MAGUFULI KIBOKO YA MASIKINI, MTETEZI WA MATAJIRI.
Na, Robert Heriel
Kuna watu hawamuelewi Mhe. Rais na hawatakuja kumuelewa kabisa. Leo nitakupa mbinu ndogo sana ya kumuelewa Mhe. Rais ambayo huenda ulikuwa huijui. Mbinu hiyo ni; Usimpende sana magufuli yaani usiwe na mahaba niue naye, pia...