matapeli

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. 2019

    Facebook ya sasa imejaa matapeli, madanga na waganga wa kienyeji tu

    Facebook ya miaka ya 2015 rudi nyuma ilikua tofauti sana na ya sasa. Kwa sasa watumiaji wengi wa facebook ni 1. Matapeli wa mtandao (crypto & investments) 2. Waganga wa kienyeji wapo wengi lakini (west Afrika sana) 3. Wadangaji fake (Wabongo sana) 4. Watu wenye uelewa mdogo (hasa Wabongo) Sioni...
  2. BrAsMaRiLiSaShElMa

    Genge la walaghai, matapeli na wanyang'anyi wanatesa wananchi hapa Sahara jijini Mwanza

    Kwako OCD NYAMAGANA, C.C. RPC MWANZA; Bila kupoteza muda napenda nieleze juu ya uovu unaofanyika hapa eneo la SAHARA, mkabala na Posta Pamba Road. Katika eneo hili kuna pilika nyingi za kibiashara, ambapo watu wengi kutoka sehemu mbalimbali hufika hapa ili kujipatia mahitaji yao mbalimbali...
  3. ommytk

    Leo nimenunua maembe 3 kwa Sh. 10,000/- bila kupenda

    Wadau leo nimezidiwa ujanja nimebaki nacheka kweli mjini shule nimemkuta mtu ana maembe dodo mazuri Mbagala stand nikayapenda, nikauliza bei akasema ni sh. 800 na yapo 4 Mimi nilitaka mawili tu. Nikampa 10,000 akawa chenji hana ikabidi aniache na maembe yale manne na kiroba chake anaenda...
  4. C

    Matapeli wanaotumia kigezo cha wahudumu wa Airtel

    Nimepokea ujumbe unaonitahadharisha kufungwa kwa line yangu. Na nikatumiwa namba ili nitume vitambulisho vyangu, jamani kuweni makini. Details zako ndizo zitatumika kama njia ya kukutapeli. Cha kuzingatia chunguza logo ya masage kutoka airtel, huwa inaanzia herufi kubwa na kufuatilia na...
  5. Invisible

    TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

    Wakuu, Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena: Mnapoamua kufanya biashara yoyote nje au ndani ya JF bila kutushirikisha msiilaumu JF. Tunafahamu kuna ambao...
Back
Top Bottom