mapenzi

  1. Poor Brain

    Sio bahati hili ni pepo sasa, najitoa vipi?

    Wakuu sasa hii ni too much.. Najaribu kuheshimu watu hapa ambao kimakamo unaona kabisa ni kama dada yangu au mama yangu mdogo ila mambo niliyokutana nayo nashangaa naona sasa ni pepo. Hivi inakuaje mtu mzima na akili zako unajua kabisa una mume, bado haitoshi una watoto, bado tuu mwanaume wako...
  2. Tajiri Sinabay

    Wenye wapenzi (wanawake) humu JF mliwezaje kuwapata?

    Tupeane uzoefu wakuu, inauma sana unaweka chapisho lako kuhusu mambo ya kilimo mtu anakuja kuchati na demu wake, mara mashemeji, mara mawifi, hivi hawa mademu zenu mliwezaje kuwapata? Mwisho kabisa kama kuna demu mnamfahamu kuwa yuko singo humu nishtueni nianze kumlia doria.
  3. KENZY

    Wadada wenye mapenzi ya dhati wawekewe nembo!

    Nimechoka kutangatanga nahitaji kuupumzisha moyo sasa mtu unahangaika nakupigwa matukio mpaka unasahau jina lako!. Wawachape tu hata kialama kidogo kwenye makomwe tujichukulie mapumziko yetu tukatulienayo nyumbani!, hizi ndimu huku mtaani zitatuua!. kama vipi serikali ingilieni kati tu!.
  4. R

    Nimevaa sana mitumba ya kurusha, kutumia simu kioo kimepasuka miaka miwili, kutembea kubana nauli, niliyaogopa mapenzi, n.k, Umasikini ulaaniwe

    Nikikumbuka maisha niliyowahi kuyaishi siwezi kuja kumuombea hata adui umasikini, Ni hali inayoaibisha, kukunyanyasa, kushusha heshima, kukutesa, n.k. Nimevaa sana mitumba ya kurusha, kiatu unaenda kutafuta lisaa zima uone chenye nafuu Simu imepasuka kioo miaka miwili sina pesa ya kubadili...
  5. kante mp2025

    Wagonga ulimbo mapenzi tuyaepuke kama ukoma

    Nayasema haya nikiwa na simanzi moyoni hasa nikiwa katika wakati ambao mbili haisomi moja haisomi. Hii naomba iwafikie wagonga ulimbo wote asee kama bado kula yako tu ni ya kuunga unga kama ngedere mapenzi yaepuke ikibidi uyakimbie kwa sauti ya nyanda kabudi mzee wa ogopaaaaaaa Amesema...
  6. kwisha

    Je, ni kawaida kwa mwanamke kukaa miezi 2 hadi 4 bila kupata hisia za kuwa na mwanaume?

    Ivi nikawaida kwa mwanamke ambaye ameolewa kukaa miezi miwili mpaka 4 uko bila kupata feeling zozote Za kufanya tendo la Ndoa na mume wake ?
  7. BabaMorgan

    Mapenzi hayahitaji unafiki kama mtu humpendi ni humpendi tu

    Kuna bidada next door kutokana na wenge la upwiru nikaweka kumbe mtoto wa watu kanogewa akaja kwenda kwao huko mji kasoro Sasa communication zikaendelea full kujibebisha mi namchora tu. Sasa mwaka jana akaleta pigo za kumtumia nauli aje kula sikukuu Dar Es Salaam Sasa nikafanya tathmini kutuma...
  8. jitwangabalogi

    Saikolojia, Utapeli wa mwanamke

    Wanawake ni wataalamu wa udanganyifu wa kisaikolojia. Wamebobea katika mbinu za hila zinazowafanya wanaume imara kuwa wanyonge bila hata wao kujigundua. Unadhani uko kwenye usukani? Fikiria tena. Hizi ni hila ambazo wanawake hutumia kuvunja uanaume wako na kukufanya ufuate matakwa yao: 1...
  9. Robert Heriel Mtibeli

    Njia pekee ya kuyashinda mapenzi ni kutokuwekeza kwenye mapenzi, usiwekeze kwa Mwanamke

    Hamjamboni wote! Ukiona mtu yeyote mapenzi hayambabaishi ujue anatumie Kanuni ya kutowekeza kwenye mapenzi na kuwekeza kwa Mwanamke. Asije Panya yeyote akakudanganya kuwa usipokeeza kwa Wanawake ati utaishia kuwaita shemeji wanawake warembo. Huo sio UKWELI. Nakuhakikishia, kuna mwanamke Mmoja...
  10. Mkalukungone mwamba

    Mwanza: Wapenzi wawili wamekutwa wamefariki dunia. Chanzo cha tukio hilo kikidaiwa kuwa wivu wa mapenzi

    Watu wawili jinsia ya kike na kiume wanaodaiwa kuwa ni wapenzi wamekutwa wamefariki dunia katika mtaa wa Mkudi uliopo katika Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza huku chanzo cha tukio hilo kikidaiwa kuwa wivu wa mapenzi. Soma Pia: Tabora: Mwanamke auawa, chanzo wivu wa mapenzi Watu hao waliokutwa...
  11. Etugrul Bey

    Namna Ya Kuimarisha Mapenzi Katika Urafiki Wa Kawaida

    Hapa nazungumzia kuimarisha mapenzi katika mahusiano ya kawaida au kwa namna nyingine mahusiano ambayo sio ya kimapenzi Kwanza ni kuonyesha unavutiwa na mambo ya rafiki zako au watu ambao huwa mnakuwa pamoja,nikwambie kitu expert? Hakuna watu ambao hawapendi kujua kwamba upo interested na...
  12. CARIFONIA

    Kabla hujafanya lolote kwa mwanamke jiulize kama yeye angemruhusu kaka yake afanye hivyo kwa mwanamke mwingine

    Wanaume, Anataka usahau kuhusu maisha yake ya nyuma, lakini hataki kaka yake aoe mwanamke mwenye historia kama yake. Anataka utumie pesa zako kwake kwa wingi, lakini hataki kaka yake afanye hivyo kwa mpenzi wake. Anataka uwe mwanaume halisi, mtu mzuri, au mpenzi anayeelewa, lakini hataki kaka...
  13. Metronidazole 400mg

    TUKIO GANI LILIKUTOA MACHOZI KWENYE MAPENZI??

    Check out,
  14. KikulachoChako

    Angalizo: Jinsi ya kujua ya kuwa mtu uliye naye kwenye mahusiano hana mapenzi na malengo na wewe, akili kichwani mwako

    Habari za muda huu waungwana wa hapa jamvini...... Kwenye ulimwengu wa sasa uliojaa changamoto za ulaghai na uaminifu imekuwa ni changamoto kubwa sana kukutana na mwenza mwenye moyo wa dhati wa kujenga maisha na wewe...... Limekuwa jambo la kubahatisha kwa kuwa wakati mwingine waongo na wa...
  15. Nomadix

    Umewahi kusalitiwa kwenye mapenzi, Ilikuaje?

    WanaMMU kwema, natumaini nyote hamjambo, kama hauko poa nakuombea uwe sawa, Amen! Mapenzi Mapenzi Mapenzi Kwenye mahusiano huwa inatokea kusaliti na kusalitiwa kimapenzi wengine hadi wanafikia hatua ya kufumaniwa kabisa. Kucheat na kucheatiwa kupo nje nje kwa sasa, kwa sisi wanaume hii kitu...
  16. B

    Baada ya kufanya nae mapenzi aliniachia laki moja na ujumbe unaosomeka "nimepata ninachotaka"

    Hali vipi wana JF! Niingie moja kwa moja kwenye kisa changu : 👉Nilipata mwanadada kama miezi mitatu hivi iliyopita 29 of age nikawa nakula nae gud time namtoa out kwenye viwanja vyetu vya bei ya kawaida, 👉Basi siku ya siku juzi jumamosi weekend tukaenda lodge moja hivi tukafanya yetu Ila...
  17. Rorscharch

    Kwa mara ya kwanza nimeona mwanaume analia kwa sababu isiyohusisha msiba wala mapenzi

    Nilikuwa katika pitapita zangu za kawaida pale Ubungo Kibangu, lengo likiwa kumtembelea rafiki yangu wa zamani ambaye tulisoma naye sekondari. Ni kijana wa miaka 28, mcheshi na mwenye kipaji kikubwa katika mambo ya filamu. Hata hivyo, kwa sababu ambazo sikuwahi kujiuliza, hakufanikiwa kumaliza...
  18. Damaso

    Kwa Nini Wanawake wengi hawawezi kushusha Vigezo Vyao Kwa Sababu Ya Mapenzi: Hadithi Ya Princess Mako na Ayako

    Katika historia ya kifalme ya Japan, hatua ya Princess Mako wa Akishino kuolewa na mwanaume wa kawaida, Kiyotaka Kaya, imekuwa tukio la kipekee na la ajabu sana. Kama hiyo haitoshi Princess Mako, ambaye ni mtoto wa kifalme wa Japan, alijitokeza mbele ya ulimwengu akijivunia uamuzi wake wa...
  19. Powell Gonzalez

    Mapenzi yafutwe

    Mapenzi yafutwe! Kusiwepo na kitu kinaitwa mapenzi hapa duniani! Kisitambulike duniani na juu kwa... Ndoa isitambulike kisheria wala kidini! Kuzungumzia Mapenzi iwe haramu/kinyume cha sheria na dhambi! JF ukianzisha sheria ya Mapenzi mods wanaifuta! Tunataka dunia iwe na amani! Say bye to...
  20. G Sam

    Tuliokuwa ICU kuhusu siasa za Chadema kwa hiki kipindi cha miaka kadhaa hatimaye tumeponywa, Mbowe tutamheshimu kama tulivyoahidi

    Mungu amefanya kazi, nimezaliwa upya baada ya kuponywa kutoka ICU. Nilijeruhiwa na siasa mufilisi za chama changu CHADEMA ambazo ziliniliza kwa miaka kadhaa. Ama kweli sasa nipo tayari kuwajibika kwenye kipindi kipya na kukitumikia chama kwa kila hali. Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu...
Back
Top Bottom