Nawasalimu wote,
Nianze kwa kumpongeza mheshimiwa Rais SSH kwa hatua anazochukua kuleta maboresho katika mfumo wa "Haki-Jinai", katika hili nimeona ana nia ya dhati kuleta mabadiliko chanya.
Nikiwa mhanga wa mfumo uliopo wa haki jinai nimeshuhudia mabadiliko kadhaa yaliyoanza kufanyika ikiwemo...