Hivi ndivyo, matapeli wanavyotumia jina la Ikulu pamoja na Rais Samia Suluhu kufanya utapeli wa kupiga hela kwa watu mbalimbali. Watangazaji wa East Africa Radio wamesimulia moja ya tukio lililotokea.
Source: East Africa Radio
Nimelipia malipo ya zuku kupitia airtel money 79,000/= na service charge wamechukua, malipo hayakufika palipokusudiwa, huduma ya zuku nimezimiwa, nimewasiliana na mhudumu wa airtel amenijibu short cut kuwa hela yapo iko hewani subiri masaa 36,sasa nakaaje muda wote huo bila huduma?
Na je hela...
Wale matapeli wengi siku za hivi karibuni wanatumia sana line za TTCL kuhadaa wananchi kama kujiunga na Freemason au ile fedha tuma kwenye namba hii.
Kama ujumbe hapa chini unavyo jieleza.
666)POLE NA KAZI JIUNGE NA MTANDAO MKUBWA WA FREE~MASON UMILIKI UTAJILI WA PESA NYUMBA MAGALI...
Tunaziomba Benki kuweka utaratibu uliokuwa bora na sahihi kwenye ATM asa kwa watu ambao watasaidia kuwaelekeza watu ambao hawana uelewa mpana wa matumizi ya ATM.
Nayasema haya kwa maana juzi juzi tu hapa kuna mzee aliingia ATM kutoa ela ila baada ya kuchelewa kutoka kuna kijana alijitokeza...
Hawa jamaa naona wameanza na wao kuzingua sasa. Ninazo akaunti mbili na wao zilikua zinaenda vizuri tu,
Ila tangu juzi nimelipia huduma na bado sijafungiwa walisema ndani ya saa 24.
Ila leo ni 96 hours, Nikiwapigia simu wanasema fundi tayari ana vifaa vyako atafika sasa hivi sasa sijui kapotea...
Tahadhari tumepewa [emoji116]
Habari zenu mabibi na mabwana. Polen na majukumu.
Napenda niwashirikishe jambo lililonikuta ili kukuokoa Wewe au mwingine.
Kuna wizi wa ajabu wa aina fulani ya madawa ya kupoteza ufahamu.
Jana nikiwa natoka kazini Muda wa jioni nikapita Mlimani City.
Baada ya...
Hivi hii kampuni ya KASH KOPA inakuaje unapata usajili kabisa wa namba ya lipa kwa simu alafu wanafanya uhuni.
Yaani kampuni imesajiliwa na Ina namba ya simu ya lipa kwa simu halafu unafanya utapeli wa elfu mbilimbili unalipa halafu wanaadanganya wananchi kuwa wanatoa mikopo lakini Kila ukilipa...
Kumeibuka kikundi cha watu wanaojiita Digital Master kikiongozwa na mtu anaejiita Saidi Mbondela jijini Daresalaam ambao kazi yao ni kutangaza wana uwezo wa kutengeneza programme katika simu kwaajili ya kufuatilia message, na simu za watu,aidha mtu huyo mwenye namba 0757039596 anakuhitaji...
Inawezekana usajili wa wateja TTCL una tatizo na imesababisha matapeli wengi kukimbilia huko. Msg za simu au upigaji simu wa kitapeli ambao ulishaachwa au umepungua sana kutumiwa kwenye mitandao mingine, kwa TTCL ndio kwanza imeshamiri. Kuna kitu hakijakaa sawa.
Unaikumbuka tarehe 25.6.2021 Kilichotokea katika sekta ya michezo Tanzania?! Hahaha acha nicheke kwanza na nishushie maji ya AFYA kidogo uku nikisubiri spare zangu nilizoagizwa pale kariakoo mtaa wa Lumumba kwa bwana GSM nikiendelea kusubiri MO TAMBI anazoandaa shemeji yenu.
Anyways Mechi ya...
Kuna tangazo la ajira nimeliona Facebook, wanadai ni wakala wa kuwapeleka vijana Canada na Dubai kufanya kazi. Na kwa maelezo zaidi wamedema tutembelee www.immigroup.com. Sasa Wakuu Kuna anayewafahamu vizuri hawa watu? Naambatanisha na tangazo lao hapa chini.
Habari wakuu wa JF
Katika harakati za kujiunga nikawa napitia menu yao ya vifurushi, na kulingana na vocha nilionunua ya elfu moja a.k.a buku, nikawa nimependa kifurushi ambacho kwa elfu moja kulingana na menu yao ya vifurushi napewa MB 550, dakika 60 na sms 30.
Baada ya kujiunga kifurushi...
Nimekaa nikajiuliza sana kwanini watumishi wengi wa idara nyeti (wengi mtakuwa mmenisoma na maanisha nini), watu hawa ukiangalia kazi wanayofanya na maisha yao mtaani ni vitu viwili tofouti kabisa maana vijana hawa wamejawa na tamaa hadi kufikia kutapeli watu hovyo mtaani kwa kigezo cha kufanya...
Kuna sehemu nimekuta mtu anauza akaunti ya instagram yenye followers 151K kwa shillingi 85,000/=, hii mbona haiingii akilini kabisa, ni kweli au ni utapeli akaunti kubwa hivyo ikauzwa kwa bei ya kutupa kabisa
TCRA walituambia baada ya usajiri wa alama za vidole utapeli wa tuma fedha kwenye namba hii utaisha kwani watu hao itakuwa rahisi kuwatambua.
Kitu za kushangaza hili suala bado linaendelea, TCRA na makampuni ya simu yanashindwa nini kuzifunga hizi line ikiwa ni pamoja na kuwakamata hawa jamaa...
Tarehe 06/11/2019 nilisajiri laini yangu ya AIRTEL na kupewa namba ya usajiri, tarehe 19/07/2021 laini yangu ya AIRTEL ikafungwa kwa madai ya kutosajiriwa! Nikalazimika kwenda kwenye ofisi za AIRTEL na nilichoambiwa huko ni maluweluwe eti siku mbili zilizopita nilisajiri laini kwa alama za...
Ni siku nyingine tena nakuja kivingine, Natumai mko powa wasomaji.
Leo nataka kuwapa mbinu za kukabiliana na matapeli sababu hawaishi na kila siku wana mbinu mpya.
Kwa sasa mawakala ndio wanaongoza kwa kutapeliwa kupitia wateja wao kivipi? Twende pamoja kwenye makala hii.
Kwanza kabisa kuna...
Kwa wamiliki wa saluni,
Unapigiwa simu kuna deal la kusuka watoto yatima wa kituo cha Mama Mkapa kila Jmosi toa hela upewe tender.
Mama ntilie na wapika chips.
Kuna tender ya chips kuku na mayai kila week mara tatu kwa watoto yatima 100.
Toa hela upate kazi.
NB: Wanangu tu hawali chips kuku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.