makosa

Makossa is a Cameroonian style of urban music. Like much other late 20th century music of Sub-Saharan Africa, it uses strong electric bass rhythms and prominent brass. In the 1980s makossa had a wave of mainstream success across Africa and to a lesser extent abroad.
Makossa, which means "(I) dance" in the Douala language, originated from a Douala dance called the kossa. Emmanuel Nelle Eyoum started using the refrain kossa kossa in his songs with his group "Los Calvinos". The style began to take shape in the 1950s though the first recordings were not seen until a decade later. There were artists such as Eboa Lotin, Misse Ngoh and especially Manu Dibango, who popularised makossa throughout the world with his song "Soul Makossa" in 1972. The chant from the song, mamako, mamasa, maka makossa, was later used by Michael Jackson in "Wanna Be Startin' Somethin'" in 1983. Many other performers followed suit. The 2010 World cup also brought makossa to the international stage as Shakira sampled the Golden Sounds popular song "Zamina mina (Zangalewa)".
Makassi is a lighter style of makossa.

View More On Wikipedia.org
  1. Poa 2

    Mashirika ya umma na rasilimali za nchi zinazoendelea kuuzwa kwa kivuli cha mikataba

    Ni uchungu sana kuona kwamba rasilimali za taifa, mashirika ya umma na hata utu na uhuru wetu unaendea kuchezewa na wachache au yeyote atakayepewa mamlaka ya urais wa nchi hii. Yaani yeye na watu wake kwa kipindi chake. Kila rais anayeingia madarakani hupiga pake na kutulia kimya akijua...
  2. BARD AI

    Aliyekuwa Mhasibu wa Serikali ashtakiwa kwa makosa 206 ya Uhujumu Uchumi

    Eliud Jones Kijalo aliyekuwa Mhasibu wa Mfuko wa Maendeleo ya Utalii ambaye amefunguliwa mashtaka hayo pamoja na mengine ya Kughushi, Matumizi Mabaya ya Mamlaka, Ufujaji na Ubadhirifu wa Fedha ulioisababishia hasara ya Tsh. Bilioni 4.03. Mahakama imeelezwa kuwa kati ya Julai Mosi, 2016 na Julai...
  3. Beberu

    Makosa tunayofanya kwenye 20s

    Jisalimie mwenyewe mi nipo busy bana 😂😂 Ujana hususani miaka ya 20-35 ni miaka muhimu sana kwenye maisha, hapo ndipo watu huajiriwa na kuanza kuzishika pesa, huwa huru, huoa/olewa, humaliza masomo etc, ila kipindi hiki ndicho chenye makosa mengi sana kwa kuwa huwa kunakuwa na trial and errors...
  4. Suley2019

    11 Wafikishwa mahakamani kwa makosa ya utakatishaji fedha

    Watu 11 wakiwemo wafanyakazi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka 11 yakiwemo ya kusafirisha nyara za serikali na kutakatisha kiasi cha shilingi bilioni 3.2.
  5. Kamanda Asiyechoka

    Aibu kubwa Rais kutembea na 'chawa' wake na kuwalipa kutetea anapokosolewa anapofanya makosa

    Aibu kubwa sana, yaani kumbe wanagombea posho na UVCCM? This is a misuse of public funds.
  6. Afrocentric view

    Wataalamu hii CV ina makosa gani?

    Hello jf, Najua huku kuna wataalamu na maHR wenye uzoefu na hizi mambo. Kuna mdogo wangu hapa anatafuta kazi haitwi hata interview,sisi wengine hatuelewi haya mambo tuliishia la7 B tukaingia kwenye biashara. Hii Cv yake ina mapungufu gani?
  7. M

    Hivi hizi Kinga za Makosa ya kijinai zina Faida gani Kwa Taifa?

    Moja ya vitu vinavyonishangaza katika nchi yangu mama Tanzania, ni ubunifu walionao viongozi wa serikali katika Kuhakikisha yale yanayo wahusu yanafanikiwa, au yanafanyika kadili wao wanavyopenda tena kupitia chombo muhimu kama bunge. Sijawasikia wakipeleka muswada wa kufanyia marekebisho...
  8. T

    Ninaamini, leo angelikuwepo Mwl. Nyerere, angekuwa wa kwanza kusema yalikuwa makosa kuwapa Wazanzibari Ardhi ya RAZABA huko Bagamoyo

    Hadi hivi sasa huko Razaba, kuna watu wanaendesha shughuri zao za kila siku, na hii ni kwa sababu, hapakuwa na kufahamu iwapo eneo hilo linamilikiwa na Wazanzibari Unajiuliza, watu hao sasa wahamie wapi Kwamba nchi iliyo na watu milioni 59+ igawe aridhi yake kwa nchi yenye watu milioni 1+...
  9. R

    Ziada Seukindo (Meneja Programu JF): Uelewa wa Sheria za Mtandao kwa watu bado ni mdogo

    Picha: Ziada Seukindo Meneja Programu JamiiForums Ziada Seukindo, Mtetezi/mchechemuzi wa haki za kidigitali na mtaalamu wa ushiriki wa wananchi mtandani na program meneja jamiiForums ashiriki mahojiano na Redio ya Kiss FM katika mjadala unaosema, Sheria za mitandao kutofahamika vizuri miongoni...
  10. Yericko Nyerere

    Makosa makubwa ya Muswada wa TISS

    MAKOSA MAKUBWA YA MSWADA WA TISS Sehemu ya 1. Moja ya makosa ya mswada wa sheria ya Usalama wa Taifa, kipengele cha 5 cha mswada huo kinampa mamlaka Afisa usalama kukamata na kupekua viongozi, hapa Kifungu hicho kina kinakinzana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano inayosema kila mtu sawa mbele ya...
  11. O

    SoC03 Makosa ya Utawala Bora na Jinsi ya kuyatatua

    Tanzania ni moja ya nchi zinazokabiliwa na changamoto kubwa katika suala la uwajibikaji na utawala bora. Hali hii inatokana na sababu mbalimbali. Kuna baadhi ya mifano ya udhaifu wa utawala bora na uwajibikaji nchini Tanzania. Hapa chini nitatoa mifano michache: Sheria: udhaifu katika mifumo...
  12. Chizi Maarifa

    Mvua ndiyo ilikuwa tatizo Uwanjani. Tumejua makosa yetu ni...

    Mvua jana ndo ilitunyima ushindi. Uwanja ukawa unateleza. Na pia iliondoa .... Kabisa. Waarabu wanatumia sana majini. Morrison hakuwa wa kukosa lile goal. Namjua Morrison maeneo kama yale. Lakini wale washenzi walikuwa na majini yao hadi uwanjani. Tumepambana sana tulikosea padogo tu. Ila...
  13. Stephano Mgendanyi

    Serikali kupitia Wizara ya Katiba na Sheria imezindua mwongozo wa ushirikiano wa wadau katika upelelezi, uratibu na kupambana na makosa hayo

    SERIKALI YAZINDUA MWONGOZO WA USHIRIKIANO WA WADAU KATIKA UPELELEZI, URATIBU NA KUPAMBANA NA MAKOSA YAO Katika kupambana na vitendo vya ugaidi na utakatishaji fedha haramu, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Katiba na Sheria imezindua mwongozo wa ushirikiano wa wadau...
  14. Infinite_Kiumeni

    Jifunze kuona makosa kama masomo na sio majuto na kujichukia, utakua na amani zaidi

    Natamani ningetumia muda mwingi zaidi pamoja naye. Natamani ningekua namsikiliza na kuongea naye. Natamani ningemtongoza mapema kabla jamaa hajamchukua. Saivi yupo na bwana mwingine. Hiyo ni mifano tu ya majuto. Ukiona unatumia “nge” sana ujue upo kwenye majuto. Ni kweli umri unaenda lakini...
  15. Dr. Zaganza

    Ukituliza Akili Utagundua Kuna Makosa Tulikuwa Na Nafasi Ya Kuyaepuka Ikiwemo Haya Makosa Matatu

    Niko Kilomita zaidi ya elf nane (8, 000 km) kutoka jiji langu la Dar lenye pilika nyingi zinazoninyima nafasi ya kuandika mawazo yangu yawe mchango kwa wengine wanaopambana kama mimi kuwa bora kiuchumi, kiafya, kiimani na kifamilia au kijamii kwa ujumla. Nikiwa hapa Guangzhou (China) kusaka...
  16. BARD AI

    Nchi za Afrika zilizofuta Adhabu ya Kifo kwa Makosa yote

    1981 - Cape Verde 1990 - Msumbiji, Namibia, Sao Tome 1992 - Angola 1993 - Guinea-Bissau, Seychelles 1995 - Djibouti, Mauritius 1997 - Afrika Kusini 2000 - Ivory Coast 2004 - Senegal 2007 - Rwanda 2009 - Burundi, Togo 2010 - Gabon 2015 - Congo-Brazzaville, Madagascar 2016 - Benin 2017 - Guinea...
  17. McCord

    Hakuna kabisa dawa ya makosa yakututakasa ila damu yake Yesu

    Anayeijua hii tenzi anisaidie kwa kuipata na kama ana link ya audio anisaidie
  18. K

    Mpaka sasa bado sijaona makosa ya Hayati Magufuli labda kosa alilonalo ni kuipenda Tanzania kwa maisha yake na huo ndio upendo wa kweli.

    Mpaka sasa najaribu kutafuta makosa ya Hayati JPM nikiri kusema sijaona makosa yoyote labda pengine macho yangu yameamua kuangalia yanayopendezwa nayo au kwa sababu nyingine yoyote ila sijaona. Nakumbuka Hayati aliwahi kusema alikuwa anafuatwa na makandarasi na kumuahidi mabilioni ya shilingi...
  19. KENGE 01

    SoC03 Makosa yetu ndio maradhi yetu, Afya ni mtaji

    MAKOSA YETU NDIO MARADHI YETU UTANGULIZI Wasomaji Nawasalimu kwa jina la JMT,Kazi iendelee. Kwanini nasema makosa yetu ndio maradhi yetu?Kwasababu makosa mengi tuyafanyayo kwa kujua au kutokujua ndio yanatuletea maradhi na Magonjwa.Jamii inawatu mbalimbali wanaoishi maisha ya kutofautiana...
  20. Mcqueenen

    Makosa ambayo watu wengi hufanya katika kujenga au kujibu hoja humu jukwaani

    Kupitia mijadala mingi humu jukwaani,nimegundua watu wengi hawajui kujadiliana na mara nyingi hoja zao huwa na makosa,kasoro au upotofu. Ni tofauti na mijadala ya Quora au reddit inavyoenda. Kasoro za kimantiki ni makosa yanayotokea wakati hoja au maelezo yanayotolewa hayafuati misingi ya...
Back
Top Bottom