Kwaheshima kubwa ,nawasalimu Watanzania wote habari za asubuhi!!!
Let me go direct to my point , hii nchi ilipoteza mwelekeo miaka mitano iliyopita, mambo yake yalikuwa hayatabiriki Sana hata kama mambo mengine yalikuwa kisheria.
Mfano, suala la ajira Kwa watumishi wa serikali, watumishi...