malcom lumumbamshana jr jingalao msemajikweli

  1. Trilioni zetu 360 zipo wapi? Leo Bunge zima linapiga makofi kwa Trilioni 1.3!

    Luhaga Mpina: Trilioni Zetu 360 Zipo Wapi? Bunge zima linapiga makofi kwa Trilioni 1.3. "Tunazo trilioni 360 zimeshikiliwa na Mahakama uamuzi haujatoka, nilitegemea kwenye mpango hapa isemwe hela hizo ziko wapi. Leo bunge zima linapiga makofi kwa Trilioni 1.3 tulizopewa na IMF mpaka mikono...
  2. Mpina akiwasha tena Tsh. Trilioni 2 za SGR ataka mkandarasi atimuliwe. Naibu Waziri amjibu

    Mpina akiwasha tena Sh2 Trilioni za SGR ataka mkandarasi atimuliwe; Naibu Waziri amjibu
  3. Picha Yangu ya leo

  4. RC Chalamila akitoa Mawaidha kwa Wakristu

    Msikilize Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila akitoa mawaidha wa Wakristu.
  5. Mwandishi Mkuu Gazeti la Mwananchi ashauri Serikali kubadili msimamo Uraia pacha

    Dar es Salaam. Mwandishi wa Habari Mkuu wa Gazeti la Mwananchi, Elias Msuya ameshauri Serikali kutazama upya msimamo wake kuhusu zuio la uraia pacha, akisema uraia pacha utasaidia kufungua milango kwa Watanzania na fursa za Taifa kunufaika kiuchumi. Msuya ametoa kauli hiyo leo Jumatano, Mei...
  6. Orodha ya ndoto (karibia zote) na maana yake

    NDOTO ZA UTAJIRI 1. 777 -Kuota vitu mafungu 3 kila fungu vipo 7. 2. UNAHIFADHI PESA SEHEMU SALAMA. Sehemu salama kama kwenye kopo, droo, benki n.k 3. Kuokota pesa za sarafu za zamani. 4. Unafanya mtihani na umefaulu kwa alama za juu hadi unasifiwa. 5. Mwanamke kuota amejifungua mtoto wa kike...
  7. Mpina: Nchi yetu imefilisika hadi inapangisha Bandari? Tusikubali hili

    MPINA AILIPUA VIKALI SERIKALI, "NI HATARI SANA KWA TAIFA, NAWASHINIKIZA TUSIKUBALI HII" Nchi yetu imefilisika kipesa inapangisha aka kuwekeza mpaka Bandari? Ninamuunga Mkono Mpina maneno yake anayo zungumza yana point kubwa. Uwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana...
  8. “Uturuki ni rafiki iwe mvua au Jua” ubalozi wa Tanzania, Uturuki

    “Uturuki ni rafiki iwe mvua au Jua” ubalozi wa Tanzania, Uturuki Nchi hizi mbili zinafanya kazi pamoja katika nyanja nyingi Tanzania na Uturuki wana ushirikiano mzuri wa kidiplomasia I Picha Balozi wa Tanzania nchini Uturuki, Mheshimiwa Lt Jenerali (Mst) kutoka Ubalozi wa Tanzania nchini...
  9. Tanzania yajipanga kujenga setelaiti yake

    Tanzania yatangaza mpango wa kujenga na kurusha setelaiti yake angani. Picha: Ikulu Tanzania Katika kukuza na kuendeleza tekinolojia, Tanzania kupitia rais wa nchi hiyo Samia Suluhu Hassan imetangaza kuwa inajenga setelaiti yake na tayari harakati zimeanza. Na Lulu Sanga Kwa mara ya kwanza...
  10. 'Vyombo vya habari vya Magharibi vilivyo na upendeleo vinavyojaribu kushawishi uamuzi wa wapiga kura wa Uturuki'

    ‘Biased Western media trying to influence decision of Turkish voters’ Several Western-based publications have been accused of biased reporting, with suggestions that this is an attempt to influence the voting behaviour of the Turkish public. AA "Turkish people will show these news outlets that...
  11. Leo mtu mmoja atolewa katika kifusi cha udongo mjini Antakya nchini Uturuki; yupo hai baada ya miezi 3 tangu kutokea tetemeko la ardhi

    Leo huko Antakya, Uturuki Mtu huyu alitolewa nje. Kutoka chini ya vifusi vy concreti alikuwa hai, miezi mitatu baada ya tetemeko la ardhi kutokea Uturuki, SubhanaAllah Yeye Allah ni muweza wa kila kitu. ======== Taarifa hii si ya kweli. Pata taarifa zaidi katika Jukwaa la JamiiCheck kupitia...
  12. Ipe neno picha yangu ya leo..

  13. Ipe neno picha yangu ya leo..

  14. Update: Miili iliyofukuliwa ya Waumini waliofunga hadi kufa yafikia 83

    UPDATE: Miili zaidi imefukuliwa katika Makaburi yanayohusishwa na 'ibada ya njaa', na kufanya jumla ya vifo kufikia 83, huku idadi hiyo ikitarajiwa kuongezeka - Polisi wamekuwa wakizunguka msitu wa #Shakahola kwa takriban Siku 4 baada ya kupokea taarifa kuhusu dhehebu linaloongozwa na...
  15. Ipe neno moja picha yangu ya leo

    Ipe neno moja picha yangu ya leo.
  16. Polisi yazuia maandamano ya ACT Wazalendo

    Mimi thread zangu ni check and balance kati ya Awamu ya Sita na ile ya Tano, leo ngome ya vijana ya ACT wazalendo ilipanga kufanya maandamano hadi Ikulu kwa mama yao kipenzi rafiki wa demokrasia, diplomasia na maendeleo aliyekuja kuwapa uhuru walio ukosa kwa miaka sita ya Magufuli. Wamekutana...
  17. Ipe neno moja picha yangu ya leo

    Ipe neno moja picha yangu ya leo...
  18. Faida ya kiafya ya ulaji wa maganda ya ndizi mbivu

    FAIDA ZIPATIKANAZO KWA KULA MAGANDA YA NDIZI MBIVU Watu Hula Maganda ya Ndizi. Wewe Unazijua Faida Zake? How healthy are bananas? Bananas are rich in Vitamin B6 and a good source of fiber, vitamin c, magnesium and potassium. Bila shaka hujawahi kuona mtu akila maganda ya ndizi kutokana na...
  19. Imamu aliyerukiwa na paka mabegani akiswalisha apewa tuzo

    Imamu aliyeteka vichwa vya habari mitandaoni siku za hivi karibuni kupitia video fupi iliyosambaa ikimuonyesha akirukiwa na paka mabegani wakati akiwa anaswalisha swala ya Taraweeh ametunukiwa tuzo. Tukio hilo ambalo liliibua hisia za watu mbalimbali baada ya kumuonesha Imam huyo kutoonyesha...
  20. Hofu yatanda shule ikidaiwa kuvamiwa na mapepo

    Shule ya msingi Sekaza Memorial iliyopo kata ya Kiringente, Wilaya ya Mpigi nchini Uganda imefungwa kwa muda usiojulikana kufuatia taarifa kuwa kuna mapepo yanawashambulia wanafunzi. Uongozi wa shule hiyo umesema baadhi ya wanafunzi katika wiki kadhaa zilizopita hawakuweza kuhudhuria masomo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…