mashine

Rage Against the Machine (also referred to as RATM or simply Rage) is an American rock band from Los Angeles, California. Formed in 1991, the group consists of vocalist Zack de la Rocha, bassist and backing vocalist Tim Commerford, guitarist Tom Morello, and drummer Brad Wilk. Their songs express revolutionary political views. As of 2010, they had sold over 16 million records worldwide. The band was nominated for induction into the Rock & Roll Hall of Fame in their first year of eligibility in 2017 and 2018, although both bids failed.Rage Against the Machine released its eponymous debut album in 1992 to commercial and critical success, leading to a slot in the 1993 Lollapalooza festival; in 2003, the album was ranked number 368 on Rolling Stone's list of the 500 greatest albums of all time. The band's second album, Evil Empire, was released in 1996, followed three years later by The Battle of Los Angeles (1999). During their initial nine-year run, Rage Against the Machine became one of the most popular and influential bands in music history, and had a large influence on the nu metal genre which came to prominence during the second half of the 1990s. They were also ranked No. 33 on VH1's 100 Greatest Artists of Hard Rock.
In 2000, Rage Against the Machine released the cover album Renegades and disbanded after growing creative differences led to de la Rocha's departure. De la Rocha started a low-key solo career, while the rest of the band formed the rock supergroup Audioslave with Chris Cornell, the former frontman of Soundgarden; Audioslave recorded three albums before disbanding in 2007. The same year, Rage Against the Machine announced a reunion and performed together for the first time in seven years at the Coachella Valley Music and Arts Festival in April 2007. Within the next four years, minus a sabbatical in 2009, the band continued to perform at more live venues and festivals around the world before going on hiatus once again. In 2016, Morello, Commerford and Wilk formed a new band, Prophets of Rage, with B-Real, Chuck D, and DJ Lord; that band managed to release one EP and one full-length studio album before calling it quits in 2019.After an eight-year hiatus, Rage Against the Machine announced in November 2019 that they were reuniting for a tour in 2020.

View More On Wikipedia.org
  1. MR.NOMA

    Je, katika ujana wako umewahi kuingia na Demu chumbani, ghafla mashine ikagoma kusimama. Ulifanyaje? Maada hii ni kwa wanaume tu

    Morning wakuu! Kumekuwa na stori nyingi za vijana wakati tukisoma secondari na vyuo ,anamtokea Binti mkali na anamfatilia kwa muda mrefu hata miezi 2 na zaidi lakini ikitokea siku bint amekubali kuja kuliwa, amefika gheto/ room ghafla Hofu na Ile mstuko unafanya jogoo likatae kupanda mtungi. Je...
  2. Jitume Biashara

    INAUZWA Nauza Mashine ndogo ya kukamua juisi ya miwa (Mashine ya manual)

    Mashine ya kukamua juisi ya miwa Mashine ya manual Bei 550,000/= Hii mashine unaweza kutumia binafsi kuanzisha biashara ya juisi ya miwa au ukaikodisha kwa mtu mwengine Sifa za mashine 🔸️uzito ni 34kg 🔸️haitumii umeme 🔸️ukubwa wake 46*36*46 🔸️haitumii umeme yani ni manual 🔸️material yake ni...
  3. Kichina44

    INAUZWA Mashine ndogo ya kusaga na kukoboa (2 in 1) mahindi, mpunga, viungo vikavu

    MASHINE NDOGO YA KUSAGA NA KUKOBOA (2 in 1) mahindi, mpunga, viungo vikavu nk Mashine MPYA Bei 1,500,000/= Mashine ipo DAR ●Mashine ina pande mbili, upande mmoja ni wa kusaga na upande wa pili ni wa kukoboa. ●Inaweza koboa mpunga, mahindi, n.k ●Inaweza saga mahindi, mchele, manjano, kahawa...
  4. L

    INAUZWA Nauza mashine ya kusafishia taa

    Nina mashine ya kusafishia taa (headlamp restoration), hii hutumika kusafishia taa za gari zenye ukungu. ~ Bei yake naiuza 110,000, discount ipo. ~ Napatikana Mabibo, Daresalaam. Mawasiliano: 0621846107 (call/text/WhatsApp)
  5. L

    Mashine ya kichina yenye uwezo wa kupika vyakula 1000 tofauti

    Na Gianna Amani Maendeleo ya sayansi na teknolojia yanakwenda kasi, kutokana na changamoto mbalimbali zilizopo duniani, binadamu wameendelea kukuna vichwa na kutafutia ufumbuzi ambao umeleta tija katika maeneo mengi sasa. Teknolojia imechangia katika kurahisisha shughuli za binadamu, lakini...
  6. Superbug

    Mashine na biashara za betting zinauzwaje?

    Naomba kujua yafuatayo juu ya mashine na biashara za kubetisha mpira. 1. Mashine zinauzwaje. 2. Zinapatikanaje/wapi? 3. Mtaji wake kiasi gani? 4. Risk zake ni zipi? 5. Faida yake inapatikanaje? Nk
  7. B

    Upigaji kwenye EFD na mashine za kutolea risiti inazotaka TRA

    Nani asiyezijua mashine za EFD au hizi zinazotumiwa na jamaa wa parking au kwenye malipo mbalimbali? Mashine hizi sasa ni takwa la kisheria kwa wafanya biashara vinginevyo hakuna kufanya biashara. Uliza bei za hizo mashine. Si ajabu kusikia 600,000/- kwa moja na malipo lukuki ya mwezi kwa...
  8. JOTO LA MOTO

    Computer4Sale Mashine ya Mac inauzwa

    Mashine ni nzima inapiga kazi...ipo Dar, bei ni laki mbili na nusu.
  9. Kimbioko

    Mashine ya kufunga nyasi kavu(Manual Hay Beller)

    Habar wanajukwaa hili,mimi ni mfugaji mdogo wa ng'ombe maziwa. Kutokana na changamoto ya malisho,ninauhitaji wa kuanza kutengeneza na kuhifidh malisho, lakini nimejaribu kuulizia hiki kifaa kwa hapa Bongo nikapata kampuni moja(hide name) ipo Arusha wanauza bei mbaya mno yani zaidi ya 2 millions...
  10. T

    Mashine inayopumulia CHADEMA kwa sasa ni kupinga kila kitu kwa sauti kubwa bila hivyo itapotea

    Inavyoonekana harakati za kudai mageuzi ya kweli kupitia chadema zimeingia kwenye zama ngumu sana kuwahi kutokea katika taifa letu. Kwa kadri ccm inavyobadilibadili ma dj wake na midundo ya muziki inavyogeuzwageuzwa, ni kama kuna namna wananchi wananogewa na mziki wao. Nimefikia kufikiri hivi...
  11. Bridger

    KWELI Mashine za Kunyolea nywele zinaweza kusambaza VVU

    Kisayansi na kibaiolojia virusi wanasifa ya kutokuwa hai pale wanapokuwa nje ya seli ya kiumbe mwingine(host) na wanaweza kukaa muda mrefu bila kuwa na dalili zote za viumbe hai mpaka pale watapoingia kwenye seli ya kiumbe. Inakuwaje sasa tunaambiwa HIV haambukizwi kwa mashine za kunyolea...
  12. Azul

    Natafuta mashine ya kukata Crips/viazi

    Habari ya leo Jumapili, Natumaini tuko sawa wote, wenye changamoto zozote poleni sana. Natafuta mashine ya kukatia viazi, kwa ajili ya kutengeneza Crips. Ningependa kujua bei, na inapopatikana au connections yoyote. Nipo kanda ya ziwa, unaweza kuja DM au sms/text kupitia 0743051733
  13. issahmoh

    INAUZWA Mashine ya kutengeneza chaki

    Mashine mpya kabisa ya kutengenezea chaki inauzwa Tsh 300,000 tu Ina matundu 100 Nipigie kwa 0769 863 484 tufanye biashara chap Location: Dar es Salaam
  14. royal tourtz

    naomba kujua namna ya kufanya biashara ya kuweka mashine ya kubetisha, kama gal sport

    za mda huu waku hapa, nimekuwa nikiona watu wanafungua office ya kubetisha kama gal sport na nyingine kama hizo, kama kuna mtu anajua taratibu zake za kufata na namna ya kupata faida naomba anielekeze hapa
  15. FRANCIS DA DON

    Hii ndio mashine ya kuzalisha matairi ya pikipiki kwa kutumia takataka, Tz hazijafika bado?

    Kwakuwa mahitaji ya tairi za pikipiki na makubwa nchini Tz, Ke, bado hatuna hii mashine? Video ina maelezo
  16. FRANCIS DA DON

    Je, ni lini SIDO wataunda mashine hii ya kuzalisha ‘Sprocket’ za pikipiki?

    Soko la ‘Sprocket’ za pikipiki ni kubwa sana Tanzania, na uzalishaji wake ni rahisi na unawezekanika kwa teknolojia rahisi sana. Je, ni lini SIDO wataanza kuunda na kusambaza mashine na ujuzi huu kwa maendeleo ya taifa letu? Sehemu ya tozo itumike kwenye R & D badala ya kujenga Ikulu hadi...
  17. M

    INAUZWA Dust sucker mashine inauzwa

    Wadau nauza mashine ya kutolea vumbi Niko Dar Mwenge 0710881879 Bei 80000
  18. U

    Msaada wa haraka mashine yangu ya kupimia pressure imeharibika, wapi napata fundi?

    Wadau hamjambo Nipo maeneo ya Mbezi beach naombeni msaada kwa mujibu wa kichwa Cha habari. Mashine yangu ya kidigitali ya kupimia mapigo ya moyo imeharibika Baada ya kudondoka chini na hivyo haisomeki vizuri. Wapi napata fundi wa haraka na aliye mjuzi? Nina mgonjwa nyumbani ambaye ni Mama...
  19. D

    Avocado oil press machine

    Salama humu ndani! natafuta mashine ya kukamulia mafuta ya parachichi yenye uwezo wa kuzalisha kati ya 10 na 20KG kwa siku.
  20. Mayova

    Uwakala wa NMB bila kutumia mashine ya kutolea risiti

    Habari za leo wakuu: Siku hizi mawakala wapya wa NMB wanasajiliwa bila ya kupewa zile mashine za kutolea risiti badala yake wakala anafanya kupitia simu yake ya mkononi hivyo mteja anaondoka na ile risiti moja ambayo ameijaza na wakala atagonga mhuri . Kwa wazoefu hii haileti changamoto kwa...
Back
Top Bottom