1.Nendeni mkasikilize matatizo ya ya wananchi na mkayafanyie KAZI Kwa unyenyekevu mkubwa.
2. Mtangulizeni Mungu na masilahi ya Taifa huku mkiongozwa na katiba na sii vinginevyo.
3. Mtengenezeeni Rais kupendwa na chama kupendwa na sio kumpaka mafuta Kwa mgongo wa chupa kulinda Vito vyenu yes...