu cha ajabu maishani mwangu

    “Mimi ni BWANA; ndilo jina langu; na utukufu wangu sitampa mwingine, wala sitawapa sanamu sifa zangu. Tazama, mambo ya kwanza yamekuwa, nami nayahubiri mambo mapya; kabla hayajatokea nawapasheni habari zake.” Isa. 42:8,9. “Kumbukeni mambo ya zamani za kale; maana mimi ni Mungu, wala hapana...
  15. Ben Zen Tarot

    Mambo muhimu ya kuzingatia unapohitaji kufanikiwa

    Wengi wetu mara nyingi huwa tunafikiri kukosa mafanikio ni matokeo ya kukosa bahati katika maisha. Fikra hizo mara nyingi, huwazuia wengi katika kufanikiwa na kujikuta wakiishia kuwa watu wa kulaumu na kushindwa kila siku. Kimsingi kitu kikubwa kinachochangia kuzuia mafanikio yetu ni baadhi ya...
  16. sky soldier

    Kwanini wanawake wa kiarabu (machotara) wa Tabora, Shinyanga hawachangamani na jamii?

    Kuna muda huwa nashindwa hata kuelewa kama hawa ni wenzetu. Sizungumzii waarabu original wale wa Oman, Dubai, n.k ni hawa waarabu wa hapa hapa bongo wengi wakiwa machotara waliochanganyikana kabisa na wabantu, wengi wapo Sikonge, Igunga, Ngega, Tinde, Itobo, n.k Yani wao ni ndani tu mda wote...
  17. chizcom

    Epuka mambo haya matatu -- utanishukuru!

    Wanadamu tusipozibiti haya mambo matatu basi lazima utakuja kushangaa,kujilaumu na mengineyo. Mambo matatu yenyewe: ( 1) Unapokuwa na furaha usitoe "ahadi" ijalishi furahaa hupo sehemu gani kwenye mapenzi, urabuni, sherehe, starehe, mafanikio n.k. Hapa watu wengi hutoa ahadi wasizotegemea kwa...
  18. Robert Heriel Mtibeli

    Mara zote kuwa na shukrani kwa yote uliyonayo maishani

    MARA ZOTE KUWA NA SHUKRANI KWA YOTE ULIYONAYO MAISHANI Kwa Mkono wa, Robert Heriel Bila Shukrani maisha hayamfai mtu. Hayana maana yoyote, bila Shukrani maisha ni UTUMWA na mzigo mzito wenye maumivu makali mno. Kushukuru ni kuishi, kunamfanya mtu aishi Kwa Raha na furaha. Pasipo kushukuru...
Back
Top Bottom