Elisabeth Finant (9 November 1954 – 28 September 1994), known professionally as Abeti Masikini, was a singer from the Belgian Congo who was active in France from 1971 until her death in 1994 at the age of 39. Her music pulled from a variety of genres, including soukous, Congolese rumba, folk music, and the blues. She recorded 21 albums during her career for a variety of record labels including RCA Records and Polygram Records among others.
Utangulizi
Maisha matamu sana, haya ni maneno ambayo nisingeweza kuyatamka miaka ishirini iliyopita, sikujua cha maisha wala uzuri…, na si mimi tu wengi tulikuwa kwenye dhahama hizo…
Nasogea kwenye bustani na kuketi napigwa na upepo mzuri naona wanafamilia wakitembea kutoka makwao kuelekea...
Ameandika ndugu Christopher
Ukitaka kuwatawala masikini, unawagawa tu. Unahakikisha wale masikini wajingawajinga unawapa mamlaka ya kipolisi, unawapa bunduki, au upendeleo kidogo tu, halafu unawaambia hawa wenzenu (masikini wenye akili akili) ni wachochezi hawaitakii mema nchi yetu. Halafu...
Katika hili lililo mezani ( nililolileta ) leo GENTAMYCINE nitakuwa Msomaji zaidi wa 'Comments' pamoja na 'Intellectual Arguments' zenu ili nami pia Kichwa changu na Ubongo wangu uimarike kwa uelewa wa Mambo makubwa, mazito na muhimu kama haya.
Nataka hasa 'Critical Anaysis' zenu hapa.
Wakati wote tangu dunia kuwepo, ulimwenguni matajiri ni wachache sana wakati mafukara ni wengi sana. Inakadiriwa asilimia 1 ya matajiri duniani wanamiliki asilimia 50 ya utajiri wote duniani!
Harakati nyingi duniani ni za kuwapa masikini unafu wa maisha. Kuna elimu bure, COVAX, MKUKUTA, LHRC...
Sina mengi wakuu nawasalimu.
Hii misosi ya mama nitilie ni kwa ajili ya maskini.
Mabenchi machafu
Viti vimevunjika
Meza chafu, inzi wakutosha
Msosi sometimes unanuka moshi
Wahudumu wachafu
Customer care iko chini
Kula kwa mama nitilie ni umaskini au labda ukumbwe na dharuura.
Mchele...
NGUVU YA TABIA
Tofauti Kati Ya Tabia Za Maskini Na Tajiri.
Tajiri ni mtu ambaye yuko serious katika maswala ya utafutaji wa pesa na nidhamu ya pesa kwa ujumla.
~Tajiri Yuko serious katika utafutaji wa pesa, yani anatafufa pesa kwa nguvu zote mpaka muda wake wa kulala ni mdogo sana, muda...
Polisi wamezuia watu kugawa chakula kwa wasiojiweza kipindi hiki cha ‘Lockdown’ kwa kuwa wanakiuka miongozo ya Afya ya Kudhibiti maambukizi ya #COVID19
Wanaotaka kugawa chakula wametakiwa kuwasilisha kwa viongozi wa mkoa ambao watagawa kwa wasiojiweza. Hatua hii imekuja baada ya viongozi wa...
a ) Zijenge Sanamu ya Mtu tu?
b ) Zifidie Wafanyabiashara wote walipoteza Mali zao kwa Moto Kariakoo?
c ) Zijenge sehemu zote za Soko la Kariakoo ambazo zimeharibiwa ( zimeungua ) vibaya na Moto?
d ) Zisambazwe Tanzania nzima (Mikoani) ili zitumike katika Kutoa Elimu ya Vitendo kwa Watanzania...
Nilikuwa na maongezi ya simu na mpya wangu.
Aliniuliza kwanini mtu akionekana ana mali, hasa kama ni mtumishi wa serikali huishia kuchunguzwa? Kwani serikali inataka watu wake waishie kuwa maskini? Akaniuliza vipi wale watu wenye potential zote za kufanikiwa na bado ni maskini, kwanini...
SILAHA YA MASIKINI NI UNAFIKI
Kwa Mkono wa Robert Heriel
Uzoefu wangu unanieleza jambo hili. Na nimeshalithibitisha kwa yakini kuwa Silaha namba moja kabisa ya Mtu masikini ni Unafiki.
Umasikini upo wa namna mbalimbali, upo umasikini wa kiuchumi, umasikini wa kifikra, umasikini wa Kiroho...
Nimetafakari gharama wanazoziingia wazazi kuwapeleka watoto ex form six JKT. Ni kubwa na mzigo usio na sababu ya msingi kwa wazazi masikini. Si chini ya laki mbili (200,000 Ths) kwa uchache. Hizi ni hela nyingi kwa mzazi wa vipato vya chini huko vijijini anaye-strugle kupata ada ya shule za...
Na Mwl Matete
Siku tatu zilizopita serikali ilitoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano na vyuo mbalimbali, kilichowastua wengi ni namna uchaguzi huo ulivyofanywa. Wazazi wengi wanalia hasa wale masikini ambao hawana uwezo wa kuwapeleka watoto wao shule binafsi...
Rafiki yangu mpendwa,
Kilio kikubwa cha watu kwa sasa ni pengo kati ya matajiri na masikini kuzidi kuwa kubwa.
Matajiri wanazidi kuwa matajiri huku masikini wakizidi kuwa masikini.
Ni hali ambayo imezua taharuki kubwa hata kwenye nchi zilizoendelea na zenye utajiri mkubwa kama Marekani...
Mimi nashangaa tu ndio mnaita mapenzi ya kweli? Mimi naona kutumika vibaya tu. Mtu unaishi vipi na mwanamme hana maendeleo, hata mipango yake kuhusu maisha hovyo kila anachofanya kina fail. Kuna watu wana huruma kweli ningekuwa mimi nimeshamwachia mbali.
Dada wa watu anazidi kukonda tu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.