makabila

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Mongolian Savage

    Bamileke: Kabila la Cameroon linalopingwa nakuogopwa na makabila mengine; ndio hao wanataka Cameroon ijitenge

    Mzuka wanajamvi! Hii dhana ya eti Cameroon majimbo mawili yanayoongea kiingereza North West na South West kujitenga kwasababu ya uonevu inasukumwa sana na Bambekee (Bamilekee). Bambekee ni semi Bantuskabila maarufu sana Cameroon lenye maendeleo na elimu na pesa. Kwa kifupi ni matajari kama...
  2. Bujibuji Simba Nyamaume

    Mila zetu watu wa Kaskazini

    Unamuacha wife kwa wazazi wako ili ukazichange shilingi, unakaa miaka miwili ughaibuni, unarudi home unakuta mke wako ana mtoto, kazaa na baba yako mzazi. Umeenda kuhemea chakula cha familia, umehangaika kutwa nzima, unarudi home unakuta mkuki umechomekwa nje, jamaa anajichapia mkeo,hajaleta...
  3. J

    Uchaguzi 2020 Kikwete: CCM ni chama cha dini zote, makabila yote, taaluma zote na wanasanaa wote kichagueni

    Rais mstaafu Dr Kikwete amesema tofauti na vyama vingine CCM ni chama cha dini zote na madhehebu yote kwa mfano waislamu kuna Shia, Sunni. CCM ni chama cha makabila yote zaidi ya 120 CCM ni chama cha wataalamu wote CCM ni chama cha wakulima, wafanyakazi na wafanyabiashara CCM ni chama cha...
  4. Chamoto

    "Female Circumcision"among the Kikuyu

    >>> https://www.ncbi.nlm.nih.gov/pmc/articles/PMC2164470/pdf/brmedj04013-0030d.pdf
  5. Usher-smith MD

    Ubaguzi wa makabila katika kuoa

    Hivi huu ubaguzi wa makabila bado upo hadi leo? Nimekutana hii clip ya baba akimuonya mwanae asimpeleke mchumba wake wa Machame kwake, toka siku nyingi nasikia tu Usioe wa Machame, wana Jf wachagga mtusaidie, wanawake wa machame waliwafanya nini wanaume wengine wa kichagga?! Mshana Jr hebu...
  6. Infantry Soldier

    Tanzania na Utani wa Makabila: Ulishawahi kutaniwa vibaya na mtu wa kabila tofauti ukaumia nafsi yako?

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu wa Tanzania; Ulishawahi kutaniwa vibaya na mtu wa kabila tofauti (Mfano: Msukuma Vs Mzaramo) kisha ukaumia nafsi yako...
  7. Trubarg

    Ukabila Kenya: Mgawanyo wa Wizara za Kenya kulingana na Makabila

    Kikuyu everywhere mwaswast MK254 Geza Ulole
  8. Its Pancho

    Hivi ndivyo baadhi ya makabila yanavyoomba tendo la ndoa

    Naam . Wakurya: mama bhoke rara chini nikurenge.. Wamasai: mama yoyo nipe ile kitu namesa mwensake.. Wahaya: mama koku infacti njoo tuperfom.. Wachaga: mama manka fungua kibubu nitupe shilingi.. Wapemba: mama alii panua paja mti wajaaa...! Najua hapa wachaga nko wengi msinirushie mawe plz
  9. Mzukulu

    Wachezeeni na Waibieni Watu wote wa Makabila mbalimbali nchini Tanzania, ila Kaeni mbali kabisa na Wazanaki

    Watu wawili wakazi wa kijiji cha Busegwe wilaya ya Butiama mkoani Mara wanaodaiwa kuwa ni wezi wa ng’ombe wamejikuta katika hali ya kula majani na kung’oa majani mithili ya ng’ombe baada ya kuiba ng’ombe wanaodaiwa kuwa na thamani ya shilingi milioni mbili. ITV Tanzania Wewe eneo limetoa Raia...
  10. M

    Top Ten makabila yenye wazungumzaji wengi Tanzania

    Huu ni utafiti(usiokua rasmi) juu ya uwingi wa wazungumzaji wa makabila yaani wale ambao kiasili ni wenyeji wa kabila husika pamoja na wale ambao wamejifunza makabila husika kutokana na mwingiliano wa shughuli mbalimbali za kimaisha. 1. WASUKUMA -Idadi yao inakadiriwa kuwa zaidi ya milioni 10...
  11. LIKUD

    Makabila ya wasanii na watu maarufu wa Bongo

    #Diamond na Ali Kiba: Almost every body know about them 1. Sugu ( Joseph Mbilinyi) - Mkinga 2. Professor Jay (Joseph Haule ) - Mngoni 3. Lady Jay Dee ( Judith Wambura Mbibo) - Mkurya 4. Inspector Haroun - Msukuma/ Mzaramo (Baba ake na Haruna marehemu Mzee Rashid Juma Kahena alilowea uzaramuni "...
  12. rr4

    Zijue aina za pombe za makabila ya Tanzania

    Nimekaa nikawaza kuwa Serikali inaweza kabisa ikapiga ban pombe toka nje ya nchi na kuweka mkazo kwenye local brew zetu huenda na sisi tungeuza nje. Tatizo tunadharau vya kwetu, haya mawine na mawhisky toka nje napo yalipotoka yametengenezwa na watu au familia fulani na kupewa uzito na serikali...
  13. PAZIA 3

    Gharama za kishika uchumba/Mahali kwa makabila tofautitofauti nchini

    Heshima kwenu wapenzi wa jukwaa La MMU. Naomba tushirikishane taratibu za kuzingatia pale unapooa binti wa kabila lako,Ama kwa kumtorosha au kuchumbia, .Hii itasaidia kwa washenga kujua wapi pa kuanzia pindi wanapopatanisha gharama za kutoa,mfano,mkoti wa baba,kitenge cha mama,dumu La...
  14. J

    Rais Magufuli: Sisi watanzania ni Wamoja tusibaguane kwa makabila, dini na siasa awapongeza CCM na kusema Wapinzani wanaisoma namba

    Rais Magufuli amewataka watanzania wapendane na kuacha kubaguana kwa misingi ya ukabila, dini au itikadi za kisiasa. Dr Magufuli ameyasema hayo wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa daraja la Kigongo - Busisi jimboni Misungwi mkoani Mwanza. Kadhalika Rais Magufuli amewapongeza wanaccm wa...
  15. YEHODAYA

    Kwanini Masai hawarogani wala kuibiana wao kwa wao tofauti na makabila mengine?

    Kuna kitu kinanishangaza kuhusu wamasai. Ni kawaida kwa makabila mengine kulogana, kutuhumiana uchawi, kuibiana na kutapeliana. Masai hivyo vitu havipo kwenye kabila yao najiuliza ni kwanini? Mwenye jibu atusaidie.
  16. T

    Uzi wa kushare nyimbo za Kisukuma

    Bhanamhala mhu le mhola hene? Uzi huu mahususi wa kushare ama kushirikishana nyimbo zozote za kisukuma ili kudumisha mila na tamaduni zetu. Kwa sababu wasukuma tunasifika kwa kuwa wapole na wakarimu. basi uzi huu unaruhusu pia makabila mengine kuweka nyimbo zilizoimbwa kwa lugha zao ili tuweze...
Back
Top Bottom