makundi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    Kenani Kihongosi atua Singida kuzungumza na Vijana makundi matatu

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM Taifa (UVCCM) Ndugu Kenani Kihongosi kuanzia leo Alhamisi na kesho Ijumaa Machi 02-03/03/2023 atakuwa mkoani Singida na kufanya matukio matatu:- ✅ Kukutana na kuzungumza na Vijana wa Bodaboda na Bajaji. ✅Kukutana na kuzungumza na Vijana wa Chuo...
  2. Dr Matola PhD

    Tuwe wakweli, kuna timu dhaifu inaweza kuingia kwenye ligi ya makundi CAF?

    Kuna mbumbumbu Tanzania hili halipingi, leo Nina swali moja tu, naomba nielimishwe mchakato unaopitia timu mpaka kufika kwenye makundi ni UPI? Tukishaujuwa mchakato huo tueleza ukweli je kuna timu dhaifu unaweza kutobowa kufika makundi? Kama jibu ni ndio turudi kwetu tujiulize Simba na Yanga...
  3. G

    Leo ni siku ya uchaguzi Nigeria, Ijue Nigeria kwa jinsi makundi ya ukanda, udini na ukabila yanavyopewa uzito kwenye siasa

    Ukanda na ukabila Kanda ya kaskazini wapo wahausa ambao wanaongoza kwa wingi, hawa ni kama wasukuma hapa kwetu, asilimia kubwa sana ni waislamu, hawa wahausa wengi hawana elimu lakini wanajya kucheza power game, wana influence kubwa hata kwenye jeshi, Kanda ya kusini maghahribi wapo wayoruba...
  4. M

    Mashindano ya CAF ngazi ya makundi kwa vilabu 2022/2023

    Habari wadau wa JF. Naomba mupokee na kuendelea kuboresha hili bandiko linalohusu mashindano ya CAF kwa vilabu kwa msimu wa mwaka 2022/2023. Kwa kuanzia nitaweka misimamo kwa mashindano tajwa ambapo nitawaomba wadau muanze kutoa tathmini zenu bila matusi kuangalia mafanikio ya vilabu toka katika...
  5. B

    Simba tutatoboa kweli makundi mwaka huu 2023?

    Kwa mpira wa jana je Simba tutatoboa makundi kweli? Naiona simba ikistruggle sana chini ya Robertinho. Saido na Chama mmoja awe anaanzia benchi baadae Saido ndio aingieee. Tuwe na timu ya mgunda full stop.
  6. Natafuta Ajira

    Yanga atapita hatua ya makundi, Simba atashika nafasi ya mwisho kwenye kundi lake

    Day 3. Vipers anamkaribisha simba na raja anamkaribisha horoya ambapo wenyeji wote watashinda. Day 4: Simba anamkaribisha vipers game itaisha sare, horoya anamkaribisha raja na mgeni atashinda. Day 5: simba anamfata raja mwenyeji atashinda na vipers anamfata horoya game itaisha sare. Day 6...
  7. Hemedy Jr Junior

    Makundi ya watu ambao huwezi kuwakwepa duniani

    1. WANAFIKI* Hili ni kundi la watu ambao wakiwa na wewe lakini wakiwa mbali na wewe wanaokusema vibaya au kukufanyia mambo mabaya. Watu kaka hawa hukupa changamoto na ni ngumu kumjua mnafiki kwa sababu watacheka na wewe pia wakiwa na wewe watafurahi huku nyuma ya pazia wakiwa wanakuwazia mabaya...
  8. Four-Star General

    Simba na Yanga hazitofuzu kwenye makundi yao

    Wote wataishia kutolewa katika hatua ya makundi. Sioni timu yoyote ya Tanzania iliyovizuri katika michuano ya kimataifa. Kwahyo nawaomba mpunguze matarajio makubwa vichwani vyenu
  9. The Sunk Cost Fallacy 2

    Papa Francis: Mapenzi ya Jinsia Moja siyo Kosa, siyo Uhalifu, lakini ni Dhambi

    Hello Wadau. Papa Francis wa RC ya Vatican ameupiga mwingi kwa kuunga mkono ushoga na kusema mashoga siyo wahaliifu, na kwamba ni wana wa Mungu pia.🙄🙄 Haijaeleweka mara moja ikiwa huu ndiyo msimamo wa Kanisa Katoliki au ni maoni binafsi ya Papa Francis. Commets ziwe fupi fupi tafadhali. Video...
  10. R

    Makundi mawili yatakayoambulia aibu 2025

    Kumekuchaa! Heri ya Mwaka Mpya 2023. Siku zinazidi kusonga mbele huku joto la kisiasa likizidi kupaa. Za chini chini zinasema hivi kuna makundi matatu yanayoenda kutifuana huko mbele 2025. A. Kundi A Hili ni lile la waliokuwa madadakani na sasa hawamo tena. Hili ni kundi la wafuasi wa Hayati...
  11. BARD AI

    ANC wagawanyika baada ya kibuka wanaomuunga mkono na wanaompinga Ramaphosa

    Chama tawala nchini Afrika Kusini cha African National Congress kimewateua wajumbe wawili kugombea nafasi ya uongozi wa chama hicho. Mshindi wa kinyangànyiro hicho atagombea urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2024. Wajumbe hao ni mwenyekiti wa sasa Cyril Ramaphosa ambaye pia ni rais wa Afrika...
  12. Chagu wa Malunde

    2025 tumuunge mkono mama Samia. Kama kuna dukuduku la mapungufu tumweleze ashughulikie. Hakuna haja ya kuwa na makundi

    Ni vyema tukubali kuwa kazi inaendelea. Miradi mikakati inakwenda vizuri. Mfano daraja la Wami limekamilika. Sgr kipande cha Dar Moro kipo tayari na na kitaleta mabadiliko ya maisha kwa wananchi. Tumuunge mkono mama ili kazi iendelee. Hakuna haja ya kuwa na makundi na na kuleta kauzibe kwa mama...
  13. MK254

    Makundi 53 ya waasi DRC yakubali yaishe kwenye kikao Kenya

    Kwenye shughuli iliyosimamiwa na kuratibiwa na aliyekua rais wa Kenya bwana Uhuru Kenyatta. Wamekubali kuweka silaha chini na kuanza shughuli za ujenzi wa taifa, ikumbukwe jumuia ya EAC iliazimia kwamba amani lazima ipatikane DRC kwa heri au shari, chagua moja. Pia M23 wametuma ujumbe wako...
  14. Logikos

    Jinsi Algeria walivyoibiwa - Historia ya Makundi kumaliza kwa Wakati Mmoja

    Ni Mwaka 1982, siku ya tatu iliwakutanisha Algeria na West German ambao walijua wanakwenda kutimiza wajibu. "We will Dedicate our Seventh Goal to our wives and the eighth to our dogs." Game ikachezwa na German wakapigwa 2-1 mechi ya kwanza. Ingawa Algeria alifungwa mechi ya pili na Austria...
  15. Dr. Zaganza

    Top 5 ya makundi yanayoongoza kumnyanyasa mwanamke na mtoto japo yanajua kujificha

    TAMWA wanatafsiri Ukatili wa kijinsia kuwa ni kitendo anachofanyiwa mtu yeyote mwanamke au mwanaume kwa lengo la kumdhuru au kumuumiza kisaikolojia, kimwili, kiafya, kingono na kiuchumi. Hata hivyo tafiti nyingi zimeonyesha kwamba wanawake ndiyo wahanga wakuu wa ukatili wa kijinsia. Tukimjadili...
  16. Carlos The Jackal

    Tetesi :Walamba Asali kuandaa makongamano, maandamo ya makundi mbalimbali , ikiwemo ya kigeni Rasimi, ili mgeni Rasimi amchambe Dkt Bashiru

    Wakuu, Msiombe Mwanafamilia kusimama aseme Ukweli na kukemea maovu yanayoendelea ndani ya familia Unaambiwa utaitwa Kila jina, mchawi wewe, huna shukran wewe, msaliti wewee n.k !! Ndiyo hayo anayopitia Mh na Dkt Bashiru !! Dkt Bashiru kaamua kutumia sauti yake kufikisha ujumbe wa...
  17. William Mshumbusi

    Phiri Mosses Lazima Aumizwe vibaya kabla hatua ya makundi iwapo Simba itakalia kimya mipango ya wapinzani dhidi ya Nyota wao

    Kwanini viongozi Simba hawaoni Hilo. Nyota wao wote hukumbana na rafu mbaya Sana karibu kila gemu zinazohatarisha maisha yao ya Mpira. Simba Ni klabu kubwa isisubiri mpaka mtu Avunjwe goti ndio watoe malalamiko. Juzi Phiri anafanyiwa rafu mbaya kabisa mbele ya kibendera na Mpira unaelekezwa...
  18. Bushmamy

    Makundi ya wanawake na watoto wapiga hodi nyumba kwa nyumba kuomba unga na chakula kutokana na Uhaba wa chakula

    Baadhi ya wakazi Wilaya ya Arumeru, Arusha wameomba Serikali kuingilia kati hali ya uhaba wa chakula ambayo sio ya kawaida inayoendelea katika mkoa huo. Hali hiyo imesababisha makundi ya kina mama na watoto kutembea umbali mrefu wakitafuta chakula kwa kuombaomba maeneo tofauti, ambapo mara...
  19. GENTAMYCINE

    Hongereni sana Yanga SC kwa Ushindi na Kuingia Makundi CAFCC

    Mmecheza mpira mwingi na mkubwa mno huku wachezaji wote wakiwa na ari, nia na uthubutu wa kufanya vyema, na hakika mmekifanya na mmestahili pia. Hata hivyo mwenyewe tu kimoyo moyo nilikuwa bado natafuta kiini cha ajali ya ndege ya watu majuzi na waliosababisha, kwani kwa ndege kama ile, tena...
  20. Championship

    Simu ya Nabi kwa Mgunda leo asubuhi yaipeleka Yanga makundi ya Shirikisho Afrika

    Mpira umetembea leo kule Tunis kwasababu ya simu aliyopiga Kocha kupata ushauri kutoka kwa Guardiola Mnene. Nampongeza Kocha kwa uamuzi wa busara.
Back
Top Bottom