Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM Taifa (UVCCM) Ndugu Kenani Kihongosi kuanzia leo Alhamisi na kesho Ijumaa Machi 02-03/03/2023 atakuwa mkoani Singida na kufanya matukio matatu:-
✅ Kukutana na kuzungumza na Vijana wa Bodaboda na Bajaji.
✅Kukutana na kuzungumza na Vijana wa Chuo...
Kuna mbumbumbu Tanzania hili halipingi, leo Nina swali moja tu, naomba nielimishwe mchakato unaopitia timu mpaka kufika kwenye makundi ni UPI?
Tukishaujuwa mchakato huo tueleza ukweli je kuna timu dhaifu unaweza kutobowa kufika makundi? Kama jibu ni ndio turudi kwetu tujiulize Simba na Yanga...
Ukanda na ukabila
Kanda ya kaskazini wapo wahausa ambao wanaongoza kwa wingi, hawa ni kama wasukuma hapa kwetu, asilimia kubwa sana ni waislamu, hawa wahausa wengi hawana elimu lakini wanajya kucheza power game, wana influence kubwa hata kwenye jeshi,
Kanda ya kusini maghahribi wapo wayoruba...
Habari wadau wa JF. Naomba mupokee na kuendelea kuboresha hili bandiko linalohusu mashindano ya CAF kwa vilabu kwa msimu wa mwaka 2022/2023. Kwa kuanzia nitaweka misimamo kwa mashindano tajwa ambapo nitawaomba wadau muanze kutoa tathmini zenu bila matusi kuangalia mafanikio ya vilabu toka katika...
Kwa mpira wa jana je Simba tutatoboa makundi kweli? Naiona simba ikistruggle sana chini ya Robertinho.
Saido na Chama mmoja awe anaanzia benchi baadae Saido ndio aingieee. Tuwe na timu ya mgunda full stop.
Day 3. Vipers anamkaribisha simba na raja anamkaribisha horoya ambapo wenyeji wote watashinda. Day 4: Simba anamkaribisha vipers game itaisha sare, horoya anamkaribisha raja na mgeni atashinda. Day 5: simba anamfata raja mwenyeji atashinda na vipers anamfata horoya game itaisha sare. Day 6...
1. WANAFIKI*
Hili ni kundi la watu ambao wakiwa na wewe lakini wakiwa mbali na wewe wanaokusema vibaya au kukufanyia mambo mabaya. Watu kaka hawa hukupa changamoto na ni ngumu kumjua mnafiki kwa sababu watacheka na wewe pia wakiwa na wewe watafurahi huku nyuma ya pazia wakiwa wanakuwazia mabaya...
Wote wataishia kutolewa katika hatua ya makundi.
Sioni timu yoyote ya Tanzania iliyovizuri katika michuano ya kimataifa.
Kwahyo nawaomba mpunguze matarajio makubwa vichwani vyenu
Hello Wadau.
Papa Francis wa RC ya Vatican ameupiga mwingi kwa kuunga mkono ushoga na kusema mashoga siyo wahaliifu, na kwamba ni wana wa Mungu pia.🙄🙄
Haijaeleweka mara moja ikiwa huu ndiyo msimamo wa Kanisa Katoliki au ni maoni binafsi ya Papa Francis.
Commets ziwe fupi fupi tafadhali.
Video...
akemea
biblia
catholic
drc
haki
jinsia
kosa
kuhusu
kupata
kupinga
kutumia
kwani
kwenda
makanisa
makundi
mapenzi
moja
mtoto
mungu
muongozo
njia
papa
papa francis
sahihi
sheria
suala
tanzania
tuna
ufafanuzi
uhalifu
ulaya
ushoga
vifungu
vipi
wote
ziara
Kumekuchaa! Heri ya Mwaka Mpya 2023.
Siku zinazidi kusonga mbele huku joto la kisiasa likizidi kupaa.
Za chini chini zinasema hivi kuna makundi matatu yanayoenda kutifuana huko mbele 2025.
A. Kundi A Hili ni lile la waliokuwa madadakani na sasa hawamo tena. Hili ni kundi la wafuasi wa Hayati...
Chama tawala nchini Afrika Kusini cha African National Congress kimewateua wajumbe wawili kugombea nafasi ya uongozi wa chama hicho. Mshindi wa kinyangànyiro hicho atagombea urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2024.
Wajumbe hao ni mwenyekiti wa sasa Cyril Ramaphosa ambaye pia ni rais wa Afrika...
Ni vyema tukubali kuwa kazi inaendelea. Miradi mikakati inakwenda vizuri. Mfano daraja la Wami limekamilika. Sgr kipande cha Dar Moro kipo tayari na na kitaleta mabadiliko ya maisha kwa wananchi.
Tumuunge mkono mama ili kazi iendelee. Hakuna haja ya kuwa na makundi na na kuleta kauzibe kwa mama...
Kwenye shughuli iliyosimamiwa na kuratibiwa na aliyekua rais wa Kenya bwana Uhuru Kenyatta.
Wamekubali kuweka silaha chini na kuanza shughuli za ujenzi wa taifa, ikumbukwe jumuia ya EAC iliazimia kwamba amani lazima ipatikane DRC kwa heri au shari, chagua moja.
Pia M23 wametuma ujumbe wako...
Ni Mwaka 1982, siku ya tatu iliwakutanisha Algeria na West German ambao walijua wanakwenda kutimiza wajibu.
"We will Dedicate our Seventh Goal to our wives and the eighth to our dogs."
Game ikachezwa na German wakapigwa 2-1 mechi ya kwanza.
Ingawa Algeria alifungwa mechi ya pili na Austria...
TAMWA wanatafsiri Ukatili wa kijinsia kuwa ni kitendo anachofanyiwa mtu yeyote mwanamke au mwanaume kwa lengo la kumdhuru au kumuumiza kisaikolojia, kimwili, kiafya, kingono na kiuchumi. Hata hivyo tafiti nyingi zimeonyesha kwamba wanawake ndiyo wahanga wakuu wa ukatili wa kijinsia.
Tukimjadili...
Wakuu, Msiombe Mwanafamilia kusimama aseme Ukweli na kukemea maovu yanayoendelea ndani ya familia
Unaambiwa utaitwa Kila jina, mchawi wewe, huna shukran wewe, msaliti wewee n.k !!
Ndiyo hayo anayopitia Mh na Dkt Bashiru !!
Dkt Bashiru kaamua kutumia sauti yake kufikisha ujumbe wa...
Kwanini viongozi Simba hawaoni Hilo. Nyota wao wote hukumbana na rafu mbaya Sana karibu kila gemu zinazohatarisha maisha yao ya Mpira.
Simba Ni klabu kubwa isisubiri mpaka mtu Avunjwe goti ndio watoe malalamiko.
Juzi Phiri anafanyiwa rafu mbaya kabisa mbele ya kibendera na Mpira unaelekezwa...
Baadhi ya wakazi Wilaya ya Arumeru, Arusha wameomba Serikali kuingilia kati hali ya uhaba wa chakula ambayo sio ya kawaida inayoendelea katika mkoa huo.
Hali hiyo imesababisha makundi ya kina mama na watoto kutembea umbali mrefu wakitafuta chakula kwa kuombaomba maeneo tofauti, ambapo mara...
Mmecheza mpira mwingi na mkubwa mno huku wachezaji wote wakiwa na ari, nia na uthubutu wa kufanya vyema, na hakika mmekifanya na mmestahili pia.
Hata hivyo mwenyewe tu kimoyo moyo nilikuwa bado natafuta kiini cha ajali ya ndege ya watu majuzi na waliosababisha, kwani kwa ndege kama ile, tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.