mapenzi

  1. The Watchman

    Ukiumizwa na mapenzi hupaswi na wewe kuumiza watu wengine, hata Mungu hapendi

    Ukiumizwa na mapenzi hupaswi na wewe kuumiza watu wengine. Acha visasi kwa watu wanaohusika na watu wasiohusika. Jifunze kuachilia pale unapoumizwa na mapenzi... Jifunze kusamehe na kuwa ni mtu mwema hata kama umeumizwa na mapenzi... Usiwe mtu mbaya kisa umeumizwa... Kuwa mtu mwema...
  2. J

    Upo katika aina ipi ya mapenzi kati ya hizi?

    Kama vile tujuavyo ya kwamba hakuna maisha bila mahusiano ya mapenzi na Upendo ni Sheria ya asili ambayo ipo ndani ya Mwanadamu. Kuna aina mbalimbali za uhusiano wa mapenzi, na kila mmoja hutegemea hisia, matarajio, na namna watu wanavyohusiana. Hapa ni baadhi ya aina kuu za uhusiano wa...
  3. Y

    Tumieni Kinga wandugu

    Habari za muda huu Wana JF Leo katika kukaazangu bila ya kazi nikamua bana kumcheki mpenzi wangu nakumuelezea Hali ya afya yangu ili kumpima atanichukuliaje? Chatting zikawa kama hivi: Mimi-Maishayangu siyaelewi wangu Binti-kivipi mbona bila Salam Mimi- Haina hata haja ya Salam sijui ntaishi...
  4. S

    Mamlaka zimelipa kisogo suala la kupambana na mapenzi ya jinsia moja.

    Wana jamvi "Tumsifu Yesu kristu, Asalaam aleykum , Bwana yesu Apewe Sifa"! Naiomba serikali yangu JMT iamke, Nimeshangazwa saana na Ongezeko la mashoga mtaani tena wakitembea kwa madaha kabisa, yaan mpaka mtoto wa shule ya msingi ana nyoosha kidole shoga yule...
  5. Rorscharch

    How do we fall out of love? Mapenzi yanaishaje? Miaka inapotea watu wanaishi ndani ya mahusiano yaliyokufa, ni kuhurumiana au hofu ya upweke?

    Huwa nawaza how it all happens—mnakutana kwa mara ya kwanza, and she's the most beautiful woman you've seen in a long time. Kuna ile excitement ya mwanzo, mazungumzo yanakuwa ya kuvutia, kila kitu kinaonekana fresh na perfect. Mnapendana bila kujizuia, kila mmoja akiwa tayari kufanya chochote...
  6. Mshangazi dot com

    Kwa hali ilivyo sasa na mpenzi wako, ikitokea amefungwa jela, unamsubiria au unasonga mbele na mwingine?

    Ikitokea kawekwa ndani miaka mitano na kuendelea, vipi unamsibiri au ndiyo fursa yako ya kuachana bila lawama. Kwa wanandoa, mwenza wako kufungwa ni sababu tosha kwa mujibu wa sheria ya kuomba talaka. Tuambie, unasubiri au ndiyo kwaheri ya kuonana.
  7. Eli Cohen

    Recently ndio nimekuja kugundua kuwa ile verse ya kwanza ya wimbo wa mapenzi kitu gani wa MB Dogg alikuwa anaongelea stesheni za redio kwa ubunifu huu

    VERSE 1: Huamini miujiza mchumba Sauti ya nyuki inasikika Sogea karibu 'baby' 'times' zishafika Unipe uhuru 'dear Nikiss' nnapotoka Tukae mlimani dear Niwe 'free' ndani ya kopa, Penzi kwa fujo my boo Moyo wangu ushauteka Raha ya Afrika RTD Mimi ndo 'one naskika Hivi kwanini dear Moyo wangu...
  8. Dr leader

    Kiwanda cha mapenzi

    KIWANDA CHA MAPENZI 1 Mko wapi mko wapi,mutafutao ajira Fungeni yenu misipi, kazi ikawe imara Na manyakanga mkupi, mje kupata amara Ni kiwanda cha mapenzi, kimezitoa ajira 2 Kipo huko chumvini, mkoa Tanga mjini, Mwachimba chini kwa chini, mkitafuta madini Kazi hii ya thamani, na ghali...
  9. chizcom

    “Everyday” ya Phil Collins: Simulizi ya Maumivu na Kumbukumbu za Mapenzi

    “Everyday” wa Phil Collins Wimbo “Everyday” wa Phil Collins ni mojawapo ya nyimbo zenye hisia nzito zinazozungumzia maumivu ya moyo baada ya mahusiano kuvunjika. Wimbo huu ulitoka mwaka 1993 katika albamu yake Both Sides, ambayo ilijulikana kwa mtazamo wake wa kibinafsi na wa kina wa hisia...
  10. EDIGAR JO

    Kaniambia baada ya mfungo hatokuja kabisa nyumbani, ndio ananiacha hivi hivi?

    Hivi hata kama lugha za kuagana kimasihara sizijui hivi ndio kweli ananiacha hivi hivi au?🙄 Jamani kuwa na 24'yrs kwa mwanaume aliyekamilika sidhani kama ni ajabu kuwa namahusiano japo kidini haipo hivyo, siyo? Sasa mimi ni mkristo safi kabisa mwenye mawaa kwa Mungu tu🙌. Sasa haka katoto...
  11. Pedrz

    Mapenzi yameisha au nimekosea nini?

    Wana ndugu Habari za muda huu, naombeni ushauri wenu wakati kama huu naona mtanisaidia kwa mawazo pia Na Mpenzi wangu tulipendana sana na penzi letu sasa hivi lina kama miaka 4 Na kama hakuna shida yeyote iliyotupata tukashindwa kuitatua na mapenzi kuendelea lakini hii ya sahv naona imekuwa...
  12. Tlaatlaah

    Ulifanyaje baada ya kukutana na show mbovu?

    Ulichukua hatua gani? Nini kilifanyika hata ukaona, kwamba hiyo show ni mbovu na hujwahi kukutana nayo tangu uyajue mapenzi? Muafaka ulikuaje sasa baada ya show hiyo mbovu na ya kiwango cha chini sana ya kimapenzi? nani alikua kikwazo na mzigo kwenye show hiyo mbovu kati yenu? :NoGodNo...
  13. Eli Cohen

    Kongole kwa huyu mwanadada alieimba wimbo wa watu feki. Ana aina fulani hivi ya style yake ya kipekee na pia muziki wake ni very touching

    Tatizo ni kuwa wabongo tutamtupilia mbali kwa maana haimbi nyimbo zile "paka yangu imeloa, sijui kugonoka, gonokaa" She is a very a talented girl kiukweli. Sauti yake, idea yake ya muziki, na zaidi melody yake https://youtu.be/LAzyvbTyN94?si=UL7j6a8UxkGAquwu
  14. Magical power

    Hivi Ni Sifa Gani Wanayo wanawake wenye ulimi Mrefu kwenye mapenzi?

    Mwanadada akionyesha ,Ulimi wake Ulivyo kuwa Mrefu Sana tofauti na Wana damu wengine Wanaume Wengi Wana Penda nyash Ila kuna ulimi pia Hivi Ni Sifa Gani Wanayo wanawake wenye ulimi Mrefu kwenye mapenzi?
  15. SweetyCandy

    Ungewezaaaa mie ningeweza

    Dear Readers especially hawa wanaume, Hamjamboo,kuna kisa kimoja kimeniumiza sana. Hiki kisa nikiko hivi. Waliingia majambazi wakataka kumuua jamaa . Ila mke wake alijitoa kwa majambazi . Na majambazi wakakubaliana mmoja wao. Alale na mwanamke wa jamaa. So mchizi akaambiwa na majambazi hao...
  16. holoholo

    Niifate Simu yangu ama Niipotezee? Maana binti kaolewa na mwanaume mwingine

    Wakuu, Kuna binti kijiji jirani toka nilipo mimi,nilimpenda sana nae akanipenda sana, Ilifikia hatua nikamnunulia simu, tukawa tunawasiliana, mapenzi yakakolea wakuu,binti kila anaekuja kuchumbia anamkataa,mpaka wazazi wake wakakaa nae kitako, wakamuuliza kama unakataa kuolewa je unataka uolewe...
  17. N

    Mapenzi na kisasi

    MAPENZI NA KISASI Riwaya ya Kiswahili Mandhari: Dar es Salaam na Kigoma Wahusika Wakuu: Juma: Kijana maskini lakini mwenye ndoto kubwa, anayetumia roho yake safi na juhudi kumpata mpenzi wake. Hadija: Msichana mpole, mwenye ndoto za maisha bora, lakini anayebanwa na mapokeo ya kifamilia...
  18. Dalali wa mjini

    Mimi na mke wangu tupo bega Kwa bega mbali na maisha magumu tunayopitia na upendo wetu umeongezeka maradufu

    Habari wakuu. Bana msoto wa Maisha ni mkali sana katika hii Dunia. Mimi na mke wangu tupo Bega Kwa Bega Mbali Na Maisha magumu tunayopitia na upendo wetu umeongezeka maradufu. Ebana shemeji yenu ananipa Moyo Sana katika utafutaji wa ugali.Nafurahi kusema ya kwamba kipindi cha raha tulikuwa...
  19. Mshangazi dot com

    Usije kujaribu kumuomba msamaha mwanamke hata kama umekosea!

    Eti ni udhaifu 🤷🏾 Hivi ni kweli wanaume mnafikiri kwa namna hii au ni baadhi tu ya vijana wasiojielewa? Kama humuombi mkeo au mpenzi wako msamaha ukikosea, huwa unamalizaje migogoro kwenye mahusiano yako? Mwisho kabisa, Je, ni sahihi kwa huyo mwenza wako pia kutukukuomba msamaha akikosea, au...
  20. Mshana Jr

    Mapenzi

    Sasa ni wazi kuwa Kizza Besigye alichumbiana na Janet Museveni mke wa Yoweri Museveni (Rais wa Uganda) kabla ya Museveni kumuoa. Baadaye, Besigye kama daktari wa binafsi wa Yoweri Museveni alilipa kisasi kwa kumpokonya mpenziwe mrembo Museveni WINNIE BYANYIMA kutoka kwake, akamuoa na kumfanya...
Back
Top Bottom