mashambulizi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. beth

    Burkina Faso: Jeshi lajipanga kudhibiti mashambulizi, raia watakiwa kuhama

    Jeshi limewataka raia kuondoka katika maeneo yanayotajwa kuwa na maslahi ya kijeshi katika Mikoa ya Kaskazini na Kusini Mashariki mwa Nchi hiyo kabla ya oparesheni zinazolenga kudhibiti ghasia kuanza. Maafisa wa Jeshi walioongoza Mapinduzi na kuiondoa Madarakani Serikali iliyochaguliwa...
  2. Nyendo

    DR Congo yaishutumu Rwanda kuisapoti M23 baada ya kutokea mashambulizi makali

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imeishutumu Rwanda kwa kukisaidia Kikundi cha M23 baada ya Jeshi la DR Congo kushambuliana na kikundi hicho katika mashambulizi makali Mashariki mwa Taifa hilo yaliyotokea Mei 26, 2022. Mashambulizi hayo yaliyotokea Kaskazini mwa Mji wa Kivu karibu na...
  3. BigTall

    Nigeria: Watu 50 wauawa kwa mashambulizi ya risasi

    Inadaiwa kuwa 50 wameuawa kwa mashambulizi yaliyotokea Mei 22, 2022 katika Mji wa Rann kwenye Jimbo la Borno Nchini Nigeria katika eneo la karibu na mpaka wa Cameroon. Tangu mwaka 2009 Jimbo la Borno limekuwa likikabiliwa na mashambulizi ya vikundi ikiwemo Boko Haram. Mamilioni ya watu wamehama...
  4. M

    Tangu mashambulizi ya Urusi yaanze, Ukraine imepokea misaada ya silaha na fedha kiasi cha dola za Marekani zaidi ya bilioni 12! Hizi zote ni mkopo!

    Ukraine received over $12bn in weapons, financial aid since start of war Ukraine has received over $12bn in weapons and financial aid since the start of Russia’s full-scale invasion on February 24, Ukraine’s Prime Minister Denys Shmyhal has said. Speaking at a high-level donors’ conference in...
  5. M

    Ukraine yafanya mashambulizi ndani ya Urusi tena karibu na Moscow

    Defenders wa Ukraine wafanya mashambulizi ndani Urusi. Mashambulizi hayo ni ya makombora ambayo yamelipua vituko vya mafuta na kuleta mlipuko mkubwa katika Jimbo la Druzhba oil depot in Bryansk kilomita 240 kutoka Moscow. Milipuko hiyo imetokea kwenye storage muhimu za mafuta ambaya ndio...
  6. JanguKamaJangu

    DRC: Watu 30 wauawa katika mashambulizi ya siku mbili

    Zaidi ya watu 30 wameuawa katika shambulio linalodaiwa kufanywa na Vikundi vya Jihadi, Aprili 11 na 12, 2022, Kaskazini Mashariki mwa DR Congo, Shirika la Msalama Mwekundu limetoa taarifa hiyo. Waasi wa Allied Democratic Forces (ADF) ni moja ya makundi yenye silaha, waliwashambulia watu katika...
  7. Lady Whistledown

    Ukraine: Gavana wa Chernihiv asema Russia haijalegeza mashambulizi licha ya ahadi ya kupunguza mashambulizi

    Gavana, Viacheslav Chaus, alitumia programu ya kutuma ujumbe ya Telegram kukashifu ahadi ya Urusi. "Urusi yaanzisha mashambulizi mapya baada ya ahadi ya amani, Tunaamini ndani yake? Bila shaka sivyo," alisema, akiongeza Urusi ilikuwa imeshambulia Chernihiv "usiku kucha". Siku ya Jumanne, Urusi...
  8. Zanzibar-ASP

    Urusi huenda imebakia na nguvu ya mashambulizi kutoka angani tu, ardhini pumzi imekata?

    Mimi binafsi sipendi vita, na katika vita vya Ukraine sitaki kushabikia upande wowote kuhusu mauaji, japokuwa siungi mkono kabisa uvamizi wa kijeshi wa Russia katika nchi ya Ukraine kwa kuwa ilitosha mgogoro huu kumalizwa kidiplomasia. Nilihisi na hata kutamani kuona Urusi ikimaliza tukio la...
  9. ngajapo

    Urusi yadai ‘hatua ya kwanza’ ya mashambulizi ya Ukraine imekamilika

    Afisa mkuu wa ulinzi wa Urusi anasema "hatua ya kwanza ya mashambulizi ya Urusi dhidi ya Ukraine yamekamilika" Juhudi sasa zinaweza kulenga "ukombozi wa Donbass," source RT News Russia claims ‘first stage’ of Ukraine offensive complete Efforts can now be focused on...
  10. Analogia Malenga

    Brent Renaud: Mwandishi wa Marekani auawa kwa kushambuliwa Ukraine

    Mwandishi wa Habari wa Marekani anayefanya kazi nchini Ukraine ameuawa kwa kupigwa risasi katika mji wa Irpin, nje ya Kyiv, polisi wamesema. Brent Renaud, mwenye umri wa miaka 50, alikuwa mwandishi wa habari na mtengenezaji wa filamu ambaye alikuwa akifanya kazi katika eneo hilo kwa muda sasa...
  11. S

    Kiongozi wa Chechnya amuomba Putin awaruhusu makamanda wake wafanye mashambulizi ya kushtukiza na mabaya zaidi ili waimalize vita ndani ya saa 48

    Mshirika mkubwa wa rais Putin ameomba mashambulizi ya kushtuza na mabaya zaidi yaruhusiwe na Putin nchini Ukraine ili majeshi ya Ukraine yasalimu amri ndani ya siku moja au mbili. Ramzan Kadyrov ni kiongozi wa Chechnya ambaye ana cheo cha Meja Jenerali ktk mojawapo ya majeshi ya Russia na pia...
  12. Stephano Mgendanyi

    Viongozi wa mataifa ya Magharibi na taasisi za Kimataifa wamekemea vikali mashambulizi dhidi ya Ukraine na kuahidi kuiwajibisha Urusi

    Viongozi wa mataifa ya Magharibi na taasisi za Kimataifa wamekemea vikali mashambulizi dhidi ya Ukraine na kuahidi kuiwajibisha Urusi. Mara baada ya kuripotiwa taarifa ya milipuko katika miji mbalimbali ya Ukraine, Rais wa Marekani Joe amemshutumu Rais wa Urusi Vladimir Putin kwa kusema “Urusi...
  13. T

    Uchezaji wa kamari chanzo kikubwa cha shinikizo na mashambulizi ya moyo

    Ahlan wa sahlan Nikiwa kama Ex-mkamaria kuanzia sasa, ninelifanyia uchunguzi suala hili na kugundua kuwa Kamari ni jambo linaloweza kumpelekea mchezaji kupata shambulizi la moyo la ghafla. Kwa mchezaji kamari yoyote naomba ajiangalie hali yake ya mapigo ya moyo pindi anapobeti mpaka pale...
  14. Suley2019

    Israel yaishambulia Syria kujibu mashambulizi ya anga

    Jeshi la Israel limesema lilishambulia betri za makombora nchini Syria baada ya kombora la kutungulia ndege kurushwa kuelekea Israel wakati ambapo televisheni ya taifa ya Syria iliripoti kuwa ni shambulio la awali karibu na Damascus Shirika la Reuters linaripoti . Msemaji wa jeshi alikataa...
  15. Robert Heriel Mtibeli

    Vita havijaribiwi, Ila silaha zinajaribiwa

    VITA HAVIJARIBIWI, SILAHA NDIZO ZINAJARIBIWA. Anaandika, Robert Heriel. Vita ni sumu. Sumu haionjwi. Vita ni mkondo wa MTO wenye maji, kamwe usitie miguu kupima kina cha maji. Vita havijaribiwi, ukivi-beep vinakupigia pasipo tafadhali. Maisha ni vita, maisha hatajaribiwi, maisha hayachezewi...
  16. kimsboy

    Israel: Waziri wa Ulinzi Benny Gantz aiambia Israel ijiandae kwa vita dhidi ya Iran

    Benny Gantz Waziri wa ulinzi wa Israel ametoa maelekezo ya kuishambulia Iran hivi leo mara baada ya kupewa ruksa ya kuichapa Iran. Waziri huyo wa ulinzi ameshalielekeza jeshi la anga jinsi ya kuipiga Iran bila kukosea target. Pia majuzi Iran imesambaza wanajeshi wake mashariki ya kati kwa...
  17. Jackal

    Israel yashambulia ngome ya Iran huko Syria

    Mashambulizi hayo yasababisha mlipuka mkubwa! Syria’s military said Israeli warplanes fired missiles on the port of the coastal city of Latakia early Tuesday without inflicting any human losses. -------- Syria’s state media quoted an unnamed military official as saying that several missiles...
  18. M

    Baada ya kusema hakuna wa Kumuweza na sasa Mashambulizi yanazidi Kwake, Haji Manara atishia kuwafanyia Kitu mbaya wanaomshambulia Mitandaoni

    Tukiweka Kumbukumbu sawa ni huyu huyu Haji Manara (Msemaji mpya wa Yanga SC ) alipohamia huko alijigamba na Kujimwambafai kwa kila namna kuwa hakuna mwana Simba SC anayemuweza kwa Kuchafuana na Kutaniana pia. Leo akiwa katika Interview EFM katika Kipindi Bora kabisa cha Michezo nchini cha...
  19. beth

    New Zealand kubana zaidi Sheria kudhibiti mashambulizi ya kigaidi

    Waziri Mkuu, Jacinda Ardern amelitaka Bunge kupitisha Sheria itakayofanya kupanga mashambulizi ya kigaidi kuwa kosa Hatua hiyo inakuja baada ya Mtu mmoja Raia wa Sri Lanka kushambulia kwa kisu watu saba kabla ya kuuawa na Polisi kwa risasi Septemba 03, 2021. Waziri Mkuu amesema watu watatu kati...
  20. I

    Kwani amebadilishwa na nani? Mbona speech zake zimekuwa kama kujibu mashambulizi na kujihami tu

    Alianza vizuri kutoa hotuba zenye kusisimua na kuelekeza kwa upole na unyenyekevu mwingi lakini siku hizi ni kufokafoka tu na kujihami kana kwamba ameambia anaenda kupinduliwa mda si mrefu. Au CCM wamemharibu mapema hivi. Ukisikiliza hotuba ya juzi kwa viongozi wa dini ni kama alienda akiwa...
Back
Top Bottom