masomo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Millionaire Mindset

    Una matatizo ambayo yanakusumbua lakini hujui wapi pa kuanzia kuyatatua?

    UNA MATATIZO AMBAYO YANAKUSUMBUA LAKINI HUJUI WAPI PA KUANZIA KUYATATUA? JE, unafikiri ni nani wa kulaumiwa kwa changamoto na matatizo yote unayopitia? Ni mzazi, mlezi, Ndugu, Jamii au serikali yetu? Na Je, unajua kuwa kusuluhisha tatizo lolote lile bila kujua chanzo chake, ni kama kushindana...
  2. Doctor Mama Amon

    Masomo 21 Kwa Ajili ya karne ya 21: Ukweli Kinyonga, Kuna Ukweli Bandia Unaodumu Milele

    Dr. Yuval Noah Harari, Mwandishi wa Kitabu kiitwacho, "Masomo 21 Kwa Ajili ya Karne ya 21 (2018) Mwaka 2018, mwanahistoria wa huko Israel, Profesa Yuval Noah Harari, aliandika kitabu kiitwacho, “Masomo 21 Kwa Ajili ya Karne ya 21,” yaani “21 Lessons for the 21st Century.” Kitabu hiki kimechapwa...
  3. Infantry Soldier

    Kwanini somo la Civics ndilo pekee ambalo haliundiwi combination "A" level katika masomo saba ya msingi Kidato cha Nne?

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums. Ndugu zangu watanzania; Kwanini somo la Civics ndilo pekee ambalo haliundiwi combination "A" level katika masomo yale saba ya msingi kidato cha nne? What's the logic? Aren't they diplomats? Wale wanaopata As za somo hili la...
  4. TheDreamer Thebeliever

    Je, tuendelee kutilia mkazo watoto wetu kusoma masomo ya sayansi au tukomae na kukuza vipaji?

    Habari wadau! Baada ya kimya kirefu leo vidole vimeniwasha nimeamua kuandika thread . Nauliza tu je kuna ulazima kuwasisitiza watoto wetu kukomaa na masomo ya sayansi ambayo ki uhalisia yanaonekana kuwashinda wengi au tukomae na kuakikisha tunagundua vipaji vya watoto wetu ASAP(As Soon As...
  5. 44mg44

    Je, nitafanya nini endapo moja ya masomo niliyochagua halifundishwi kwenye chuo nilichochaguliwa?

    Nimechaguliwa kwenda kusoma shahada ya ualimu, sasa je endapo nkikuta somo moja wapo ya yale niliyochagua mim halifundish hapo chuoni nitafanya nini?
  6. fungi06

    Ni vema mtoto wa Kitanzania asome masomo yatakayomwongoza kufanya kazi aipendayo hapo baadaye

    Basi kama sirikali kweli inataka kusaidia taifa a kesho kurudisha hadhi ya Mtanzania kuw mzalendo na nchi yake basi pasipo na shaka lazima tuwe watu waku make opportunity kulingana na mazingira yetu. Basi nimekutuna na mzungu fulani nikiwa natoka kusoma, ana furaha na kazi yake ya udereva wa...
  7. opondo

    Natafuta kazi nina degree ya Ualimu masomo ya Physics na Chemistry

    Habarini wakuu, natafuta kazi ya ualimu masomo ya physics na chemistry nimegraduate mwaka huu nipo mwanza, lakini naweza kufika sehemu yoyote Tanzania. Kwa atakenisaidia kupata sehemu ya kujishikiza siwezi kumuacha patupu. Advance nilisoma PCB na nilipata division 2 point 12... GPA ya Chuo...
  8. ADAM SMITH

    Msaada wa soft copy ya vitabu, pamhets, kwa masomo ya uchumi na accounts A level na professional studies

    Wakuu naomba msaada kwa mwenye soft copy ya vitabu, pamhets kwa masomo ya uchumi na accounts A level na professional studies
  9. OKW BOBAN SUNZU

    Uchaguzi 2020 Tulikemee hili la Wanafunzi kuachishwa masomo kwa ajili ya kampeni za CCM

    Mdau najua wewe ni shahidi.Kila makao makuu ya mkoa anapopita Mgombea wa CCM na mgombea mwenza kumekuwa na tabia ya kuachisha masomo wanafunzi na kusombwa kuhudhulia mkutano. Hii sio haki kwani hii ni mikutano ya kichama na inavuruga mwenendo wa masomo yao. Mwalimu mmoja jana akanitaka kama...
  10. P

    Nafasi ya kazi ya Ualimu katika Masomo ya Fizikia na Kemia

    Naitwa Mwl. Paulo Yamola Masanja Ni mhitimu wa shahada ya Ualimu wa sayansi katika masomo ya Physics na Chemistry. Lengo kuu ni kuomba nafasi ya kazi ya kufundisha kama Mwalimu katika sekondari yenye uhitaji. Kwa maswali na ufafanuzi zaidi, napatikana kupitia 0767582599 Email...
  11. James Martin

    Uchaguzi 2020 Wazazi tulaani kitendo cha watoto wetu kukoseshwa masomo na kutumiwa kisiasa

    Kampeni za mwaka zimeingia hatua mpya ya kuwalazimisha watoto kujiingiza kwenye kampeni za kisiasa. Mambo hayo yametokea huko Bukoba baada ya wanafunzi kushinikizwa kusimama barabarani kuupokea msafara wa mgombea wa CCM. Mimi kama mzazi nikigundua mwanangu kesho atakosa masomo kwa ajili hii...
  12. stanluva

    Mafunzo ya Ualimu ngazi ya stashahada ya ualimu elimu ya awali, msingi na sekondari mwaka wa masomo 2020/2021

    Mfumo wa uombaji wa nafasi za mafunzo ya ualimu katika ngazi ya stashahada umefunguliwa. Kama una ndugu au jamaa mtaarifu ikiwa anavigezo vilivyoanishwa anaweza kutuma maombi. Ili kuweza kuona kozi na sifa zinazohitajika tafadhali soma maelekezo kwa kubonyeza hapa. === Katibu Mkuu Wizara ya...
  13. Influenza

    HESLB: Hatujapunguza mikopo ya Wanafunzi. Tunatoa fedha za kujikimu kulingana na siku za masomo

    Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imefafanua kuwa inatoa mkopo kwa Wanafunzi kulingana na siku za masomo kwa kila robo ya mwaka wa masomo Imeeleza kuwa kutokana na COVID19 siku za masomo za robo mwaka ya nne ya muhula wa masomo wa 2019/20 ambazo huwa ni 60 zimepungua kwa...
  14. Ivan Breaker

    Course gani nzuri katika Utumishi wa Umma upande wa ajira?

    ...
  15. Msingi_Kiuno

    Dondoo kuhusu ufadhili wa masomo nje ya Tanzania (Scholarship updates)

    Wakuu habari ya muda, Nimefungua uzi huu ili tuweze kupeana dondoo za jinsi ya kutafuta na hatimaye kupata ufadhili wa masomo nje ya Tanzania. Tuweke matangazo ya nafasi za masomo kokote nje ya Tanzania, tupeane maelekezo na hatimaye wengi wetu tutoke na kwenda kujifunza dunia inaendaje upande...
Back
Top Bottom