Kwann uswahilini wengi ni masikini hata baadhi ya mitaa hata ukifungua biashara utoboi pana view nne tunaziita school of thought yaani dini, sayansi ya akili, uchawi, universe
1=. kwa majibu ya dini wao wanasema pana roho chafu ya umasikini,
2= majibu kwa elimu ya uchawi kila eneo...