makocha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GENTAMYCINE

    Simba SC tunashinda ila Makocha wa JamiiForums tumsaidie Kocha Mgunda kukipanga Kikosi chake

    Binafsi ningependa zaidi vifuatavyo: Kikosi A 1. Aishi Manula 2. Shomary Kapombe 3. Mohamed Hussein 4. Kennedy Juma 5. Joash Onyango 6. Henock Inonga 7. Saido Kanoute 8. Muzamir Yasin 9. Moses Phiri 10. Clatous Chama 11. Augustine Okra Kikosi B 1. Aishi Manula 2. Israel Mwenda 3. Mohamed...
  2. aka2030

    Hii tabia ya hovyo kuwapa wachezaji majina ya wachezaji na makocha wakubwa kutoka nje inakera

    Huu ni upuuzi mkubwa sana tunauendekeza, unakuta mtu akiwika ama akifanya vizuri basi anapewa jina la mtu mwingine mpaka linafifisha jina lake. Utasikia Kelvin John Mbape, mara Juma Mgunda Pep Guardiola Mnene, hebu waacheni watengeneze utambulisho wao.
  3. JanguKamaJangu

    Makocha England waanza kupinga uwepo wa VAR

    Baadhi ya makocha wa Premier League wanataka matumizi ya Teknolojia ya kumsaidia mwamuzi uwanjanani ( (Video Assistant Referee -VAR) kuondolewa kutokana na waamuzi kufanya makosa licha ya kuitumia. Kocha wa Tottenham, Antonio Conte amelalamika waamuzi wa England kushindwa kutafsiri Seria za...
  4. T

    Osama El-labi ni bondia mzuri na anahitaji makocha wazuri tu ili kuja kuwa bingwa wa ndondi hapa nchini.

    Habari Jana usiku nlifuatilia mpambano kati ya emiliano patrick na Osama el-labi,kwa hakika nimevutiwa sana n kipaji cha huyu bondia chipukizi.Osama ametuonesha sisi wapenzi wa ndondi kuwa atakuja kuwa moja ya mabondia wazuri hapa nchini. Wito wangu ni kwa wadau wa ndondi kuweza kumpatia...
  5. D

    Wacha mvua inyeshe tuone panapovuja

    Pira la leo litatoa majibu ya viwango vya wachezaji pamoja na makocha kati ya simba na yanga.
  6. Shark

    TFF; Makocha wenye CAF Diploma A hawa hapa

  7. N

    Somo laanza kumuingia CEO wa Simba, ataka clubs za Afrika kutumia makocha wa kiafrika

    Opportunities ilitokea wazi kwa yule kocha toka Ghana, yule kocha toka Guinea wa Horoya, kama kawaida mkakimbilia wazungu Zoran kalilia nafasi mbili kuingiza beki na foward kila mtu kaona aina ya usajili wake ni bora mara 100 angekuja Harvey ngomo wa cameroon kama beki leo team iko stuck na...
  8. The Boss

    Orodha ya makocha EPL waliofukuzwa baada ya kufungwa na Liverpool

    Mourinho kafukuzwa mara mbili na Liverpool...jumla wanafika 6 sasa...hatari sana 1. Jose Mourinho -chelsea, Man U 2. Marco Silva - Everton 3. Fransesco Guidolin - Swansea 4. slaven bilic -west ham 5. slavisa Jokanovic -Fullham 6. scott Perker -bournemouth... Hii list itaongezeka Tu Nani...
  9. kavulata

    Maswali ya waandishi wa habari wetu kwa makocha na wachezaji ni ushahidi wa elimu ndogo

    Baadhi ya Waandishi habari wetu wana walakini ya wazi kabisa. Maswali yao kwa makocha na wachezaji wa nje na ndani yanamtia kichefuchufu hata msikilizaji. Wanaiangusha taaluma ya habari, hayana weledi kabisa. Pia hawajui kiingereza lakini wanataka kuwahoji wachezaji wa timu ngeni.
  10. Ituzaingo Argentina

    Al Ahly na makocha wa nje

    Al ahly SC ni club pendwa barani afrika, na hata nje ya Afrika, ni klabu inayoongoza kuwa na many fans nchini Misry na hata all afrikans kwa ujumla, ikifuatiwa na Zamalek kisha Raja Casablanca n.k. Kinachoshangaza timu kama Al ahly why inatumia makocha wa nje, wanakuja kupiga hela tu, wakati...
  11. Tango73

    Makocha wazarendo wasiruhusiwe kuifundisha taifa stars

    Ethiopia inafundishwa na kocha wao mzarendo basi imekuwa nongwa eti na sisi tumpatie timu kocha mzarendo kwa sababu misri kafungwa na ethiopia! hii inaonesha kwa kiasi gani watu wanaopenda ushirikina wanataka kutuulia timu yetu ya Taifa stars.hawana nafasi watu hao kumsogelea KIm Paulsen...
  12. N

    Upuuzi: Simba wanaenda kurudia kosa lilelile kwa makocha

    Nimeona taarifa kwamba makocha 100 wametuma cv ,99 ni kutoka europe na south america, mmoja tu wa Afrika na hajakidhi vigezo Hivi nyie viongozi wa simba mnadhani kwa nini walioko Afrika hawajatuma cv? wanajua shobo zenu kwa wazungu, mko radhi mumpe kazi mtu ambaye hajui soka la afika wala...
  13. OKW BOBAN SUNZU

    Makocha Simba SC wafafanua sub ya Wawa

    Bongo kuna viwanda vya uzushi. Sub ya kocha Pablo mwenyewe lawama kashushiwa Matola, Rweyemamu na Hitimana. Shame on you all. Eti ooh Wawa anajisikiaje?! unadhani Wawa hamnazo?Hajui kocha alikuwa anaokoa point 3 kwa ujinga wa refa? Kwa msiojua English msikilize Hitimana
  14. GENTAMYCINE

    Kwa Makocha wa 'hovyo' kama Zubeiry Katwila wa Ihefu FC kwanini Soka la Tanzania lisiwe 'bovu' na la Simba na Yanga 24/7 tu?

    "Nimeamua kuwapumzisha Wachezaji wangu mahiri wa Kikosi cha Kwanza wasicheze Mechi hii na Yanga SC ili wasubirie Mchezo wetu muhimu wa Ligi Daraja la Kwanza ili tujiweke katika nafasi nzuri ya kurejea tena Ligi Kuu mwakani" amesema Kocha Mkuu wa Ihefu FC Zubeiry Katwila. Nami GENTAMYCINE nina...
  15. Abie

    Makocha huwa wanawasiliana vipi na wachezaji?

    Wakuu salaam, Huwa najiuliza siku zote kuwa hawa makocha wakigeni wanawasiliana vipi na wachezaji wazawa? Wakati wanaonngea lugha tofauti? Kwa mfano kocha wa Yanga hata kiingereza tu kwake ni shida yaan hakijui yeye anaongea kifaransa lkn unamuona anamwita Faridi au Feisal anamwelekeza jambo...
  16. kavulata

    Bodi ya Ligi kufungia makocha kunainua soka letu?

    Kocha ni kama mzazi na mlezi wa wachezaji wake, wachezaji wanamtegemea kocha na nahodha wao wanapokuwa viwanjani. Haiwezekani makocha wakae kimyaa kabisa kwa waamuzi wasiofanya haki kwa wachezaji na timu yake. Binadamu hayuko hivyo, kuna wakati anaweza kusema kitu bila kukusudia kutokana na...
  17. GENTAMYCINE

    Wakati nikiwa siwataki tena Makocha Gomez na Hitimana, Wafuatao upesi sana Wafukuzwe na Wasimamishwe Simba SC

    1. Meneja Patrick Rweymamu 2. Mratibu Abbas 3. Kipa Aishi Manula 4. Beki Shomary Kapombe 5. Beki Pascal Wawa 6. Nahodha John Boko 7. Kocha Selemani Matola Ninaotaka wabakie tu katika Benchi la Ufundi ni Mfia Timu Kocha wa Viungo na Kocha wa Makipa ambaye nimehakikishiwa na Mtu wa ndani...
  18. M

    Kwa Kitendo cha Kocha wa Kagera Sugar FC Baraza Kupiga Picha leo na Makocha wa Yanga SC Nabi na Kaze, kuna haja ya Kusubiria Matokeo?

    Naomba Mdau yoyote yule mwenye Picha za Makocha wa Timu za Ligi za Ulaya au hata tu za Misri na Afrika Kusini ambao wakiwa wanacheza Kesho yake basi hukutana kwa kupiga stori Mbili Tatu na kama pia Kimchezo huwa inaruhusiwa. Asante sana Kocha Mkuu wa Kagera Sugar FC Baraza kwa Kutuandaa mapema...
  19. kavulata

    Kwanini TFF imeruhusu Simba kusajili makocha vihiyo?

    Makocha wote wa Simba Gomez na Matola hawakuwa na sifa za kuwa makocha wa timu kubwa kama Simba kwa mujibu wa mashindano ya CAF na FIFA hadi hadi kulazimika kuzuiliwa na CAF kwenye mashindano yake. Swali hapa ni je, TFF yetu hawazijui kwa kiasi gani sheria na kanuni za CAF na FIFA? Na kama...
  20. Gordian Anduru

    Yanga ilishaachana na makocha wa diploma kitambo

    Siyo maneno yangu, kuna timu zina makocha MEMKWA.
Back
Top Bottom