Mh Magufuli kateua baraza la mwaziri, 05-12-2020 mida ya jioni kama alivyotabiri kigogo2014 lakini watu wamelipa kisogo na habari za simba na Plateau zimevuma kuliko Baraza Lenyewe.
Je, watanzania wamechoka na kuona hakuna jipya au?
1. Maji -Juma Aweso
2.Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo-...