mara

Māra is the highest-ranking goddess in Latvian mythology, Mother Earth, a feminine counterpart to Dievs. She takes spirits after death. She may be thought as the alternate side of Dievs (like in Yin and Yang). Other Latvian goddesses, sometimes all of them, are considered her assistants, or alternate aspects. Māra may have been also the same goddess as Lopu māte, Piena Māte (Mother of the Milk), Veļu māte or Vélių motę (mother of the souls/spirits), Zemes māte (Mother of the Earth), and many other "mothers", like of Wood, Water, Sea, Wind.

View More On Wikipedia.org
  1. Magical power

    Maswali mengi yaibuka baada ya kupotea kwa mkazi wa Kigamboni Vicent Masawe. Mkewe asimulia kilichotokea. Jeshi La Polisi latoa tamko!

    Kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii kumezuka na tarifa kuwa Vicent Peter Masawe, anayejulikana pia kama Babuu au Bright, amepotea tangu Novemba 18, 2024. Kulingana na taarifa zilizopo, siku ya tukio, Vicent alidai kufuatiliwa na watu wasiojulikana kabla ya kupoteza mawasiliano. Vicent...
  2. Mwachiluwi

    Mara ya mwisho kuokota pesa lini

    Eti mala yako ya mwisho wewe kuokota pesa lini na ulikota shingapi? Na ushawai oupoteza pesa kiasi gani mpaka ukajilaumu sana Mimi mara ya mwisho kuotoka pesa ilikuwa juzi shilingi 100 niliokota Na nilipoteza pesa 10000 na iyo ndio ilikuwa kilinda mfuko ugenini nikaona aibu kuomba nauli...
  3. Mpigania uhuru wa pili

    Kwenye biblia uafrika umetajwa mara nyingi 56 kwenye agano la kale ila mzungu ndo anapewa hatimiliki ya biblia na ukristo

    Katika jamii ambayo watu ni rahis kuwa brainwash basi ni waafrika Mfano:- neno kush likimaanisha mwafrika limetajwa mara nyingi sana mke wa musa alikua ni mwafrika, sefania alikua ni mwafrika na malkia wa sheba alikua ni mwafrika Ila ni kawaida sana kukuta mwafrika anawapa umiliki wa ukristo...
  4. Waufukweni

    LGE2024 Tundu Lissu anaunguruma Mkoani Mara kwenye Ufunguzi wa Kampeni za CHADEMA

    Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara na mwanasiasa mashuhuri, amepokelewa kwa shangwe na hamasa kubwa mkoani Mara wakati wa ufunguzi rasmi wa kampeni za uchaguzi za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa...
  5. Etugrul Bey

    Achana na hizi Tabia mara moja

    Tabia ya kuwa na hasira,hii ni tabia ambayo baadhi yetu tunayo,inaweza kukuondolea kujiamini wewe binafsi,na unaweza kuwafanya watu wawe mbali na wewe Tabia ya kuwafikiria wengine vibaya,yani huwezi kuwafikiria watu katika mlengo mzuri,wewe hufikiria mabaya tu binadamu wenzako,hayo sio maisha...
  6. USSR

    Kwa mara ya kwanza ukrane imerusha makombora ndani ya urusi

    Waziri wa ulinzi wa urusi amesema kiwa leo ukrane imerusha makombora ndani ya ardhi yake kufuatia kupewa idhini na USA USSR
  7. U

    Kwanini jezi namba 9 klabu ya simba haivaliwi na mchezaji yeyote kwa miaka mingi? mara ya mwisho jezi hiyo alipewa mchezaji felix sunzu

    Kichwa cha habari chahusika Karibuni
  8. Makonde plateu

    Kilichotokea kariakoo jana msukumo wangu wa uongozi umeongezeka mara dufu! Viongozi wengi wa Afrika wapo kwa ajili ya maslahi tu

    Kiukweli kilichotekea jana kariakoo msukumo wangu wa uongozi umeongezeka mara dufu nahisi au ndiyo ukweli viongozi wengi wa Afrika wapo kwa ajili ya maisha yao na si Ku dedicated maisha yao kwa walipa kodi just kwa miaka 63 bado nchi kama nchi tunasua sua kwenye uokozi? Wale ni walipa kodi...
  9. sergio 5

    Nilimtongoza mara ya kwanza akawa mkali

    Wakuu, Kuna Binti mmoja mrembo kuna siku natoka mazoezini nikamfuta bhana nilimuona Akanivutia nikaomba namba akanipatia Akanitajia majina yake tulivyowasilina Nikamwambia ninahisiana naye akawa mkali nikampotezea. Leo kanicheki kaniita dukani kwake nikaenda kaanza kuniambia alinidanganya...
  10. JembeNaNyundo

    Uganda analipwa mara nne ya mshahara wa Daktari wa Tanzania

    Sasa udokta Tanzania umekuwa kama uuguzi au ualimu wa shule ya msingi. Unatolewa kama UPE. By the way how can you strike for your rights if literally you were unqualified to study medicine? Madaktari wenye akili waliishia kwa akina Ulimboka. Nenda page 21, schedule 6. Kama mvivu kusoma...
  11. P

    Nimekua nikisumbuliwa na hamu kufanya mapenzi mara kwa mara hadi sasa idadi ya wanawake ni wengi nisaidieni jamani

    Habarini wakuu mimi kijana wa miaka 27 tu lakini nahisi mpaka sasa nimeshafanya mapenzi na wanawake idadi inakaribia 50 Najiuliza kwanini hii hali inanitokea siipendi naichukia yaan mwanzo wa mwaka huu hali ilikua shwari hadi mwezi wa tisa nilikua nimefanya mapenzi na wanawake wanne tu kwa...
  12. dosho12

    Ni Movie ipi uli iangalia zaidi ya mara moja ila bado hukuielewa vizuri?

    Ni movie ipi ambayo uliichukua ukaingalia mara ya kwanza hukuielewa ukarudia mara ya pili ndo ukaelewa, au pengine hata mara ya pili pia hukuelewa ikabidi ulizie kwa watu waliyo iona wakueleweshe. Mimi zipo mbili, moja ni 1. TENET niliangalia mara mbili ndo nikaanza kuelewa kidogo 2. Mbili ni...
  13. Makonde plateu

    Yamenikuta! Mke mzuri hija mara moja mimi wangu nishampoteza na sijui naishije

    Nilimuambia kama ukiondoka na huyo mtoto basi jua kuwa sitamhudumia kwa chochote. Mwanzo nilikua naongea kama utani kwani niliamini kuwa mke wangu hawezi kuondoka. Ni kweli nilishamfanyia mambo mengi, ikiwa ni pamoja na kumpa ujauzito mtoto wa mama yake mdogo. Kuna kipindi nilimp!ga mpaka...
  14. chiembe

    Wanawake wa mikoa ya kaskazini wanavyojichotea mabilioni kutokana na kuolewa na wanaume wa mkoa wa Mara

    Wanaume wa Mkoa wa Mara wana addiction moja, kuoa kilimanjaro. Wengi wakishaoa huko, huwekeza fedha zao zote ukweni, wakiacha Mkoa na maeneo walikozaliwa yakiwa hoi. Kaskazini kama kawaida, inabeba watoto wote waliosomeshwa vizuri na kuondoka nao baada ya talaka au kifo. Vitu hivyo hutokea baada...
  15. U

    IDF, wakazi wa majengo 6 kusini mwa Beirut na maeneo jirani waondoke mara moja kwa usalama wao, shambulizi kubwa la ndege linakuja

    Wadau hamjamboni nyote? IDF itafanya shambulizi kubwa la ndege maeneo hayo Wakazi wakae umbali mita 500 Jisomeeni wenyewe hapo chini kwa kimombo na kiarabu November 13, 2024 IDF issues evacuation warning for 6 Beirut buildings ahead of strikes against Hezbollah By Emanuel Fabian Follow...
  16. Waufukweni

    Pre GE2025 Kanali Mtambi aonya Siasa za Majitaka Mara, TAKUKURU yakazia kupambana na Rushwa

    Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi, ametoa wito kwa viongozi na wanasiasa wa mkoa huo kufanya siasa za kistaarabu badala ya siasa za chuki na zinazogawa wananchi akisema hazitavumiliwa mkoani humo. Kanali Mtambi ametoa agizo hilo alipokuwa akizungumza na viongozi wa vyama vya siasa...
  17. Erythrocyte

    Aliyekuwa DED wa Bunda afikishwa kizimbani kwa Uhujumu Uchumi

    Huyu aliyeshitakiwa hapa alikuwa Mkurugenzi wa Halmashauri (DED), Kama Kawaida huyu naye alisaidia wizi wa kura kwenye eneo lake, Lakini leo yamemfika na hakuna wa kumtetea.
  18. kyagata

    Inakuaje Lawrence Mafuru azikwe Dar na sio kwao Mara?

    Nikiangalia ratiba ya mazishi ya poti Mafuru, inaonyesha atazikiwa Dar. Kwa kumbukumbu zangu huyu ni mtu wa mkoa wa Mara huko, na kawaida ya watu wa Mara huwa hawazikiwi nje ya mkoa wao. Sasa najiuliza huyu bwana imekuaje azikiwe huko Daslamu na wakati ana kwao? Pia soma TANZIA - Lawrance...
  19. A

    Namtafutia mwanangu nafasi ya form one 2025 mikoa ya mwanza Geita Shinyanga Simiyu Mara

    Heshima Kwenu, Nina binti anatakiwa awe shuleni form one mwakani.baada ya kuhitimu darasa la saba. SIFA ZA SHULE 1. Shule ni lazima iwe boarding. 2. ADA mwisho iwe milioni 2.5 kwa mwaka. 3. Nazingatia zaidi Good and strict parenting kwa watoto, Taaluma kwangu iwe option ya pili au ya tatu...
  20. Vichekesho

    Rais Samia katembelea Marekani zaidi ya mara 2 na Hajafanikiwa kukutana na Rais wa Marekani

    Yani nisawa na kusema Rais wa Marekani aje mara 3 au 4 Tanzania kwa ziara ya kikazi lakini akute rais wetu yuko busy mara zote hizo na ashindwe kuonana licha ya jitihada za balozi. Inauma sana asikwambie mtu. Mbaya zaidi ni kukosekana hata kapicha ka ushahidi ka chakula cha pamoja. Na inauma...
Back
Top Bottom