matunda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. YinYang

    NADHARIA Mwanamke kuwa katika Hedhi inasababisha kunyauka kwa mboga na matunda

    Kuna madai mengi mtaani yanayosema kuwa mwanamke akiwa kwenye hedhi husababisha kunyauka kwa mboga na matunda ikitokea amechuma. Mdau mmoja wa JamiiForums amendika pia kuhusu suala hili. Baadhi ya tamaduni huwazuia kabisa wanawake wasichume vitu hivyo. Kisayansi, madai haya yana ukweli?
  2. Miss Zomboko

    Faida za Matunda ya Kiwi

    Kiwi ni tunda lenye afya zaidi. Massa yake yana vitamini vya kikundi B (haswa mengi ya B6), A, B, D, E, asidi ya folic, flavonoids, antioxidants, asidi ya kikaboni, protini ya mboga (actinidin). Matumizi ya kiwi mara kwa mara yanaweza kupunguza shinikizo la damu kwa sababu ya ulaji wa potasiamu...
  3. Rashda Zunde

    Royal Tour Tanzania inavyozidi kuzaa matunda

    Kundi la Watalii zaidi ya 60 linalojumuisha Madaktari na Wanasheria kutoka Nchini Marekani leo tarehe 26 Julai 2022,wamewasili eneo la Hifadhi ya Ngorongoro kwa ajili ya kutembelea Vivutio mbalimbali vilivyoko katika hifadhi hiyo. Wageni hao ambao wanaendelea kutembelea vivutio mbalimbali vya...
  4. L

    Majukwaa ya kuuza bidhaa kupitia matangazo ya moja kwa moja mtandaoni yasaidia kuuza matunda ncini China

    Mkulima Wu Liuhong kutoka mji wa Chongqing, kusini magharibi mwa China, alipanda miplamu kwenye eneo la zaidi ya hekta 13.3 mwaka 2017, na mwaka huu amepata zaidi ya kilo laki moja za matunda. Lakini uuzaji wa matunda yake unasuasua kutokana na watu wote kupata mavuno mazuri mwaka huu. Kwa...
  5. Satisfy

    Mwanamke akiwa hedhi na kuchuma mboga za matunda

    Kuna huu msemo . Mwanamke akiwa kwenye hedhi haruhusiwi kuchuma mboga za matunda kama vile nyanya maji,nyanya chungu,pilipili washa na hoho. Pia vilevle haruhusiwi kupita au kushika majani ya hizo mboga akiwa kwenye siku zake. Kwa hiyo kama ni kweli ndo ivo kuna uhusiano gani kati ya hedhi...
  6. N

    Ndani ya mwaka mmoja Rais Samia ailetea Tanzania zaidi ya trillion 43

    "Ndani ya mwaka mmoja ailetea Tanzania zaidi ya trillion 43" Ikiwa ni mwaka mmoja na miezi kadhaa tangu Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kushika atamu, kumekuwepo na mijadara inayozungumzia juu ya mwenendo wa Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kusafiri ng'ambo tofauti za nje ya nchi ikilinganishwa na...
  7. L

    Beijing: Kituo cha mbegu za kutoka anga ya juu chazalisha mbegu zilizoboreshwa za mboga na matunda

    Tarehe 22 Juni katika kituo elekezi cha kuzalisha mbegu za kutoka anga ya juu kilichoko wilayani Tongzhou mjini Beijing, China, aina mbalimbali za matunda na mboga zilipandwa kwa kutumia mbegu zilizopelekwa kwenye anga ya juu. Ikilinganishwa na mbegu za ardhini, mbegu kutoka anga ya juu...
  8. C

    Mama, Mungu akupe umri mrefu uone matunda ya uzao wako

    Isingekuwa rahisi mimi kuendelea kukuona ukiongeza maji kwenye mboga ya mchuzi ili mimi na ndugu zangu yatutoshe kwaajili ya ugali. Isingewezekana mimi kuendelea kukutazama ukifokewa na vijana wadogo unaoweza kuwazaa, eti kisa kukosa hela ya kulipa madeni yao. Isingefaa mimi kuendelea kukuona...
  9. KJ07

    Msaada kwa mwenye utaalamu wa biashara ya juice fresh za matunda?

    Habari wakuuu. Nimekuja mbele yenu kutaka msaada kwa mwenye ujuzi wa biashara ya juice za matunda fresh location ni Dar. Je, ni zipi changamoto za biashara hii. Je, soko lake likoje na ni kwa namna gani naweza kuingia katika soko la ushindani. Je, mtaji ambao unaweza kuendesha biashara hii...
  10. L

    Matunda ya miaka mitano tangu ufanyike Mkutano wa Kwanza wa “Ukanda Mmoja, Njia Moja” yaliwa hadi na wananchi wa kawaida

    Pili Mwinyi Pendekezo la “Ukanda Mmoja, Njia Moja” (BRI) lililotangazwa na rais wa China Xi Jinping mwaka 2013, kwa sasa linaonekana kuzaa matunda matamu kwa nchi zote zinazoshiriki kwenye pindekezo hili. Ukiwa sasa huu ni mwaka wa tano tangu Mkutano wake wa kwanza wa ushirikiano wa kimataifa...
  11. M

    Video: Uchawi haupandi ndege, juju la Simba halikuzaa matunda Johanesburg

  12. mirindimo

    Matunda ya Helicopter ya Nape Nnauye

  13. Equation x

    Ukiwasaidi hawa watu, ipo siku matunda utayaona

    Chochote unachokifanya huwa kina matokeo; matokeo yanaweza kuwa mazuri au mabaya. Itategemea na namna ulivyokipangilia. Pia kuna kitu nimejifunza, ukiwatendea watu wema ipo siku ule wema wako ulioutenda utakulipa. Hasa, ukiwasaidia hawa watu:- Watoto wasiokuwa na wazazi na wakapoteza tumaini...
  14. T

    Hongera kwa Rais kwa kuwaziba mdomo wapinzani kuhusu kuungua kwa Soko la Karume

    Binafsi nimeshangazwa na ukimya wa wapinzani baada ya tukio la kuungua moto soko la Karume. Sijasikia pole yoyote kutoka kwa upinzani si CHADEMA wala ACT walioneshwa kusikitishwa na jambo hilo. Ni kimya kikuu kimetanda. Ni wapinzani hawa hawa ambao polisi wakidhibiti mikusanyiko yao haramu...
  15. L

    Matunda ya ziara ya Wang Yi barani Afrika

    Na Ronald Mutie Kenya, Eritrea na visiwa vya Comoro ndio nchi tatu ambazo waziri wa mambo ya nje wa China alitembelea mwaka huu. Ziara ya Wang Yi kwenye nchi hizo imeendeleza desturi ya China kwamba safari ya kwanza ya waziri wa mambo ya nje wa China itakuwa Afrika. Kila ziara huwa na...
  16. kacnia

    Naomba msaada wa jina la haya matunda na upatikanaji wa mimea yake kwa ajili ya kupanda

    Haya matunda nilibahatika kuyala nikiwa mdogo na wakati huo sikufanikiwa kujua hata yalikuwa yanaitwaje ila ninacho fahamu ni kwamba yana ladha nzuri sana ya utamu ambayo hauwezi kufananisha na matunda mengine. Msaada wenu wakuu, nahitaji kupanda miti yake, ikiwezekana hata minne. Natanguliza...
  17. Maleven

    Nani atawasemea hawa wamama wauza mboga na matunda wanaoitwa wamachinga?

    Mwanzoni tulijua wamachinga wako katikati ya mji, wakiuza vitu mtkononi au kwa kutandika chini, vitu hivi vingi ni vitu vya kiwandani kama nguo, nk, lakini huu uongozi wa Bi Samia, unatuambia hata mama anaeuza maembe dodo muda wa usiku pale Kibaha Maili moja nae ni mahinga anachafua mazingira...
  18. Frumence M Kyauke

    Rick Ross atoka kimapenzi na mrembo mwingine ajulikanaye kama Pretty Vee

    Mtandao wa MTO News umeripoti kuwa Rapper Rick Ross yupo kwenye mahusiano mapya ya kimapenzi na msanii wake ambae pia ni rapper Pretty Vee. Mapema mwaka huu, Rozay alimsaini Pretty Vee katika record label yake ya Maybach Music na vyanzo vya habari vya MTO vinasema kuwa Pretty Vee amekuwa...
  19. Bwana Mpanzi

    Ulizia chochote kuhusu Upatikanaji wa miche ya Matunda, viungo na tiba

    Habari za jioni wanajamvi, Kumekuwa na woga au maswali kwa wadau wengi yanayowapa ukakasi kuwekeza katika sekta ya kilimo hasa kutokana na wimbi la upatu au kilimo ambacho hakieleweki uelekeo wake. Kwangu unaweza kuuliza kuhusu miche, wapi inaweza kufanya vizuri kwanini isifanye, namna ya...
  20. S

    CCM tufanye nini Ili Watanzania mnene ya kwamba sasa kweli matunda ya Uhuru tunayaona?

    Inawezekana kila tunalolifanya, hamtuelewi au mnapotoshwa na hivi vyama uchwara na baadhi ya wasaka tonge,mbali ya ilani zetu kedekede ambazo zinazidi kufurika hadi hatuna pa kuziweka, bado tunaona Watanzania wamejawa na shauku ya kama kuna jambo wanalihitajia ili waone tumefikia kule...
Back
Top Bottom