matukio ya utekaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Suley2019

    Freeman Mbowe: Scotland Yard ya Uingereza ichunguze Matukio ya Utekaji na Uuaji nchini

    "Tumekaa kama viongozi tumeshauriana kwa kina, kama kweli tume ya kimahakama ya kijaji, kwa mazingira ya nchi yetu ilivyo, kwa namna tulivyoliona bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linapuuza utekaji, kwa namna ambavyo tumeiona mahakama kuu inapuuzs utekaji, hivi kweli hiyo rai ya kumtaka...
  2. Mkalukungone mwamba

    Mbowe: Tunaipa Serikali watueleze watoto, Viongozi wetu na wanachama wetu wako wapi Kufikia 21 Septemba, 2024

    Vikao vya CHADEMA vimesema 'This Must Come to an End', lazima jambo hili lifike mwisho, na kwa sababu wao wamekataa kulifikisha mwisho, sisi tutawalazimisha walifikishe mwisho. Ili tufanikiwe hili, ndugu zangu Wanachadema tunahitaji kuwa kitu kimoja, kila mmoja wetu anapaswa kuwa bega la...
  3. KING MIDAS

    Video: Imani imetoweka, hapa ndipo tulipofika sasa

  4. Heparin

    Umoja wa Ulaya watoa wito kwa Rais Samia kuanzisha uchunguzi wa haraka kubaini watekaji nchini

    10 September 2024 Tamko la Pamoja la Mabalozi wa Umoja wa Ulaya, Ubalozi wa Uingereza, Canada, Norway na Uswisi kuhusu Matukio ya Hivi Karibuni Nchini Tanzania; "Jumuiya ya Umoja wa Ulaya kwa makubaliano na Mabalozi wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania, Ubalozi wa Canada...
  5. Kirchhoff

    Kutokomeza Utekaji, mabadiliko yafanyike utumbuzi wa Polisi wakamataji

    Nimeona teknolojia ya mtandao ikitumika kuwatambua mawakili kama wamesajiliwa kutoa huduma ya uwakili. Nashauri Police wakamataji wote taarifa zao ziwekwe mtandaoni kwa maana ya Force Number, picha, Majina, Kituo anachofanyia kazi na kadhalika. Hii itasaidia wakija kukamata mtu, watu wa karibu...
  6. J

    Hakuna dhambi kubwa na isiyo sameheka kama zambi ya kumwaga damu ya binadamu

    Habari ndungu zangu wana JamiiForums. Ni matumaini yangu kuwa wana JamiiForums na watanzania wote popote mlipo mtakuwa mnaomboleza kifo cha ndugu yetu Ally kibao, Taifa letu limefika mahali pabaya sana na halikufika hapa kwa bahati mbaya au kwa mda mfupi. Taifa letu limefika hapa sio kwa...
  7. covid 19

    Viongozi wetu jihadharini na msivilee Vikundi Vya Machawa Ndani ya Vyombo vya Usalama nchini wanawaharibia badala ya kujenga na ipo siku watawageuka

    Nikiwa mwanachama wa kawaida wa CCM, najivunia sana historia na harakati za chama chetu tangu enzi za uhuru. Hata hivyo, naona kuna mambo yasiyo sawa yanayotokea hivi sasa, ambayo yanatia hofu kubwa kwa usalama wa raia nchini. Tukio la hivi karibuni la kuuawa kwa Mzee Kibao na mfululizo wa...
  8. Mganguzi

    Pre GE2025 Wasanii wetu tumieni mitandao na umaarufu wenu kukemea utekaji na mauaji yanayoendelea

    Nchi yetu Ina maajabu mengi sana ,nilitegemea kuona tweet na posti nyingi tangia jana kutoka kwa wasanii wakipaza sauti juu ya Hali hii lakini nimeishia kuona Lady jaydee, zuchu na Idrisa tu angalau wamepiga kelele kukemea jambo hili ,kwa nini nyinyi wasanii hamjitambui ? Nani amewaroga au...
  9. Mpwayungu Village

    Pre GE2025 Wasanii wa Tanzania mbona hawakemei utekaji na mauaji yanayoendelea nchini?

    Hawa wenzetu wanajionaga wapo tofauti na sisi au? Yani wao wana ulimwengu wao wa kuishi ni kama wametutenga Ila sisi jamii ndo tunajipendekeza kwao. Kwasababu wao wakiumwa hutaskia Samia wala spika kuwachangia Ila wanakuja kwetu walalahoi kutembeza vibakuli tuwachangia, watu wanaotekwa tunapaza...
  10. B

    Haijapita Hata Wiki Tangu Spika Tulia Ackson na Mahakama Kuu kusema Habari za Utekaji ni dhana tu

    Kwa sasa ukitetea au kupaza Sauti juu ya kinachoendelea na wewe unakuwa kwenye Target List. Mbunge mmoja wa viti Maalum alitoa hoja juu ya kukithiri watu kuuawa, kupotezwa, kutekwa na watoto wakiwemo. Lakini kwa Mshtuko Mkubwa Dr Tulia Ackson Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ww Tanzania...
  11. Mkalukungone mwamba

    Shekh Mwaipopo: Duniani kote serikali kuna watu wanafanya mauaji, watu wanapaswa kulifahamu hilo!

    Shekh Mwaipopo wakati akizungumza na waandishi wa habari mapema leo jijini Dar es salaam kuhusu masuala ya utekaji. Amesema Dunia serikali zote zinawauwaji wake hakuna serikali isiyo fanya mauwaji. Naomba niseme leo watu waviheshimu vitu vitatu na waviogope. Jambo la kwanza muogope sana...
  12. figganigga

    Waziri Hamad Yussuf Masauni, jiuzulu kumpunguzia Mzigo rais Samia. Anakuonea aibu

    Salaam Kama Hamad Yussuf Masauni akigoma kujiuzulu, Rais Samia itabidi afumbe macho atengue uteuzi wake sababu ni aibu kwa mtu anayejiita Muislam safi, watu wanapiga, wanategwa na kuuliwa lakini anakosa hata roho ya kusema pole. Mheshimiwa Hamad M Masauni Waziri wa Mambo ya Ndani Kisiasa...
  13. Kabende Msakila

    Watanzania - vifo vitokanavyo na kutekwa, utekaji na kujeruhi watu - nini kifanyike?

    Watanzania Salaam! Hanari za watu:- Kutekwa, Kujeruhiwa, Kuuawa, na Kupotezwa Zimekuwa za kawaida lakini madhara yake kwa familia za wahanga ni makubwa sana. Ikumbukwr kuwa wahanga hao wana familia zinazowategemea, ada, afya, malazi, Chakula nk nk. Kutoweka kwao ghafla kwa mipango ya kishetani...
  14. Erythrocyte

    Hata Magufuli aliagiza Uchunguzi wa shambulio la Lissu Ufanyike, Je Ulifanyika? Ujasiri wa kuamini kauli ya Rais Samia mnautoa wapi?

    Hakuna uwezekano wowote ule wa kuwaamini viongozi wa CCM, hata kama wewe ni Mjinga kiasi gani, ili uwaamini unapaswa kuwa huna kabisa Ubongo. Dkt Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM kama alivyo Samia Suluhu leo, Aliagiza waliomshambulia Tundu Lissu watafutwe, na katika...
  15. Eli Cohen

    Wanangu mi ni kuwaombea tu uzima familia zenu zisipoteze shujaa wao maana ukatili huu umezidi na unaweza mpata yoyote

    Roho ya mwanadamu sasa hivi ina thamani ya bei ya miguu ya kuku ile inayochomwa na kuuzwa jioni, ROHO ZETU ZIMEKUWA CHEAP SANA. Utu wa mwanadamu sasa hivi una thamani ya nguo ya ndani(vyupi) vyepesi vile vya buku buku vile ambavyo ukiruka tambo unasikia mlio wa dj yani zzzzzz imechanika, UTU...
  16. green rajab

    Kutumia mabavu ili upendwe au utawale ni ugonjwa wa akili

    Tabia za kidikteta zimeanza kuwaingia viongozi wanaovaa ngozi za kondoo kumbe mioyo yao imejaa uroho wa madaraka na upunguani wa akili. Watanzania hawakuzoea kusikia au kupitia huu upumbavu unaoendelea haya mambo aliyafanya Iddi Amin Dada miaka ya 70 kipindi anatawala Uganda kimabavu sasa Dunia...
  17. sifi leo

    Viongozi WA Dini, Barile na wenzako, umoja wa Madakitari kuweni kimnya mpaka muuwawe nyinyi ndo mtasema?

    Ninalia ninalia naililia Tanzania Sifi Leo Nina lia Nina lia naililia Tanzania Sifi Leo nampeleka kilio changu kwa umoja wa wanahabari Tanzania mnasubilia Nini kuungana na chadema kupinga kumteka na kuua mtu? Mpaka mtekwe nyinyi muuawe ndo mseme au mtoe tamko? Najiuliza kwa habari za kusifu...
  18. Vincenzo Jr

    Kwako mkuu wa Nchi, Haya matukio na Mauaji yanayoendelea nchini

    Haya matukio na Mauaji yanayoendelea nchini tena kwa kasi kubwa na hadharani kabisa na umekaa kimya sio sawa! Nchi yangu alafu niishi kuhofia uhai wangu kisa maoni yangu au siasa!?! Shame on you for this! Leading people on fear always backfires! 😏😡😡 Credit by T Soma Pia: Napinga Kauli ya Rais...
  19. Robert Heriel Mtibeli

    Watibeli tunalaani matukio ya utekaji na watekaji wenyewe

    Mpo salama Wakuu! Watibeli tuliuchukia ûtawala wa awamu ya Tano siô Kwa sababu Hakuna mazuri àmbayo hayakufanywa na ûtawala huo. Yapo. Lakini màtukio ya utekaji, Mateka kuuawa, miili kuokotwa mahalimahali NI Moja ya mambo yaliyotufanya Sisi kuuchukia ûtawala wa awamu ya Tano Ñàona utekaji Kwa...
  20. Erythrocyte

    Pre GE2025 Kuuawa kwa Mzee Ali Kibao hakutafifisha jitihada za CHADEMA kuikomboa nchi

    Hili liwe angalizo kwa Watekaji na Wauaji na Viongozi wa Nchi ya Tanzania Wanaowatuma kuteka na kuua, Kwamba CHADEMA haitavunjika Moyo kutokana na Mauaji ya Mohamed Kibao, hizi mbinu za vitisho kwenye zama za sasa ni mbinu zilizopitwa na Wakati. Mzee Kibao alipokuwa Katibu wa CCM Mkoa wa Tanga...
Back
Top Bottom