The Museo d'Arte Moderna di Bologna or MAMbo is a purpose-designed museum of modern and experimental art in Bologna, Italy. The Museo Morandi, which displays a large collection of works by Giorgio Morandi, is temporarily housed in a part of it.
1. Mkeo si mkamilifu, msamehe
2.mkeo ndo UTI wa mgongo wako, usiuvunje
3.Mkeo ni timu, mthamini
4.mkeo ni kito adimu, mtunze
5.Mkeo ni rafiki yako, muweke karibu yako
6 mkeo ni furaha yako, mnawirishe
7.mkeo anatakiwa kuwa Bora, mchsngamkie,
8 mkeo ni sehemu ya mwili wako, msitawishe
9 Mkeo sio...
1. Nimejifunza kuwa Chama cha Mapinduzi bado kinastahili kuendelea kuaminiwa na watanzania
2.Chadema ni chama cha siasa ambacho hakina tofauti na wacheza karata tatu
3.Wasomi wote waliokuwa wanashabikia na kuweka imani zao kwa chama hiki waliiba vyeti shule na vyuo walivyohitimu
4.Wengi wako...
Nina list ndefu.
Tuanze 2025 na UUNGWANA zaidi katika kuwasilisha mada zetu na kujibu mada za wengine kiungwana bila matusi, dharau and the like.
2025 MOTTO: USICHOPENDA KUTENDEWA USIMTENDEE MWENZAKO. BY THAT PRINCIPLE, KILA MMOJA WETU AKIISHIKA, TUTAKUWA WATU WEMA THROUGHT 2025.
Nawatakia...
Moja, haonekani.
Pili, anatetewa na binadamu.
Tatu, hakuna ushahidi wa kisayansi.
Nne, anaenezwa kwa imani na vitisho siyo ufahamu.
Tano, wanaomhubiri wanatofautiana na kuchukiana.
Sita, anapewa sifa nyingi kuliko zinazojulikana. Mfano, mtu anasema utoe sadaka ili Mungu akubariki.
Saba...
Haya mambo yanahitaji akili ya ziada ya kuishinda laghai, kwa nini Lissu aliogopa kukutana na Abdul hotelini, sehemu ya wazi ya watu wengi akachagua mafichoni? Alikuwa anaficha nini? Je, viongozi wake wakuu wa chama walikuwa na taarifa?
Inawezekana Lissu, baada ya kukutana na Abdul, aligundua...
Bila kupoteza muda...
Hapa kuna baadhi ya mafundisho ya kipagani ambayo yamekuwa yakihusishwa na Ukristo kutokana na mchanganyiko wa tamaduni za kipagani na imani za Kikristo kupitia historia. Mafundisho haya mara nyingi yamechukuliwa kutoka katika dini za kipagani na kuingizwa katika taratibu...
Kwa mwenye ufahamu kinachoendelea Zanzibar baada ya kuundwa kwa Shirika la Mawasiliano Zanzibar ni nini?
Mimi nijuavyo mambo ya mawasiliano ikiwemo Posta na Simu ni mambo ya Muungano.
Hata sheria iliyoanzisha Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) Act 12 of 2017 imetamka wazi kuwa itatumika...
Mambo 5 ambayo MWANAMKE hutakiwi kuficha pale unapoanza MAHUSIANO!
(1) Umri wako; Kuna wanaume wanajali kuhusu umri, najua unaogopa labda ukimuambia ukweli atakukimbia, ila jua kuwa ipo siku ataujua ukweli, kwa maana hiyo muambie mapema, ili asije kukuacha tayari ushampenda na ushapoteza muda...
MAMBO 10 KUHUSU MKEO YAZINGATIE..
1. Mkeo sio mkamilifu, msamehe.
2. Mkeo ndio uti wako wa mgongo, usiuvunje.
3. Mkeo ni tunu, mthamini.
4. Mkeo ni kito adimu, mtunze.
5. Mkeo ni rafiki yako bora, muweke karibu yako.
6. Mkeo ni furaha yako, mnawirishe.
7. Mkeo anatakiwa kuwa bora kabisa...
Juzi nimempigia simu aje tusherehekee pamoja mwaka mpya amegoma mimi na yeye tunaishi mikoa tofauti, cha ajabu Leo anasema yupo kwenye basi nakuja najiuliza kwa nini aje ghafla au kuna kitu nyuma ya pazia
Ukifuatilia waumini wa dini kubwa mbili za Ukristo na Uislamu utagundua huwa wanajikita au wanajielekeza katika mambo mepesi zaidi huku wakiwa hawatilii mkazo yale mazito ambayo yangeboresha maisha ya watu wanaowazunguka.
Mfano katika dini ya Ukristo kuna kitu kinaitwa Golden rule/ sheria ya...
NASISITIZA, MAMBO AMBAYO UKIFANYA WATU HAWATASITA KUKUUA. BILA KUJALI SHERIA ZIPO AU HAZIPO, MUNGU YUPO AU HAYUPO.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Oooh! Kuua ni ukatili, kuua sio HAKI. Oooh! Kuua ni Kwa nchi zisizoendelea! Ndugu zangu usije ukajidanganya Wala kudanganywa. Wala usije...
Mada yangu ni ujuzi wa mapenzi na maarifa Mengine..
4 fundamental of life
i. Money and Power
ii. Sex
iii. Food and drink
iv. Umaarufu (fame)
Haya yote manne yanahitaji uchakalikaji sana na kujituma ili kuyatawala.
............
Ni Mungu humpa kila mmoja ufundi katika jambo husika, au kupata...
Kwa hili nawapongeza sana JF, Tena ingieni kabisa kwenye database zenu futeni kabisa mambo ya kula tunda kimasihara.
Swali kidogo; Hivi Miss world na world most sexiest woman nani mzuri kusema ukweli ?
Nawasilisha.
Great Thinkers,
Nimerejea hotuba za wagombea wawili wa nafasi ya Mwenyekiti Taifa wa CHADEMA, Haya ndiyo mambo ya msingi ambayo kila mgombea ameyatabainisha kama sababu zilizomsukuma kuwania nafasi hiyo. Kwa ambao ni wapambe ama wapiga kampeni wa kambi hizi, mnaweza kuja na uchambuzi wenu iwapo...
Habari za Muda huu wadau,
Ukiachana na Mambo ama elimu tunayofundishwa Kliniki pindi umempeleka mwenzi wako Siku ya kwanza kliniki.
Kama Kuandaa vitu vya kujifungulia, kanga, Mpira, Nguo za mtoto, Pesa za kujifungulia na usafiri. N.k.
Ni mambo gani mengine ya muhimu ambayo unatakiwa kujiandaa...
1.Nchimbi alimsafisha Mbowe mapema sana
https://youtube.com/shorts/VuTy8LLhe4s?si=PHahPqXk2sRY40B_
2.Mzee kibao hakuwa mtu wa mitandaoni na msemaji sana kama tulivyoona kwa watekwaji wengine
3.Kauli ya Tundu lissu kuwa alikuwa na ushahidi wa Rushwa ya Abdul
4.Historia za matukio ya nyuma ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.