Kifupi sabaya ni zero empty na hakuna future Wala connection kuwa Nate. Yule mwanamama wake ni mlimbwende na bado Ana ndoto na maono makubwa aachane na sabaya ; sabaya ameshafeli maisha ni zero set aachane nae aolewe na mwanaume mwenye future.
Wewe kama mwanafunzi wa chuo, una nafasi nzuri ya kufanya biashara. Kutokana na wingi wa watu waliokuzunguka na kuwa na uwezo wa kujua mahitaji yao. Kwanza inakubidi kutambua mahitaji ya kila siku ya wanafunzi wenzako. Nikimaanisha kuwa mara nyingi mahitaji yako ya kilasiku, ndio mahitaji ya...
Tuipe hongera serikali ya awamu ya sita kwa hatua ya hiii inayoenda kufanya wito huu sio mda tena wa Kila waziri kwenda kwenye vyombo vya habari nakuanza kuongelea hizi pesa za ujenzi wa madarasa wakati bado pesa zipo hazina hazijafika katika halmashauri
Pelekeni pesa haraka mwezi January siyo...
Wana Jf
Kukatika hovyo kwa umeme ni iShara mbaya sana kwa Wazir J.Makamba, huenda wafanyakazi wanamjaribu au aliowaingiza hawana uweledi wa viongozi, jana watu walishindwa kununua umeme, vijana mnaosema wajiajiri wamekosa pesa.
Siku mzima hawakufanya kazi, leo mkoa wa kagera na sehemu fulani...
Ligi zikiwa zimeanza katika nchi mbalimbali duniani , je ni kocha wa klabu ipi unadhani Atafukuzwa mapema kutokana na mwenendo mgumu wa timu, au timu kumshinda uwezo.
Je, kocha yupi unatamani afukuzwe mapema Ili kuweza kuokoa matokeo ya timu.
Watford huko Epl yashamtimua kocha wao
Xisco Munoz...
Ndugu zangu Watanzania penye ukweli lazima tuseme hii Nchi ni yetu sote si ya watu fulani tu na siyo kwamba wengine wamekuwa Watanzania by default!
Nimeona nitoe mtazamo wangu ambao ninao kuhusu huu uteuzi wa January Makamba ktk Bodi ya TANESCO.
Kwanza Watanzania tukumbuke kuwa Wizara ya...
Habari iliyopo mjini ni utopolo kuangukia pua asubuhi na mapema caf champions league!! Hizi takwimu za mapato ya msimu uliopita mngetoa msimu uliopita!! Acha tuongelee habari ya mjini kwa sasa !
“I am a sociologist because. . . .”
I am curious about the world in which I live
I am fascinated by all things social
I am intrigued about why people do the things they do
I am interested in how people interact with each other
I believe that society is a human invention and I want to know how...
Tupate funzo kupitia hili, Sio kwamba unapokua mkubwa kifedha/kimadaraka ni unaona kila mtu unamzidi akili, hapana Mungu alituumba akatupa akili akatubariki akatufanya tuishi kwa kutegemeana ili kutatua mambo mbali mbali ya duniani.
Mungu akawabariki wataalamu mbalimbali, watabibu...
Habarini wana jf, leo nitazungumzia mada tajwa hapo juu.
Kumekuwa na kasumba ya watu kusubiri afike umri flan ndio aingie katika ndoa.
Hii inasababishwa na iman miongon mwa watu kuwa kuoa katika umri mdogo kuna changamoto lakini ukweli ni kama hivi;
1. Kuoa mapema kunakuepusha na hatari ya...
Wote wanafanana, wale waliosoma nje na wale waliosoma hapahapa nyumbani - wote wana uwezo mdogo sana.
Huwa wanakuwa na uwezo mkubwa wanapokuwa twitter, baada ya kugoogle sheria mtandaoni na kutweet, lakini wakiwa mahakani ni lazima wateja wao walale mahabusu au wapate kifungo kabisa.
Lema...
Yule Djuma Shabani ni mtu na nusu sana, ana mwendo mno yaani anapandisha vizuri mashambulikama inavyotakiwa kwa full back wa kisasa!
Halafu kuna Yanick Bangala, jamaa ni kiraka mzuri! Anacheza kwa usawia akicheza kama beki wa kati na hana tofauti akicheza kama kiungo mkabaji. Ana sambaza sana...
Nianze na suala la kukamatwa kwa kiongozi wa upinzani bw. Freeman Aikael mbowe
kukamatwa kwa kiongozi huyo wa upinzani kwa tafsiri ya kisiasa inaweza kuonekana ni agizo kutoka juu ili kudhoofisha upinzani au kukwamisha mapambano ya kudai katiba mpya.
Lakini ukweli ni kuwa kukamatwa kwa mbowe...
Nilikuandikia uzi humu kukutahadharisha jinsi walivyojiandaa kukuhujumu Urais wako.
Sisi tunakujua fika jinsi ulivyo, wewe ni mama usiye na makuu,una huruma, una utu ,ndo maana kuna kipindi ulianza kutofautiana na JPM enzi za uhai wake kwa sababu ya utu wako.
Uliapa kufanya maridhiano na...
Hiki chama ..kinatakiwa kufutwa haraka sana .
Watu wengi wenye nia ovu na Taifa letu wamejifichà katika kivuli cha hiki chama.
Wananchi wengi wanahitaji Amani ya kweli.
:pPendekezo msajiri ebu futa hiki chama Mara moja . tunaitaji Tz imara isiyokuwa na vyama vyenye kulea watu waovu.
Wizara ya Fedha mmefanya jambo jema na la kupongezwa kwa kuanzisha utaratibu wa watumishi wa umma kupata salary za kila mwezi online kupitia salary portal. Hii ni tofauti na miaka ya nyuma ambapo zilipokuwa zinatolewa na Hazina na kisha kusambazwa kwenye idara,wizara na taasisi za umma au...
Napenda kuwasalimu kwa jina la alietuumba. Ndugu zangu, ingawa inafahamika kuwa CCM na Serikali yake wana uzoefu, ujuzi na uwezo wa kucheza na saikolojia ya wapinzan wao kwa kuanzisha jambo baada ya jambo, lkn safari hii aisee wameweza kufanya jambo ambalo wengi hatukulitarajia hata kidogo...
Inakuwaje 'Houseboi' hata akiwa 'anakukanyagia' Mkeo bado atakuwa 'Msiri' Kwako mwenye Mke na tena kazi ataendelea Kuzifanya ila kwa 'Hausigeli' akishaanza tu 'Kutinduliwa' na Mume hawawezi Kujificha na atajulikana tu upesi na Mke wa Mhusika?
Nasubiri tu uzoefu wenu nijifunze zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.