makini

Jully Makini (also known as Jully Sipolo) (born c. 1953 (age 64 in 2017)) is a Solomon Islander poet, writer and women's rights activist. The author of poems such as Civilized Girl (1981) and Praying Parents (1986), in June 2017 she received the International Women of Courage Award from the US Secretary of State for her work in promoting women's rights in the Solomon Islands.

View More On Wikipedia.org
  1. Clark boots

    Wanaume tuwe makini na huu wivu wetu dhidi ya Wake/wapenzi wetu

    Kusema kweli kuna kitu nimekiona kutoka kwa hawa warembo, Yaan kams pisiKali inakupenda kwa dhati na hafanyi yale ya kuchepuka alafu wewe dume ukawa huishi kutomuamini yaaan wivu kwa sana mara hivi Mara vile kwa hawa wenzetu huwa wanateseka sana na scenario kama hiyo na usipokuwa makinu unaweza...
  2. Komeo Lachuma

    Watanzania tuwe makini sana na watu kama Dkt. Diallo. Ni watu wa maslahi zaidi

    Inawezekana kwa kuwa tuna ugomvi na chuki na Magufuli kila ambaye atakuja msema vibaya tutamwona ni shujaa. Lakini tujiulize "Dr. Diallo alikwii?" Je Dr. Diallo kweli ana moral authority ya kumsema vibaya Magufuli? Huyu Diallo ukiangalia anacholalamika si kwamba watanzania wamefanyiwa hivi au...
  3. Ziroseventytwo

    Dullah Planet kuwa makini, Sepenga anakuharibia show

    Napendaga kuangalia friday night live show inayorushwa na East Africa TV na East Africa Radio na host wa show ni Dullah Planet. Sasa kuna jamaa yake wanakuwaga wote kwenye show. Huyu jamaa nadhani anaitwa Sepenga. Jamaa ni mshamba sana. Kwanza sijui kama ni maarufu. Na kama ni maarufu sijui...
  4. Z

    Tuwe makini na wahamiaji haramu, wanaweza kuhatarisha amani ya nchi

    Kilichotokea Haiti kila mmoja wetu anakijua, ni jambo la kutisha kuuliwa Rais ktk makazi yake lkn waliotekeleza mauaji hayo ni wahamiaji haramu. Kwa nchi yetu yenye wimbi la wahamiaji haramu inapaswa vyombo vyetu viwe macho masaa 24, operation ktk mahoteli ziwe zinafanyika. Wapo wahamiaji...
  5. J

    CCM ina nguvu lakini CHADEMA ina maarifa; watawala wanapaswa kuwa makini

    Kimsingi kwa mfumo wetu wa siasa Serikali ndio CCM yenyewe hivyo nguvu ya serikali ndio nguvu ya CCM. Lakini CHADEMA wanaonekana kuwa na maarifa zaidi hasa baada ya sakata la Sabaya na sasa hili la kesi la viongozi 7 akiwemo DC Mashinji wa CCM. Kiufupi CCM wanapaswa kuwa makini zaidi kabla...
  6. William Mshumbusi

    Chadema inakosa watu makini wa kujua adui wa demokrasia nchini ni nani?

    Kuna Uzi nilisema humu NI vigumu kufikia malengo ya Democrasia na utawala wa Sheria ata 80% kwa utawala wa Mama yetu pendwa japokuwa NI kiongozi mzuri na sio muumini wa utawala wa kimabavu. Swala la Democrasia duniani zipo za Aina mbili. Democrasia ya magharibi. AMBAYO inatoa mwanya wa vyama...
  7. CCM Music

    Rais Samia, tufuate utaratibu huu; migogoro yote itaisha nchini

    Naam, jamaa ni yule yule sijui ni wale wale I don't know. Namna ya kutatua migogoro ya Ardhi nchini. Jisomee mwenyewe. Halafu, wapinzani njooni kosoeni tuone hoja zenu na CCM tuchukue ========== MIGOGORO YA ARDHI – TANZANIA (Kumradhi Mama, naomba niandike kwa lugha za vijana wa...
  8. GENTAMYCINE

    Simba SC msipokuwa makini na hii 'Mind Game' ya Yanga SC kuwa hawatoleta Timu 03 Julai, 2021 tunaenda kuumbuka kwa kufungwa nao

    Nauonya Uongozi wa Simba SC na Wanachama mpaka Mashabiki wa Simba SC kuwa tuweni makini mno na hii Mbinu ya Nje ya Kisaikolojia ya Mchezo (Mind Game) inayofanywa na Yanga SC hasa kuelekea Mechi yetu nao tarehe 3 July, 2021 kwani tukienda nayo na tukaiamini na Kuwaamini Yanga SC naona Simba SC...
Back
Top Bottom