mapenzi

  1. mdukuzi

    Kesi ya P Diddy ni ndogo sana,wazungu hawana tatizo na mapenzi ya jinsia moja

    Ni endapo itadhihirika kuwa aliwaingilia watoto under 18, Vinginevyo P Diddy kesi yake ni ndogo sana Majimbo mengi ya USA yameruhusu ushonga. Wengi wanaohisiwa kupakwa mafuta ni wababa watu wazima ambao huenda walifurahia tendo na hawakulazimishwa.. Wazungu wanajua kutetea haki za ; 1...
  2. Pearce

    Kinachoendelea sasa hivi Mashariki ya Kati ni Mapenzi ya Iran

    Nimepata kupitia speech ya rais mpya wa Iran, wakati nikiendelea kumfuatilia hapo awali alikuwa nani na alitokea wapi. Nilichogundua anajitahidi sana katika maelezo yake kujitofautisha na serikali ya awali ya Hayati Raisi aliekuwa mfuasi kindakindaki wa Hayatollah na mapinduzi. Anajaribu...
  3. Sonko Bibo

    Wazoefu na wataalamu wa mapenzi nisaidieni maana sielewi shida nini?

    Inatokea nadate na mwanamke, kwa muda mrefu, au muda mfupi, let's say miezi mitatu, au mwaka. Hapo unakuta manzi ananiimbia, nyimbo za malengo ya ndoa. Hata kama anajua fika kuwa nilimnunua baada ya mitongozo kusua sua. Mwamba naapply pesa. Dau linatiki na hii mbinu haijawah kuniangusha. Sasa...
  4. Yoda

    Kuwa mwanamke wa kisasa Tanzania ni changamoto sana katika mahusiano/ndoa

    Ukiwa Feminists ni shida, Single mother ni shida, Ukiomba pesa malalamiko Ukimzidi mwanaume wako kipato kama yeye sio marioo tatizo. Ukimzidi mwanaume elimu ni tatizo Ukivaa nguo za kubana sio wife material Ukitoka nyumbani unatakiwa kuomba ruhusa. Ukichelewa kurudi nyumbani tatizo.
  5. KikulachoChako

    Uongo gani mkubwa uliwahi kuongopewa na mwenza wako ukaja kujua ukweli?

    Habari wakuuu, Kama tunavyojua kwenye harakati au maisha ya kimapenzi tunakutana na misuko suko ya hapa na pale, misuko suko ambayo inatufanya tuyachukie mapenzi au mahusiano. Moja ya mambo yaliyoshamiri kwenye ndoa na mahusiano ya nyakati hizi ni UONGO uliokithiri. Mimi binafsi niliwahi...
  6. Tlaatlaah

    Hivi ukipatwa na msiba wa kifamilia, ni baada ya kipindi gani ndio wakati sahihi wa kufanya mapenzi?

    au haina uhusiano na wala hakuna muda muafaka? au mazingira yakiruhusu tu kazi iendelee? maana naona mambo haya yanaendelea tu hadi msibani, na tena wengine ndio fursa kabisaa ya kuchepukia, si wafiwa wala waombolezaji. au ni roho ngumu, watu hawana uchungu na wapendwa wao, ujasiri wa kipekee...
  7. Pdidy

    Usithubhtu kufanya mapenzi na mwenzio anaewaza marejesho utajuta

    Unaweza hisi uko na mwanaume mwenzio ama lah look Wanaume yumeumbiwa mapito kweli kila pito letu Yaaan utamsugua weweeee anabaki kukaza sura kama anatambiika Yaan akikojoa unahisi kakujolea wewe hata ule mguno baridi wapi Tusikate tamaa ndio wetu hao
  8. KikulachoChako

    Kweli mapenzi ni uchafu. Wewe ungefanyaje?

    Leo nimekumbuka kiss hiki cha miaka kadhaa nyuma..... Nilikuwa na rafiki yangu mpendwa alikuwa na mchumba ambaye ni shemeji yangu ambapo walikuwa mbioni kufunga ndoa.....na maandalizi na harakati za hapa na pale yalishaanza..... Ni Shem ambaye tulizoeana kwa kuwa mara kadhaa nilikuwa nikifika...
  9. Moto wa volcano

    Mapenzi yanakawaida ya ku expire

    Mapenzi yanakawaida ya ku expire, unaweza kumpenda mtu lakini kama tabia haivutii, moyoni anaanza kuyeyuka anakuwa hakushtui tena.
  10. Magical power

    Dunian hapa ukitaka kupoteza muda wako we jarbu kutafuta usawa katika mapenzi

    Duniani hapa ukitaka kupoteza muda wako we jaribu kutafuta usawa katika mapenzi, kiufupi hilo ni swala ambalo haliwezekani hata kidogo Yaani kila mtu unayemuona ana matamanio yake ana vigezo vyake anavyopenda kwa mtu ana madhaifu yake, na ukiachana na hayo yote ukishaambiwa hiki kitu...
  11. The Watchman

    SI KWELI Tundu Lissu amekiri kuunga mkono mapenzi ya jinsia moja

    Nimekutana na post inasambaa mtandaoni Tundu Lissu akisema anaunga mkono ushoga na video ina maneno yanayosema "Lissu akiri kuunga mkono mapenzi ya jinsia moja" je post hii ina ukweli wowote?
  12. Yoda

    Vijana wa kike wengi wa Tanzania kuongelea mapenzi, mahusiano na ngono zaidi inaashiria nini?

    Kuanzia kwenye mitandao ya kijamii kama Twitter, Instagram hata hapa JF hadi mtaani nimekuja kugundua vijana wa kike wengi bongo mazungumzo yanayowashughulisha na kuwaweka busy zaidi ni mahusiano, mapenzi, ndoa na ngono. Ni wanawake vijana au mabinti wachache sana utakuta wanaongelea siasa...
  13. raiswenu

    Kila mkipishana anatoa kauli hizi! Zimebeba ujumbe gani?

    Kila mkipishana tegemea kauli hizi kutoka kwake, uchambuzi wa hizi kauli; 1. kama kuna mahali unaandaliwa chakula tofauti na bajeti yetu ya kila mwezi ruksa katumie! 2. Sipo kwa ajili ya kukatisha imani yako but unaweza tenda vile unavyoona ni sahihi! 3. Be free with your things, me ni nani...
  14. Lanlady

    Maumivu ya hisia za kuachwa husababisha wengi kuwa 'bahili wa mapenzi'

    Sio kweli kwamba watu hawana mapenzi ya dhati. Si kweli kwamba mapenzi yalikuwa zamani. Si kweli kwamba watu hawajui kupenda. Si kweli kwamba wapenzi hupenda kuumizana. Tatizo kubwa kwa zama za leo ni hofu na mashaka ya kujitoa kwa moyo wote then unaambulia kuachwa. Wapenzi wengi siku za leo...
  15. Equation x

    Mapenzi ya zamani yalikuwa raha sana, natamani yajirudie.

    Mapenzi ya sasa hivi yamejaa utapeli mwingi, huna kitu hupendwi mtu. Ukimtongoza tu mrembo, atakuuliza unafanya kazi gani, au unamiliki nini? Kama bado unajitafuta, utakutana na fedheha. Ila enzi za mababu zetu, ilikuwa full burudani; mnakutana mkiwa hamna kitu, baadaye mnachuma pamoja na...
  16. T

    Simu ilipokelewa lakini hakusema chochote baadaye nilisikia miguno ya watu wakifanya mapenzi

    MY STORY; Simu ilipokelewa lakini hakusema chochote, badala yake nilisikia miguno ya watu wakifanya mapenzi. Siku tatu baada ya ndoa mke wangu kuniambia kuwa anataka kwenda kwao kumsalimia mama yake kwani anaumwa, nilimpigia simu mama yake na akaniambia kuwa hali yake si nzuri. Nilimruhusu...
  17. P

    Katika kutafuta mtu sahihi wa mahusiano mruhusu roho mtakatifu akusaidie

    Hello,habari za leo. Wapendwa naomba kuwakumbusha kuwa katika kutafuta mchumba, mume au mke Mruhusu Roho mtakatifu akusaidie ili uweze pata mtu sahihi. Watu wengi wamejikita katika kutoa vigezo na masharti wamesahau kuwa mtu yoyote anaweza kuwa hivyo vigezo vile unavyovitaka lakini akawa mwiba...
  18. Pdidy

    Usithibutu kuitwa na mwanamke nyumbani kwake ukakimbilia kwenda!

    Mmmh, Hivi majuzi yalinikuta, nilikutana na mdada kwa basi. Tukajuana nikamkaribisha sehemu majuzi akala mbuzi yangua na ka kvant. Kumaliza nikaomba mzigo nkakagoma kakaachia twende kwangu lakini, kumekucha kufika tukasema tupige ka kvant kamwisho kadogo tukanza shuhuli. Mdada akandanganya...
  19. Waufukweni

    Jux ajibu onyo la Wanigeria, akana kumchumbia Priscilla

    Staa wa muziki, Jux, amerudi bongo usiku wa kuamkia leo, Septemba 5, akitua kwenye Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere akiwa na mpenzi wake Priscilla Ajoke, mtoto wa mwigizaji mkongwe Iyabo Ojo kutoka Nigeria. Hivi karibuni, wawili hao walikuwa Nigeria wakijirusha kwenye party ya...
  20. Tlaatlaah

    Teknolojia ya mawasiliao imevuruga husianao za mapenzi na kuvunja ndoa nyingi sana za watu humu nchini na duniani kwa ujumla

    Unakuta watu wengi walioko kwenye mahusiano ya kimapenzi, uchumba na ndoa, mathalani walikutana masomoni, kanisani, safarini, kwenye sherehe, semina, kongamano au hata makazini tena bila hata kutumia teknolojia ya mawasiliano ya simu za mkononi kukutana mwanzoni, ispokua technolojia hiyo imekuja...
Back
Top Bottom