mambo

The Museo d'Arte Moderna di Bologna or MAMbo is a purpose-designed museum of modern and experimental art in Bologna, Italy. The Museo Morandi, which displays a large collection of works by Giorgio Morandi, is temporarily housed in a part of it.

View More On Wikipedia.org
  1. Manfried

    Kwanini mtu usipofanya ngono wala kujichua unakuwa na nuru sana usoni?

    Wewe Kijana unayejichua na wewe Kijana ambaye unaendeshwa na uzinzi Fanya hivi Maliza mwezi mmoja bila sex au kujichua Hakikisha unakula vizuri na kunywa maji. Kisha kajiangalie katika kioo utaona jinsi uso utakavyokuwa na Nuru.
  2. Mtu Asiyejulikana

    Tumegundua tatizo. Hatukumpa Mbowe Sera. Kesho sasa kuna mambo ndio atazungumza

    Tumekuja shtuka mwenyekiti kila akihojiwa anaelezea jinsi ambavyo amemsaidia Lissu. Kila akihojiwa anaeleza amefanya mangapi kwa Lissu. Na anaeleza ametoka wapi na Chama. Sera zake kuu ni 1. Kukichangia Chama 2. Kumsaidia Lissu. Sasa hapa tumeshakubaliana. Kesho akaelezee Sera zake kwa wana...
  3. Dalton elijah

    ACT Wazelendo yawataka IGP na Waziri wa Mambo ya Ndani kujiuzulu kutokana na vitendo vya Utekaji na mauji ya raia wasio na hatia

    "Matukio ya kuuawa, kupotea na kutekwa kwa wananchi, mwaka 2024 umeshuhudia ongezeko la vitendo vya utekwaji, kupotezwa, na hata mauaji ya wananchi wasio na hatia, visa na takwimu ya matukio zaidi ya 150 ya aina hii yamerekodiwa huku wengi wa wahanga (waathirika) wakiwa ni wanaharakati na...
  4. Ojuolegbha

    Wizara ya mambo ya nje yawasilisha mapendekezo ya maboresho ya kodi

    Menejimenti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imekutana na Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi na kuwasilisha mapendekezo ya maboresho yanayoigusa moja kwa moja Wizara ya Mambo ya Nje na wadau wake katika kikao kazi kilichofanyika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania, jijini...
  5. Lanlady

    Unamchukuliaje mama yako ambaye hataki kukupa ukweli kuhusu baba yako mzazi na kuacha utumie ubini wa mtu mwingine?

    Umezaliwa humfahamu baba yako mzazi. Mama yako anakwambia babaako alishakufa. Anakutajia jina ambalo silo unalotumia shuleni. Unaanza kujiita ubin kwa hilo jina. Baada ya miaka kadhaa, mama yako anakutambulisha kwa mtu mwingine kuwa ndiye baba yako. Tena yuko hai. Na jina sio lile alilokutajia...
  6. JanguKamaJangu

    Mambo sio mazuri DRFA, uongozi wa Lameck Nyambaya haijatulia

    BUNDI anaelekea kulia katika Chama cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) kwa sababu Mwenyekiti wa chama hicho, Lameck Nyambaya kubananga katiba yake. Tangu achaguliwe kushika wadhifa huo kwenye uchaguzi uliofanyika karibu miezi minne, Nyambaya hajaitisha kikao cha XCom ambacho kingefanikisha...
  7. Rorscharch

    Waafrika tunaongoza kwa kujifanya tunajua mambo mengi wakati hata utafiti kidogo kwenye hayo mambo hatujafanya; mtu kaambiwa tu ishakuwa kweli!

    Kasumba hii inaathiri sana uwezo wa watu wetu wa kufikiri kwa kina, hasa katika bara letu la Afrika. Akili za Waafrika wengi zimekuwa kama sifongo zinazofyonza taarifa bila kuchuja wala kutafakari juu ya ukweli au mantiki ya kile kinachosemwa. Mara kwa mara hukutana na watu wanaoamini mambo ya...
  8. yassird200

    Hi Guyz...

    Am new member here! Nimevutiwa na jukwaa hill kwa mambo mengi zaidi kubadilishana ideas,naombeni ukaribisho weni guyz! Asante.
  9. KING MIDAS

    Mambo ya kizingatia kama unataka kwenda China kwa safari ya kibiashara

    BIASHARA CHINA INATENGEZA MATAJIRI WENGI, Tena vijana na wewe unaweza kuwa mmoja wao. . lakini pia unaweza kupoteza mtaji wako wote ikiwa kuna mambo hutoyafaham mapema. . Sasa kabla hujaenda china, hakikisha unayajua haya mapema ili safari yako iwe ya mafanikio makubwa. 1. Pata passport yako...
  10. Mi mi

    Kwanini wanawake wengi hawajishughulishi sana na mambo yanayoumiza akili?

    Hivi ni kwanini jinsia hii ya kike inajiweka mbali sana na mambo yanayoumiza akili ? Mfano hata fani mbalimbali zenye matumizi makubwa ya akili kuna asilimia ndogo sana ya wanawake katika maeneo hayo ukilinganisha na jinsia ya kiume. Masuala ya kisiasa kama uchambuzi,ufuatiliaji...
  11. chiembe

    Pre GE2025 Baada ya kuchaguliwa kuwa Rais 2025-2030, Rais Samia aandae mchakato wa maridhiano awamu ya pili ambao utakuwa na mambo makubwa zaidi

    Kwa kuwa sasa ni dhahiri maridhiano yanalipa, yameleta utangamano wa kitaifa. Nashauri Rais Samia aandae maridhiano awamu ya pili ambayo itagusa mambo makubwa makubwa ya kisiasa, ikiwamo mabadiliko ya sheria mbalimbali. Mchakato huo uhusishe vyama vyote. Tumpe ushirikiano ilo afanikishe hilo
  12. J

    Mambo matatu ya kujua kuwa Mchungaji fulani si Mtumishi wa kweli wa Mungu

    Habari zenu wanajamii, siku hizi kuna makanisa mengi sana yanaibuka yenye wachungaji, manabii, mitume, walimu, n.k. Jambo linalopelekea upotoshwaji mwingi kufanyika kwa kutumia jina la Mungu na mwanae wa pekee Yesu Kristu. Haya ni mambo matatu unayoweza kutumia kujua kanisa au mtumishi gani ni...
  13. ESCORT 1

    Haya ni baadhi ya mambo mengine yaliyomo kwenye kitabu cha Erick Kabendera

    Erick Kabendera ndio habari ya mjini kwasasa! Kwenye kitabu chake hiki kipya, licha ya kuzungumzia masuala ya mauaji ya Ben Saanane yaliyofanywa na Hayati Magufuli, pia amejadili mambo mengine yanayomuhusu Magufuli kama ifuatavyo; 👉🏽 Kuna tuhuma kwamba hayati alikuwa anawapa changamoto sana...
  14. Etugrul Bey

    Mambo mengine si muhimu lakini yakikosekana yanaboa

    Nipo safarini,tena safar ndefu imeanza saa kumi nafika kesho asubuhi inshallah,sasa kwa safari kama hii unatarajia seat mate wako atakuwa mwanamke,nimechill dirishani kabisa natarajia jirani atakuja dem eeh anakuja mwamba mpaka nimechoka Sijui tutaongea nini na huyu mwamba,hapa sana sana story...
  15. MIXOLOGIST

    Jipige kifua mara tatu na kusema; mwaka 2025 nitafanya mambo yafuatayo:

    1. Kufanya ibada kama ilivyo amriwa; 2. Kufanya mazoezi na kula kwa staha na kiasi kama anavyoshauri Prof. Janabi; 3. Kuchamgamkia fursa na kupiga vita umasikini na ufukara; 4. Kupunguza liabilities, mke, mchepuko na mademu kausha damu; 5. KUshiriki kikamilifu kwenye siasa, kuchagua au...
  16. Etugrul Bey

    Kwanini Watu Hutuficha Baadhi Ya Mambo Yao

    Kwanza,wanatulinda tusiathirike na madhara yoyote ambayo tunaweza kuyapata baada ya kujua ukweli wa taarifa fulani fulani ambazo wao hawataki tuzijue,hivyo ni bora ikiwa hatutajua Pili,wanatupenda,unajua kwakuwa wanatupenda hawapendi wawe mbali na sisi,wanafahamu kabisa mara baada ya kujua...
  17. Youngblood

    Mambo ya kufikirika

    Uzi tayari
  18. Robert Heriel Mtibeli

    Dira ya vijana 2025; mambo haya matatu

    Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 2025 Twende pamoja na mambo haya matatu; 1. Afya 2. PESA 3. FAMILIA 1. AFYA a) Kula chakula Chenye lishe bora kwa kuzingatia Umri wako. b) kunywa Maji ya kutosha kulingana na jinsia, umri na uzito wako. c) Angalau kwa siku lala Masaa nane. d) Kama hufanyi...
  19. Wakusoma 12

    Mambo muhimu ya kufanya kwa mwanaume mwaka huu wa 2025

    NB nimeikopi kutoka X 1. Mpangilia wa kuamka saa 12 Asubuhi kila siku, (Epukua kuamshwa na Alarm). 2. Fanya mazoezi ya "KEGEL" kwa usahihi Walau nusu saa kila siku asubuhi na jioni. 3. Kunywa maji lita 3-5 kila siku iwe kwenye ratiba yako. 4. Pata bakuli mbili ya mchuzi wa bamia changa kwa...
  20. Setfree

    Ukifanya Mambo Haya 50 Utafanikiwa Sana Mwaka Huu

    Hakuna mtu asiyependa kufanikiwa kikazi, kielimu, kibiashara, kiafya, katika ndoa nk. Mwaka unapoanza watu wengi huwa wanajiwekea mipango na mikakati ili wapate mafanikio. Hapa nakuorodheshea mambo 50 yatakayokuwezesha kuona amani, baraka na mafanikio ukiyafanya. Mwishoni nitakueleza kwanini...
Back
Top Bottom