Nianze na mfano huu, kuna mtu alikuwa ana umri wa miaka 40's, alikuwa na biashara bahati mbaya ikafa, kwa kupaniki akasema "hakika sasa nitaishi maisha ya shida na familia yangu, na ukiangalia umri umeenda"
Mtu huyu tayar alishaona hana maisha na akaona anguko lake, lakini kiuhalisia ukweli sio...