mashirika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mhafidhina07

    Serikali, wazazi na mashirika ya kidini kwa ujumla chagueni mwanga au giza

    Salaam, Binafsi ni kawaida kwangu kuja na bandiko za kukemea tabia na mmonyoko wa maadili kwa jamii nyingi za kiafrika na hususani Tanzania. Jamii nyingi za kiafrika zimepoteza asili yake ya kimalezi na heshima (Tamaduni) kutokana kuvamia dude kubwa ambalo lipo imported halikuwahi kuwepo...
  2. K

    Tuliowahi kufanya kazi za mauzo kwenye mashirika au binafsi tukutane hapa

    Habari wana JF, Nilikuwa Afisa mauzo (Salesman) kwenye kampuni flani jina sitalitaja, nikiuza bidhaa aina ya Tumbaku. Kupata hela pungufu au bidhaa pungufu lilikuwa jambo la kawaida yaani short kwa ujumla, na hela pungufu umepata ndogo ni elfu hamsini na kuendelea ni short kweli kweli usipokuwa...
  3. Stephano Mgendanyi

    Aysharose Mattembe Aahidi Kutafuta Fursa kwa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Kuwawezesha Wajasiriamali Mkoa wa Singida

    SHIRIKA lisilo la kiserikali la Star Entrepreneur General kwa ufadhili wa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Mhe Aysharose Mattembe, limetoa mafunzo kwa wajasiriamali katika wilaya zote za mkoa huu ya namna ya kuendesha biashara zao kwa ufanisi na weledi ili waweze kujikwamua kiuchumi...
  4. Webabu

    Mashirika ya misaada 18 yaiangukia Israel. Waiambia basi inatosha. Wenyewe wamekataa kusimamisha vita

    Jumla ya mashirika ya misaada 18 yakiwemo ya UN leo yametoa tamko la pamoja kuibembeleza Israel isimamishe vita kutokana na kihoro cha maangamizi walichokiona. Mashirika hayo yameweka pembeni kila aina ya hisia na imani walizonazo na kubakiwa na ubinadamu tu na kuona inatosha adhabu...
  5. The bump

    Nahisi mabasi kusafiri usiku yameshusha mapato kwenye mashirika ya ndege

    Usafiri wa mabus usiku nadhani ni pigo kubwa sana kwa mashirika ya ndege, kwa mwendo ninao uona sasa mashirika ya ndege kwa safari za ndani ya nchi itabidi waje na ofa sio za kawaida otherwise maumivu yao ni makubwa. Mabus ya Usiku yana jaa mapema kuliko kawaida, yani kama unasafiri usiku...
  6. Stephano Mgendanyi

    Naibu Waziri Kihenzile: KADCO Ongezeni Ubunifu Kuvutia Mashirika ya Uwekezaji

    NAIBU WAZIRI KIHENZILE: KADCO ONGEZENI UBUNIFU ILI KUVUTIA MASHIRIKA YA UWEKEZAJI Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. David Kihenzile ameutaka Uongozi wa Kampuni ya Uendeshwaji na Uendelezwaji wa Kiwanja Cha Ndege Cha Kilimanjaro (KADCO) ambao ndiyo waendeshaji wa Kiwanja Cha Ndege Cha Kilimanjaro...
  7. R

    Ni Waziri gani wa fedha anaeongoza kwa kukopa Mashirika ya Kimataifa tangu tupate uhuru?

    Ninaomba kufahamu Waziri wa Fedha aliyewahi kukopa sana toka tupate uhuru. Tupate pia na historia ya Waziri wa Fedha aliyekopa kidogo sana. Tufahamu kwanini huyo aliyekopa sana alikubaliwa akaaminiwa akakopeshwa sana, na huyu aliyekopa kidogo alitumia mbinu zipo kuendesha serikali na miradi ya...
  8. kmbwembwe

    Mtazamo wa Rais Samia kuhusu Mashirika ya Umma si sahihi

    Serikali ya Samia eti inatazama mashirika ya umma kama uwekezaji wa kibiashara ambapo serikali haistahili tena kuwekeza ila watu binafsi. Msimamo huo sio sahihi kwa sababu mashirika ya kibiashara ya umma yalikwisha binafsishwa yote tangu awamu ya Mkapa. Yale yaliyobakia ni yale ya kimkakati kwa...
  9. BARD AI

    Rais Ruto aidhinisha Sheria ya kubinafsisha Mashirika yanayoendeshwa kwa hasara

    Rais wa Kenya William Ruto ameidhinisha Muswada wa Ubinafsishaji wa mwaka 2023 ambao sasa umekuwa Sheria ukilenga kuondoa urasimu katika Ubinafsishaji wa Mashirika ya Serikali yasiyo ya Kimkakati na yanayoendeshwa kwa hasara. Imeelezwa kuwa Sheria hiyo mpya pia itasaidia Serikali kuongeza...
  10. Roving Journalist

    Yaliyojiri Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 30 wa Mashirika ya Utangazaji ya Umma Kusini mwa Afrika (SABA), Oktoba 10, 2023

    Fuatilia yanayojiri kwenye Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 30 wa Mashirika ya Utangazaji ya Umma Kusini mwa Afrika, leo Okotoba 10, 2023 ambapo Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi ni mgeni Rasmi. https://www.youtube.com/watch?v=ysEjV4d7-1U AYUB RIOBA, MKURUGENZI WA TBC SABA (Southern Africa...
  11. Vincenzo Jr

    Fahamu mashirika ya ujasusi yenye uwezo mkubwa duniani

     Ujasusi ndio 'kiini tete' cha kila nchi na ujasusi wake wa nje na wa ndani unazingatia masilahi na usalama wa kitaifa. Shirika la Kitaifa la Ujasusi ndilo ulinzi wa kwanza wa taifa, na ndilo shirika linalohusika na kupata taarifa za siri, na dhana za udukuzi zinazofanywa na nchi, lakini si...
  12. I

    Ili TAKUKURU iwe na meno ishirikishwe katika mipango ya idara na mashirika ya umma

    Mara kadhaa Rais na wapambe wake wakiwemo mawaziri wanapohisi kuna ubadhilifu katika fedha za umma huwaagiza TAKUKURU wafanye uchunguzi! Mtindo huu wa utawala ni wa hovyo kwani tayari fedha zinakuwa zimetumika vibaya. Jambo hili lingeweza kuepukika kama TAKUKURU wangeufahamu mradi tangu mwanzo...
  13. sychellis

    Je, ni faida au hasara kwa Taasisi na Mashirika ya Umma kuajiri yenyewe bila kupitia Utumishi (Ajira Portal)?

    Kwa sasa hali imebadilika taasisi na mashirika mengi ya umma yanaajiri yenyewe kupitia Portal zao bila kuhusisha utumishi au Ajira portal. Leo hiii watu wanaomba kazi TRA kupitia portal ya TRA. NSSF pia watu wanamba kupitia uko na taasisi nyengine za umma. Je, kuruhusu Mashirika na Taasisi za...
  14. MUBIKU

    Mashirika au sekta zinazotakiwa kupewa wawekezaji

    Habari za wakati huu, moja kwa moja niende kwenye mada kama ambavyo kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Nadhani umefika sasa wakati ambapo sisi wananchi na watanzania inabidi tuanzishe mjadala wa kitaifa juu ya maswala yanayogusa uchumi wetu, Rasilimali zetu na maisha kiujumla, na...
  15. B

    Rais Samia: Naona aibu kuwachukulia hatua viongozi Walionizidi Umri

    Asalam, Msiopenda utaratibu wa mimi kufuatilia na kusoma kwa makini hotuba za Rais wangu Mpendwa mtanisamehe. Mwaka 2021 Fatma Karume (Shangazi wa Taifa ) aliandika andiko moja muhimu sana juu ya namna ya kumfahamu vema Rais wetu, naomba kumnukuu "Ukitaka kumwelewa Rais Samia na Hotuba Zake...
  16. B

    Mashirika mengi ya Tanzania hayatekelezi ahadi zao na hayajali muda wa Vijana

    Naweza nikatumia lugha ya uongo maana ndio maana halisi endapo mtu atashindwa kutekeleza lile aliloliahidi. Lengo la post hii sio kulichafua shirika lolote lile ila ni kuwakumbusha tu kuwa wasiwachukulie poa vijana wanaowapa kazi. Mfano mzuri leo hii nitayazungumzia mashirika mawili WATUMISHI...
  17. kmbwembwe

    Panga pangua ya mashirika ya umma hebu tuangalie kwa darubini

    Hii panga pangua ya mama kuhusu mashirika ya umma inatia shaka. Kwanza tujiulize ni mashirika gani ya biashara yanaendeshwa na serikali. Mengi yalikwisha binafsishwa zamani kabisa enzi ya mkapa. Kwenye hii awamu binafsi naona ni wapiga dili watupu. Mashirika mengi yaliyobakia serikalini yale ya...
  18. FaizaFoxy

    Rais Samia anafanya kweli. Mashirika ya Umma kuwa ya Umma kiukweli

    Mama Samia anafanya kweli, hayumbishwi hata kidogo. Hakuna tena longolongo ya kuitwa "mashirika ya umma" huku yanabaki kuwa kichaka cha wapigaji wachache. Mama amesema Arusha, mashirika ya umma yawe ya umma kiukweli, Watanzania wauziwe hisa na wawe na kauli nayo. Kama mama Samia alivyofanya TPA...
  19. R

    Rais akiri yapo mashirika yalikuwa yanakopa fedha ili watoe gawio kwa serikali

    Nchi hii in maajabu sana; tunadanganywa sana. Kama wapo wakurugenzi walikuwa wanakopa kudeclare gawio kwa serikali tena wakiwasilisha hizo taarifa kwa Mhe. Rais unajiuliza hadi udanganyifu huu ubarikiwe nani na kufanyika mbele ya camera wahusika walikuwa wananufaikaje? Je, hayo madeni nani...
  20. Suley2019

    Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO's) 200 Mwanza hatarini kufutwa

    Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO's) 200 kati ya 613 mkoani Mwanza, yamewekwa chini ya uangalizi wa Ofisi ya Msajili wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali kutokana na kutowasilisha taarifa za utendaji kazi na kutolipa ada kwa wakati. Taarifa hiyo imetolewa na Mkurugenzi Msaidizi wa usajili wa...
Back
Top Bottom