makombora

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MK254

    Ukraine washambulia mji wa Shebekino, Urusi kwa makombora, Urusi ndani ndani

    Bora sasa tuanze ku-balance stories, nipige nikupige, Warusi nao wahisi jinsi palivyo patamu.... Five people were wounded by overnight shelling in the western Russian town of Shebekino, in the Belgorod region, that damaged multiple buildings, the governor of the region has said this morning...
  2. Upepo wa Pesa

    Marekani yakiri mfumo wa Patriot wadunguliwa na makombora ya Urusi

    Juzi kati hapa nakumbuka genge la Ukraine lilisema limedungua makombora yote ya Urusi na hayajaleta madhara yeyote. Baadae waziri wa ulinzi wa Urusi akasema sio tu hayajadunguliwa lakini pia waliuchakaza kwa hypersonic missiles mfumo wa patriot uliopo Ukraine. Je, ni lini Genge la Ukraine...
  3. MK254

    Makombora ya Storm Shadow kutoka Uingereza sasa yanatumika kushambulia Urusi

    Tuliwaambia Ukraine bado hawajapewa silaha za maana, na mpaka sasa kwa kidogo walichopewa wamefaulu kuilemaza Urusi, yaani Magharibi wanaachia aina moja moja ya silaha. Sasa hapa kuna hii Storm shadow imeanza kuchakaza. ======== Storm Shadow missiles from UK 'now being used to strike Russian...
  4. M

    Wamejitahidi kuficha mwisho wamekubali kuwa Patriot Air Defense System imeshachakazwa na makombora hatari ya Urusi

    Wiki iliyopita Ukraine walidai kuwa wamefanikiwa kuangamiza kombora la urusi (hypersonic missile), lakini baadaye ikaonekana kuwa siyo. Na leo mji mkuu wa ukraine ulishambuliwa vibaya na ukraine ikadai imetungua makombora 6 (hypersonic missile) ya urusi kwa kutumia Patriot air defense ya...
  5. Webabu

    Urusi yasema makombora yake yote yalipiga Kyiv

    Kumekuwepo na vuta nikuvute juu ya mashambulizi makubwa yaliyofanywe na Urusi hapo jana kwenye mji mkuu wa kyiv. Wakati Ukraine ikisema imetungua makombora yote 18 yaliyorushwa jijini hapo,6 kati yao yakiwa ni Kinzha Hypersoni na kwamba ni watu 3 tu waliojeruhiwa na gari moja kuungua kwa...
  6. Allen Kilewella

    Russia yasema Makombora yaliyopelekwa na Uingereza Ukraine ni uchokozi na itachochea vita kusambaaa.

    Waziri wa Ulinzi wa Urusi kasema kitendo cha Uingereza kupeleka makombora yake yenye uwezo wa kupiga umbali wa kilomita 250, ni kitendo kikubwa cha kichokozi na kinaweza kuchochea vita hiyo kusambaa. Urusi imetishia kutumia kila njia kuzima jaribio lolote la kutumiwa makombora hayo yakiwa...
  7. Webabu

    Makombora ya kutoka Gaza sasa yafika Telavivi

    Katika wiki hii peke yake jumla ya wapalestina 24 wameshauliwa huko Gaza na ukanda wa magharibi kutokana na mashambulizi mazito kutoka ndege za Israel.Chanzo cha mashambulizi hayo si kitu cha kutafitiwa kwani mataifa ya Palestina na Israel huwa daima yako vitani. Kwa kujua wapalestina wote...
  8. M

    BRYANSK: Makombora ya Ukraine yaua watu wawili katika kijiji kimoja ndani ya Urusi

    Watu wawili wameuawa ikiwa ni matokeo ya mashambulizi kutoka Ukraine yaliyokilenga kijiji kimoja ndani ya mkoa wa Bryansk ndani ya Urusi. Hayo yamesemwa na Gavana wa mkoa huo kama alivyonukuliwa na chombo cha habari cha Urusi TASS. Mashambulizi hayo yalikipiga kijiji cha SUZEMKA kilichopo...
  9. M

    Makombora ya Urusi yaupiga Mji wa Mpakani wa Belgorod ndani ya Urusi kimakosa na kujeruhi watu 4

    Ndege ya Kivita aina ya Su-34 imeupiga mabomu mji wa Belgorod ndani ya Urusi yenyewe kimakosa na kusababisha watu 3 kujeruhiwa sana. Mlipuko Mkubwa ulisikika umbali wa Kilometa 11 na moshi mkubwa ukitanda angani. Wataalamu wanasema kuna uwezekano rubani wa ndege hiyo alipewa COORDINATES za Uongo...
  10. HERY HERNHO

    ICC yaingiwa na wasiwasi baada ya Urusi kusema itaipiga na makombora ya Hypersonic

    ICC ina wasiwasi na 'vitisho' vya Urusi juu ya kibali cha Putin Wasi wasi huo unakuja baada ya Rais wa zamani wa Urusi Dmitry Medvedev kutishia kuipiga mahakama ya uhalifu wa kivita kwa makombora ya hypersonic. ========= The International Criminal Court (ICC) has expressed concern over...
  11. kimsboy

    Kiev: Makombora ya Urusi yalivyowateketeza mamia ya maafisa wa NATO na Marekani

    MAOFISA WA NATO NA MAREKANI WAUAWA NA URUSI MJINI KIEV NCHINI UKRAINE Mashambulizi ya ndege za anga za Urusi yaliyofanywa tarehe 09/03/2023 yaliweza kuvunja mahandaki mjini Kiev kwa makombora mapya. Katika uvunjwaji wa mahandaki hayo, kulikuwa na maofisa wakuu wa Marekani pamoja na maofisa wa...
  12. Upepo wa Pesa

    Makombora ya Kanzhal ya Urusi yaendelea kurindima anga la Kyiv Ukraine

    Mimi sina mengi, hii ni taarifa kutoka kwa Pro Ukraine" kutoka huko twitter! Pia haya makombora yana uwezo wa kubeba mabomu ya nyuklia, makombora haya yanaogopwa sana NATO/USA! NB: Taifa likikosea kuchagua rais mwenye akili jua anguko lake haliko mbali.
  13. HERY HERNHO

    Korea Kaskazini imefanya majaribio ya makombora

    Vyombo vya habari vya Korea Kaskazini vimesema urushaji huo wa makombora ambao uliothibitishwa na jeshi la Korea Kusini, ulikusudiwa kuthibitishwa kutegemewa kwa makombora hayo na uwezo wa kujibu kwa haraka kitengo kinachoongoza silaha hizo. Shirika la habari la Pyongyang limeripoti kwamba...
  14. MK254

    Makombora yenye shabaha kali kupewa Ukraine, zege hailali, hii ndio fursa sasa

    Ukraine kupewa makombora yenye uwezo wa kupiga kwa shabaha kali sana, likatumwa ndipo linapiga... Kipindi hiki Urusi imelemazwa na Ukraine ndio muda muafaka wa kuwezeza Ukraine pakubwa, zege hailali, Urusi isipewe fursa ya kuamka tena.... ================== Western allies pledged precision...
  15. M

    Washington: Marekani inajiandaa kupeleka msaada wa kijeshi wa $ 2.2B kwa Ukraine yakiwemo makombora ya Masafa marefu

    Leo jumatano Wizara ya Ulinzi ya Marekani inajiandaa kutangaza msaada mpya wa kijeshi Kwa Ukraine wenye thamani ya $ 2.2B. Msaada huo Kwa mara ya kwanza utajumuisha makombora ya Masafa marefu ya GROUND LUNCHED SMALL DIAMETER BOMB (GLSDB) yenye uwezo wa kupiga umbali wa 150km. Hata hivyo...
  16. MakinikiA

    Maandalizi ya Makombora ya nyuklia ya Urusi

    The Russian Strategic Missile Forces loaded two Yars intercontinental ballistic missiles (ICBM) into their intended silos this week, the Defense Ministry reported. The Russian military released footage of the loading operations. The nuclear rearmament took place at the Kozelsk missile...
  17. M

    Air Defenses za Marekani zimeshindwa kulilinda anga la Ukraine dhidi ya makombora ya Urusi!!

    Marekani ilijinasibu sana kuwa imeshapeleka air defense system za hali ya juu lakini bado jiji la Kiev linapata kipigo cha mbwa mwizi kila urusi ikitaka. Ukraine has reportedly received two batteries of NASAMS short- to medium-range ground-based air defense systems from the US. [Twitter]...
  18. green rajab

    Makombora ya Urusi yaua wawili Poland

    Russia imerusha kombora na kutua Poland Two people died Tuesday afternoon after a projectile struck an area where grain was drying in Przewodów, a Polish village near the border with Ukraine, domestic media reported. Polish Prime Minister Mateusz Morawiecki has called an emergency meeting of...
  19. kimsboy

    Iran yapeleka makombora hatari ya Fateh nchini Urusi

    Makombora ya Iran yapelekwa nchini Russia kwa ajili ya kushambulia Ukraine Iran yapeleka makombora aina ya Fateh-110 na zolfaghar. Makombora haya yana uwezo wa kushambulia umbali wa kilometers 300 hadi kilometers 700. Iwapo makombora haya yatatumika nchini ukraine, basi kila eneo lililopo...
  20. MK254

    Uingereza kuipelekea Ukraine Makombora ya kujikinga dhidi ya mabomu ya Urusi yanayoshambulia uraiani

    Anga yote ya Ukraine hivi karibuni italindwa, ili tuendelee vizuri kwenye frontline bila kuwaza wananchi uswazi. ======== Britain on Thursday said it would supply Ukraine with air defense missiles to defend itself against Russian assaults and will for the first time provide rockets capable of...
Back
Top Bottom