malcom lumumbamshana jr jingalao msemajikweli

  1. Herbalist Dr MziziMkavu

    Rais Samia atamani JKT ya kisasa zaidi

    Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajab Mabele leo Julai 10, 2023 wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) yaliyofanyika katika Uwanja wa Jamhuri Dodoma. Picha na Ikulu. Muktasari: Rais Samia...
  2. Herbalist Dr MziziMkavu

    Nchi 9 mpya za Afrika kupokea mamilioni ya chanjo za malaria

    Afrika ina idadi kubwa zaidi ya wagonjwa wa malaria duniani na jitihada zinafanywa kupunguza mzigo huo. Malaria inasalia kuwa moja ya magonjwa hatari zaidi barani / Picha: AP Muungano wa kimataifa wa chanjo (GAVI) umesema nchi 12 barani Afrika zitapokea dozi milioni 18 za chanjo ya malaria...
  3. Mmawia

    Ndege ya Tanzania (ATCL) iliyokuwa ikishikiliwa nchini Uholanzi imeachiwa na kurejea nchini

    Tuliwaita mabeberu na majina ya kuwabeza lkn wao bado wanatujali. Hatimaye dege letu lililokuwa limepigwa pin huko kwa mabeberu hatimaye limefunguliwa. Asante sana wazungu kwa uwajibikaji. Kuhusu ndege kukamatwa soma Serikali yakiri Ndege yake kushikiliwa Uholanzi, sababu ni kushindwa kesi...
  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    Tanzania: Kivutio bora cha Utalii Afrika, watalii wasema

    Uhamiaji wa Nyumbu wa Bluu, Connochaetes Taurinus, Wakitembea Machweo katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti Kusini. / Picha: Picha za Getty / Photo: Getty Aidha, Serengeti imenyakua nafasi ya tatu Nyuma ya Mauritius and Kathmandu kwenye kitengo cha Maeneo Bora ya Asili - Ulimwenguni. Serengeti...
  5. Herbalist Dr MziziMkavu

    Umoja wa Mataifa kufanya mkutano wa dharura kuhusu 'ongezeko la tishio' kwa uchomaji moto wa Quran Ulaya

    Umoja wa Mataifa unasema visa vya uchomaji Quran vinaongezeka barani Ulaya. Picha: AFP Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa litafanya kikao cha dharura katika siku zijazo kujadili matukio ya hivi karibuni ya kuchomwa moto kwa kitabu kitakatifu cha Quran barani Ulaya, msemaji wa...
  6. Sildenafil Citrate

    Papa Francis alaani kuchomwa kwa Quran

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Dunaini, Papa Francis, amelaani kwa matamshi makali vitendo vya kuchomwa kitabu kitakatifu kwa Waislamu, Qur'an. Papa Francis pia ametoa wito wa kuheshimiwa kwa vitabu vitakatifu vya dini kama njla ya kuonesha heshima kwa Watu wanaoviamini, katika mahojiano na gazeti...
  7. Herbalist Dr MziziMkavu

    Erdogan ameapa kujenga upya mji uliokumbwa na Tetemeko

    erdogan / Photo: AA Archive Rais wa Uturuki ameapa kulijenga upya eneo la kusini mwa nchi hiyo kufuatia tetemeko kubwa la ardhi lililosababisha vifo vya zaidi ya watu 50,000 mwezi uliopita. "Lengo letu ni kuinua eneo la tetemeko la ardhi," Recep Tayyip Erdogan alisema Jumapili baada ya chakula...
  8. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ujasusi wa Uturuki 'yamkata makali' mkuu wa kijasusi wa Iraq wa PKK

    Ankara imekuwa ikifanya mashambulizi kadhaa ya kupambana na ugaidi kaskazini mwa Iraq ili kuwaangamiza magaidi. / Picha: Jalada la AA Hasan, kwa jina maarufu Celal Kaya, aliyetambuliwa kama 'afisa wa Ujasusi' na kundi la kigaidi la PKK nchini Iraq, "amekatwa makali " katika operesheni...
  9. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mabadiliko ya sheria ya kupambana na ugaidi ya Sweden yanapaswa kuonyeshwa kwa vitendo

    Maafisa wakuu kutoka nchi hizo tatu wanachunguza pingamizi la Uturuki dhidi ya uanachama wa Uswidi katika muungano wa kijeshi, na kuona ni nini zaidi kifanyike ili kuvunja mkwamo huo. Mkutano wa Alhamisi unakuja kabla ya mkutano wa kilele wa NATO huko Vilnius, Lithuania utakaofanyika Julai...
  10. Herbalist Dr MziziMkavu

    Erdogan asema Ukraine inastahili nafasi katika NATO. Zelenskyy asifu Uturuki kwa usaidizi wake

    Erdogan amefanya mazungumzo na Zelenskyy Istanbul / Picha: AA Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amemueleza mwenzake wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy kuwa Kiev ilistahili kujiunga na NATO, lakini pia ameiambia ifanye mazungumzo ya amani na Moscow. "Hakuna shaka kwamba Ukraine inastahili...
  11. Herbalist Dr MziziMkavu

    Hizi ni sababu 7 kwa nini ule ndizi leo

    dizi ni mojawapo ya tunda linalopendwa zaidi duniani, likiwa limesheheni vitamini na madini. Ziko faida kadhaa za kiafya za ndizi ambazo ni muhimu kwa mlaji kula tunda hili. Faida hizi ni pamoja na: 1: Inasawazisha maji ya mwili "homoni": ndizi ina kiasi kikubwa cha potasiamu na vitamini B6...
  12. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ama kweli huduma ya afya ya Zanzibar haitokuwa na tofauti na Uingereza

    Haya mambo mengine bora mtu ucheke tu upate thawabu. Hakuna Watu waongo katika Dunia hii kama Wanasiasa.
  13. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mtoto wa masikini na mtoto wa tajiri

    Mtoto wa maskini na mtoto wa tajiri.
  14. Boss la DP World

    Utafiti: Mitindo ya kujamiiana Inaweza kuvunja Uume Wako

    Utafiti wa Madaktari wa Idara ya Magonjwa ya Mfumo wa Mkojo katika Hospitali ya Benjamin Mkapa umebainisha kuwa mitindo mbalimbali ya kujamiiana inaweza kusababisha uume uliosimama kwa muda mrefu kuvunjika ukiwemo mtindo wa Mwanaume kukaliwa juu na Mwanamke mwenye uzito mkubwa. Utafiti wa...
  15. Herbalist Dr MziziMkavu

    Korti yazidi kumweka kifungoni Fatma Karume

    Dar es Salaam. Hatima ya wakili wa kujitegemea, Fatma Karume kufanya kazi ya uwakili Tanzania Bara bado iko njiapanda baada ya Mahakama ya Rufani kutupilia mbali shauri lake la kupinga kusimamishwa. Wakili Karume maarufu kama Shangazi, alisimamishwa kwa muda kutoa huduma hiyo na Mahakama Kuu...
  16. Herbalist Dr MziziMkavu

    Picha yangu ya leo Jioni

    Hebu niambie ukweli jinsi ugumu wa maisha yako unavyolalamika na unayachukia maisha yako jinsi alivyokupangia mungu. Halafu uje ufananishe na huyu mtoto maisha yake jinsi yalivyo. Je muko sawa na wewe unayelalamika ovyo?
  17. Herbalist Dr MziziMkavu

    Tanzania ni nchi tajiri lakini wananchi wake ni masikini, ajabu sana

    Hifadhi kubwa zaidi ya gesi ya Helium yagunduliwa Tanzania Wataalumu wa madini kutoka Norway wamegundua uwepo wa takriban futi bilioni 54 za gesi hiyo ya barafu kama inavyofahamika. Hifadhi ya gesi ya Helium yagunduliwa Tanzania Tanzania ni miongoni mwa mataifa machache duniani yaliyojaliwa...
  18. Herbalist Dr MziziMkavu

    Msikilize Lusinde ishu ya Bandari kukodishwa

    MSIKILIZE LUSINDE ISHU YA BANDARI KUKODISHWA.
  19. Herbalist Dr MziziMkavu

    Dkt. Wilbroad Slaa asema zuio la maandamano sakata la bandari ni kinyume cha sheria

    Dkt. Slaa: Leo naomba kuzungumza nanyi kidogo kwa mujibu wa katiba yetu ibara ya 20. Nina taarifa kwamba kesho asubuhi majira ya saa mbili vijana wataandamana kutoka Temeke kwenda kukabidhi maoni yao, hoja zao, kwa mpendwa Rais wao kule Magogoni. Vijana hao ambao wanaandamana walipeleka barua...
  20. Herbalist Dr MziziMkavu

    Dalili kubwa 20 za mtu kuwa na uchawi mwilini

    DALILI KUBWA 20 ZA MTU KUWA NA UCHAWI MWILINI Watu wengi wamekuwa wakirudishwa nyuma kimaisha na kujikuta wakiangukia pua bila kujua chanzo nini. Wachawi wana mbinu kali hasa wanapotaka kutekeleza jambo lao. Nimekuwekea dalili za kufahamu kama una uchawi mwilini mwako. Kuota mara kwa mara...
Back
Top Bottom