masharti

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kmbwembwe

    Kama Bandari ya Bagamoyo lazima ijengwe, basi sio kwa masharti ya kuweka nchi rehani

    Tukubaliane tusikubaliane Rais Samia kashakubali mradi wa Bagamoyo kwa masharti aliyoyakataa Magufuli na ambayo Kikwete aliyakubali. Kwa hivi sasa ni kiini macho kinafanyika. Watatumwa watu kimbelembele kuendesha mazungumzo. Nionavyo mimi viongozi wabinafsi wamejaa kwenye ranks za CCM na...
  2. Mwamuzi wa Tanzania

    Utajiri wa 'ngende' (ushirikina) una masharti magumu kuliko utajiri wowote ule duniani

    Mambo vipi wazee! Aisee duniani kuna mambo sana. Ukienda gende yenyewe original kutafuta utajiri hakika utaupata endapo tu utazingatia masharti yao. Sharti lao kuu uwe na biashara, hili sharti halihitaji biashara kubwa. Hata biashara ya kuuza nyanya chungu poa tu, hata kuuza mishikaki ya mia...
  3. BASIASI

    Kwa masharti haya msahau uchaguzi huru TFF

    Jana nikiwa nasikiliza kipindi kimoja cha michezo nilishtuka sana, mmoja wagombea alilalamikia Hiki kipengele naamini viko vingi vya kubadilisha Kila mgombea anahitaji wadhamini si chini ya watano kila mkoa na kama mmoja wa wagombea eg karia akishapita Moshi Mwakagenda haruhusiwi kupita tena...
  4. D

    Masharti ya kuvaa sare

    Sare ni vazi au muonekano maalum katika kundi au taasisi maalum yenye mlengo mmoja! Miongoni mwa masharti ya kuvaa sare ni: Unatakiwa kuvaa sare wakati tu unatekeleza majukumu husika na si vinginevyo Hutakiwi kupigana ukiwa umevaa sare Hutakiwi kugombea usafiri ukiwa umevaa sare Hutakiwi...
  5. EINSTEIN112

    Ukiamua kuwa na mahusiano na mume/mke wa mtu lazima ukubali kuwa mtumwa

    1. Baby samahani dakika moja, wife anapiga simu. 2. Baby muda umeenda Sana mke wangu atanipigia, wacha niwahi kurudi nyumbani, Kesho saa 12 nitakuwa hapa 3. Baby nataka kuja kulala kwako mke Wangu amefiwa kaenda kwao 4. Baby sintaweza kuja Leo, wife kanibana... Pole kwa kuugua 5. Baby...
  6. safuher

    Ndugu Lissu, ukitaka kurejea nchini rejea; usiweke masharti haina maana

    Habarini za jioni, Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mara kadhaa nimeona katika mitandao Ndugu yetu,kaka yetu Lissu akizungumza kuwa atarudi Tanzania endapo jambo fulani na fulani litafanyika. Hii sio sawa kwa sababu zifuatazo: Kusema kuwa mukitaka nirudi basi mufanye...
  7. Nyendo

    Rais Samia Suluhu aitaka Wizara ya Habari kuvifungulia Vyombo vya Habari vilivyofungiwa. Avitaka kufuata Sheria na Kanuni

    Rais Samia Suluhu ameiagiza Wizara ya Habari kuvifungulia vyombo vya habari vilivyofungiwa, na kuhakikisha vinafuata sheria. Aidha, ameagiza sheria kanuni na adhabu ziwe wazi, ifahamike kosa fulani adhabu yake ni fulani, ili isionekane kuwa serikali inaminya uhuru wa habari. Rais Samia amesema...
  8. Bishop Hiluka

    Kenya yajibu marufuku ya Uingereza kwa kuwawekea raia wa nchi hiyo masharti

    Kenya imejibu marufuku ya Uingereza kwa kuwawekea raia wa nchi hiyo watakaowasili sharti la kuwa karantini kwa siku 14. Raia wa Uingereza watakapokuwa wamejitenga, watahitajika kupimwa ikiwa wamepata maambukizi ya virusi vya corona au la mara mbili siku ya pili na ya nane wakiwa karantini kwa...
  9. Mshana Jr

    Makinika na masharti ya waganga wa kienyeji

    Kisa cha wanandoa walioachanishwa kisheria wiki hii baada ya kuishi pamoja kwa miaka 21 kimenitafakarisha sana... Tatizo sio kuachana bali ni sababu za kuachana Mwanaume hakuwa na korodani (lugha isiyovaa nguo korodani ni pumbu) hizi ndio kiwanda cha manii zinazoleta malighafi ya kuumba watoto...
  10. mjingamimi

    Wakenya washinikiza kuondolewa kwa masharti ya kuzuia corona

    [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]. Sisi Huku kanuni yetu NI ile ile. Ukifa unazikwa tunaendelea na maisha
  11. Shigganza

    Spika Job Ndugai: Kutokana na masharti ya Mradi wa Bandari Bagamoyo, ni sahihi Serikali kuusitisha

    Spika wa Bunge, Job Ndugai amebadilisha msimamo wake kuhusu ujenzi wa mradi mkubwa wa ukanda maalumu wa kiuchumi wa Bagamoyo (Bagamoyo SEZ) mkoani Pwani akisema awali yeye na wabunge wenzake hawakuyajua masharti ya mradi huo bali waliangalia tu faida zake. Kauli ya Ndugai imekuja ikiwa ni siku...
Back
Top Bottom