matangazo

  1. M

    Blog za uhakika kwa ajili ya matangazo ya ajira

    Habari wadau. Nina swali kichwani bado sijalipatia jawabu, naombeni mchago wenu. Zipi ni blog 10 safi Tanzania ambazo zipo updated sana kila siku na zinatoa matangazo ya ajira ya uhakika?
  2. Chance Media

    Kwa mahitaji kutengenezewa matangazo ya aina mbalimbali

    Habari ndugu zangu, Mimi ni msanifu kwa lugha ya kiswahili lakini lugha ya mzungu ni Graphics Designer na kwakuwa nafanya aina zote za usanifu wa digital multimedia includes interactive, computer-based applications that allow people to communicate ideas and information with digital and print...
  3. mike2k

    Ni jambo gani linakukera kwenye Redio za Tanzania?

    Mimi naanza na hawa Clouds Media Group Clouds FM mnazingua sana kwa jinsi mnavyoi promo hiyo show ya fiesta mnakera sana tangazo kila baada ya dakika nne. Hakuna cha maana mnazungumza ni fiesta tu. Yaani radio yenu haina maana yoyote ni issues za fiesta muda wote. Mnaboa sana. Njia pekee ya...
  4. Mr. MTUI

    Customer Care mitandao ya simu mnatusikilizia matangazo nusu saa nzima

    Mna Mambo ya ajabu Sana. Yaani mtu akipiga simu atawekewa matangazo mpaka atajuta na kukimbia mwenyewe. Najiuliza lengo la mtu kiwapigia simu ninl kusikiliza matangazo au kuelezea hitaji lake. Coz wakati mwingine mtu anahitaji huduma ya haraka, huemda amekosea namba or something. Sasa...
  5. W

    SOFTWARE Tunatengeneza Websites na Android applications

    Tunatengeneza web applications (websites na web systems) na android applications kwa bei nafuu kabisa,kwa yeyote mwenye uhitaji awasiliane nasi kwa namba zifuatazo 0769729927 au 0652130344
  6. Aloyce Mkwizu

    GUEST HOUSE INAUZWA BUGURUNI SOKONI

    Guest house inauzwa buguruni sokoni. Zipo 2, zote zinauzwa million 120. Zote zina vyumba zaidi ya 9 some self contained some not. Kwa maelezo zaidi wasiliana na simu namba, 0742930901 au 0754677838 Unaweza wasiliana na mwenye guest directly kwa simu namba 0767234545 KIGOMA GUEST HOUSE
  7. defashi

    Baadhi ya Matangazo ya Kazi

    Wapo watu wanaweka matangazo ya kazi. Watu wanafanya application na wanapewa hadi sehem na tarehe ya interview. Ila wakienda wanakutana na semina za Network Marketing. Me naona hii sio fair cos watu wanajiandaa kwa interview na nguo wanapasi then unaenda kuambiwa utafute watu watatu cjui blaa...
  8. Dr. Said

    Jinsi Ya Kutumia Formula ya AIDA Kuandika Matangazo Yenye Kunasa Wateja

    Kama wewe ni mjasiriamali unayehangaika kupata wateja kupitia matangazo yako basi formula hii ya AIDA itakupa mafanikio makubwa katika matangazo yako kuliko formula nyengine yoyote. Lakini kabla ya kuangalia fomula hiyo kwanza ningependa niongelee aina za matangazo. Kuna aina mbili kubwa za...
Back
Top Bottom