Najua kuanzia katika Karatasi na Jicho la Kiufundi la kila Mdau wa Soka ndani na nje ya Tanzania anawapa Yanga SC 100% ya Kushinda leo dhidi ya Mbao FC katika ASFC, ila TAHADHARI inatakiwa ichukuliwe mno na Yanga SC kwani katika Mpira wa Miguu lolote laweza Kutokea na Mifano ya hili iko mingi...
Matajiri halali wadunia wanaotumia elimu za darasani kujitajirisha.
1. ELON MUSK
Bachelor of Physics
Bachelor of Economics.
Utajiri wake aliupata baada ya kuuza program aliyobuni wakati anasoma
2.
3.
4.
5.
Tuendelee kuwataja.
Je Mfalme Mansa Musa kutoka Mali ndiye aliyekuwa tajiri zaidi duniani?
11 Juni 2019
Mwanzilishi wa Amazon Jeff Bezos ndiye mtu tajiri zaidi duniani , kulingana na orodha ya jarida la Forbes la 2019 iliotolewa wiki hii.
Akiwa na mali yenye thamani ya $131bn (£99bn) ndiye mtu tajiri zaidi...
Jarida la Forbes ambalo hutoa orodha ya matajiri duniani wametoa orodha ya matajiri wapya dunia.
Hii ni orodha ya matajiri 10 kwa mwaka 2022.
1. Elon Musk mmliki wa kampuni ya tesla na spaceX utajiri wake ni $239.2B lakini ameshuka kwa kiasi cha shilingi $1.9B sawa na asilimia 0.79% ya utajiri...
Salaam Wakuu,
Baada ya Kuvumilia kwa muda mrefu, sasa wameamua kuoneshana Makali. Mwenye pesa zake kakodi mbuzi washambulie shamba la Mbigili.
Wanashindwa kujua Mbuzi anakula Majani, Mizizi ya Mbigili imejichimbia chini.
Baada ya Mwenye shamba kuoneaha jeuri ya yasiyowezekana 2021,Sasa...
Rejea katika historia
Hii ni kinyume kidogo Na utaratibu tuliozoea kusikia au kushauriwa na wataalamu Wa kiuchumi au wahamasishaji,motivational speakers. Dhana ya kuweka akiba imekuwa ikielezwa katika misingi ya vitu mbalimbali Na ikipata mashiko kutoka kwenye biblia Na vitabu vingine.
Ingawa...
Salute Wakuu
Utangulizi
Wengi mmesikia kuhusu ugonjwa wa Kisukari wengine wakilalamika kuwa na huu ugonjwa hatari au wamekatazwa (hospitali) kutumia baadhi ya vyakula ili kuepuka madhara zaidi ya huu ugonjwa. Trust me I guarantee this is the perfect thread tutaelewa kila kitu hapa na hakuna...
NINACHOKIONA NI VITA BARIDI BAINA YA MASIKINI NA MATAJIRI HAPA TANZANIA
Na, Robert Heriel
Nimejikuta sipendi kuzungumzia siasa za nchi hii. Hii ni baada ya kugundua kuwa siasa za nchi hii ni Vita Baridi Kali inayohusisha makundi makuu mawili; nayo ni masikini na Matajiri.
Kwa kweli Mwanzoni...
Je, umewahi kujiuliza ni kwanini watu wengi wanaamini kuwa bila kwenda kwa mganga huwezi fanikiwa? Bila shaka umewahi kujiuliza, lakini je, ulishawahi kwenda mbele kidogo na kujiuliza ni kwa namna gani hawa waganga huwafanya watu kuwa matajiri? Ni watu wachache hujiuliza swali hili. Basi dhamira...
Utani pembeni, kitumbua kimeingia mchanga, huu sio muda wa ukaidi tena, haijalishi una hela au wewe mlalahoi hapo kwa Mpalange.
=======
What next after demise of five Tanzanian tycoons?
Leaders of the business community yesterday expressed sadness over the loss of five business tycoons that...
Ndani ya siku 7 vibopa hawa wa ukweli hatuko nao:
1. Hamoud Mohammed Sumry (aliyekuwa na mabasi ya Sumry)
2. Tonil Somaiya (Shivacom)
3. John Lamba (mwenye Traventine Hotel Dar es Salaam)
4. Mathias Manga (mwenye Gold Crest Hotel)
5. Mzee Asas (Mwenyekiti ASAS group)
Kina yakhe wangapi...
Wakati wote tangu dunia kuwepo, ulimwenguni matajiri ni wachache sana wakati mafukara ni wengi sana. Inakadiriwa asilimia 1 ya matajiri duniani wanamiliki asilimia 50 ya utajiri wote duniani!
Harakati nyingi duniani ni za kuwapa masikini unafu wa maisha. Kuna elimu bure, COVAX, MKUKUTA, LHRC...
Niliwahi kusikia mahali kwamba heri masikini na watumwa wao ndo hawanaga stress kama boss eti kwamba matajiri wanateseka sana japo wana hela lakini haziwasaidii kupata furaha Wala kupata usingizi mzuri wala kuwa na amani ya moyo naombeni tu kujua kama ni kweli au ndo zetu maskini kujipaga...
Kama itashindikana kuiondoa kwa kuwa ipo tayari kwenye budget basi na iwe fixed amount.
Kodi ya uzalendo ingekuwa na tija kama ingekuwa ni fixed amount.
Mfano wangesema wakate Tshs. 10 kila siku kwa mtumiaji wa simu.
Maana kwa mwezi (siku 30), kila mtumiaji wa simu angechangia Tshs. 300.
Kwa...
Mh Rais Samia hichi ulichotuletea cha ada ya ya kizalendo hatuitaki.
Huku ni kuwaumiza wananchi wenye uchumi wa chini maana ndiyo watumiaji wakubwa wa hizi huduma ulizotuongezea! Mwenzio alipambana na matajiri ili wananchi wenye hali tete tupumue lakini wewe unakuja kutubana sisi ili wao...
Habari za kushinda wakuu,
Je, ushawahi waza kati ya siasa na utajiri? Na kwa nini matajiri wengi wa Tanzania wanaingia katika siasa.
Asilimia kubwa ya Matajiri wakubwa Tanzania washawahi kuingia kwenye siasa au wapo tayari kwenye siasa. Je, kunanini kwenye siasa? Licha ya hayo yote matajiri si...
https://www.bbc.com/swahili/habari-57510899.amp
Pesa ni kitu cha ajabu sana, mtu anazitafuta kwa udi na uvumba na anapozipata anazitumia kwa matumizi yake aliyojipangia au alichokipatia kipaumbele.
Lakini kama wanadamu tunatofautiana katika matumizi.
Jarida la Business Insider liliwahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.