Nilipata safari ya dharura kutokana na shughuli zangu katika mkoa wa kilimanjaro, Arusha na Manyara, dah kweli dunia hii kuna watoto waliobarikiwa.
Nilipokuwa napita pita njiani...nakutana na warembo matata wenye shepu zao, sura za kuvutia, tabasamu lisilohisha, na miili ya ushawishi n.k...