Hilo ni swali kwa jinsia zote yaani Me na Ke ,
Uhalisia ulivo kwanza kwenye mahusiano asikudanganye mtu kua uko peke yako , mwanamke au mwanamme akikueleza uko peke yako huo unakua uongo wa wazi,
Hii haijalishi umeolewa, umeona, haujaolewa, Una mchumba , hauna mchumba,
Asili ya binadamu ni...