The Mazingira Green Party of Kenya is a Kenyan green party. It was formerly known as Liberal Party of Kenya (LPK). At the 1997 Kenyan General Elections LPK fielded a presidential candidate, Wangari Maathai, who later became a Nobel Peace Prize laureate. Maathai was only a minor candidate. She did not win a parliamentary seat. In 2002, the next general elections were held and the Maathai-led party was part of the victorious NARC coalition. Maathai herself won the Tetu Constituency parliamentary seat.At the Kenyan general election, 2007, Mazingira was part of the newly created Party of National Unity led by President Mwai Kibaki. However, Mazingira also fielded own candidates. Mazingira won one parliamentary seat at the elections, after Silas Muriuki beat PNU candidate David Mwiraria to clinch the North Imenti Constituency parliamentary seat. Maathai was first outvoted at the PNU primary elections and therefore vied on Mazingira ticket, but at the parliamentary elections lost again to the PNU candidate.
The word Mazingira is Swahili for environment.
Kiukweli tunapokuwa tunajinasibu kuwa mpira wetu umekua, tujitahidi kuendana na maneno yetu kiuhalisia, kiukweli mazingira kama haya ya pre match meeting ni aibu na kushangaza TFF na bodi ya ligi msilikalie kimya, ni aibu.
Na Francis Nyonzo
Sekta isiyo rasmi imeajiri 76% ya watu nchini Tanzania; 47.6% katika biashara ya jumla na rejareja, ukarabati wa magari na pikipiki, na 12.9% katika huduma za malazi na chakula. Biashara ndogondogo ni zile ambazo zina wafanyakazi chini ya watano ambazo mara nyingi...
Fadhili Mpunji
Wiki hii Rais Xi Jinping wa China aliendelea na desturi yake ya miaka 10 ya kushiriki kwenye harakati ya kupanda miti inayofanyika kila majira ya spring yanapoanza mjini Beijing. Rais Xi Jinping aliambatana na viongozi wengine waandamizi wa China katika shughuli hiyo, na...
Zipo kampeni nyingi sana zilizowahi kufanyika na zinafanyika Nchini juu ya utunzaji wa mazingira lakini kinachofanyika ni tofauti sana.
Watu wanatumia gharama kubwa sana kuzunguka Nchini, posho nauli n.k lakini tukiangalia kwa kina tunaona fedha inayotumika kwenye kampeni hizo ni kubwa kuliko...
Habari wanajf
Ndugu zanguni nilipitia mahusiano ambayo yalinipa stress Sana drama zilikuwa haziishi kutokana na hivyo ikanifanya niachane na huyo binti na ikapelekea nijipe break kidogo ya mahusiano. Ilinichukua miezi 6 bila kuwa na mahusiano wala kufanya mapenzi.
Kama binadamu wengine nikawa...
Hizi ndio dharau walizofikia hawa watu kututawala.
Wapo tayari kutoa wasimamizi imara ilimradi wasionakane.
Bashungwa TAMISEMI ameonyesha umahiri gani mpaka sasa.
Hawa jamaa wanatudharau sana,
Chama kikuu cha upinzani chenye Matawi yake imara pande zote za nchi huku kikitetea haki za kuishi, maendeleo, haki, ulinzi na usalama wa wananchi kimekosoa vikali ripoti hiyo.
Kimetanabaisha kuwa Iwapo serikali haitakuja na majibu Tangible basi kwa kushirikiana na Wananchi wa Eneo hilo, asasi...
Kuna vikundi vitatu vikubwa nchi za Ulaya na Marekani, ambavyo vimekuwa vikibweka sana kuzuia miradi mikubwa ya uzalishaji nishati mbadala kwa Ulaya na Marekani ambavyo vimesababisha uzalishaji wa nishati kwa nchi hizo upungue sana, hadi kuifanya Ulaya sasa kutegemea Nishati ya Russia kwa...
Salaam Wakuu,
Usalama wa wagonjwa hatarini katika hospitali ya Dar Group iliyopo Tazara Jijini Dar es Salaam.
Mazingira yote ya hospitali yananuka kinyesi kutokana na kutozibuliwa Kwa chemba za kuhifadhia maji taka.
Wagonjwa Wengine wanashindwa kuvumilia na kuondoka kwenda kwenye hospitali...
Serikali kupitia halmashauri zake imekuwa ikisisitiza sana suala la usafi wa mazingira mitaani, na hata kufunga biashara ikiwemo maduka kwa saa kadhaa kwa kinachodaiwa kuwa ni siku ya usafi hivyo kila Mwananchi aingie mtaani kufanya usafi.
Kuna ugumu gani Wananchi wangewezeshwa kwa kuwekewa...
Mkutano wa tano wa Baraza la Umoja wa Mataifa kuhusu mazingira (UNEA-5), unaendelea katika makao makuu ya UNEP jijini Nairobi. Mkutano huo ambao umewaleta pamoja mamia ya wajumbe kutoka nchi mbalimbali duniani, unajadili masuala mbalimbali kama vile marufuku ya matumizi ya mifuko ya plastiki na...
#Utadaije tume huru badala ya kubadili mfumo wa ELIMU uliopo?
Point yangu ipo hapa:
Utakuta mtu ametoka job huko hata kunawa hajanawa anaingia kwenye mgahawa ambamo watu wanapata chakula huku akitoka jasho na matope mwili Mzima ,hatukatai unafanya kazi umeshindwa hata kunawa kwenye bomba ndo...
Wakati Michezo ya Olimpiki ya Walemavu ya Majira ya Baridi ya Beijing ikikaribia, mitaa ya Beijing imeanza kuwa na mazingira ya shamrashamra kwa michezo hiyo. Kazi mbalimbali za maandalizi ya viwanja vya michezo, utoaji wa huduma, utangazaji n.k zote zimemalizika.
MHE. DR PHILIP MPANGO, MAKAMU WA RAIS WA JMT KATIKA UZINDUZI WA SERA YA TAIFA YA MAZINGIRA YA MWAKA 2021.
Makamu wa Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Mhe .Dkt. Philip Mpango Ashiriki katika uzinduzi wa Sera ya Taifa ya Mazingira ya Mwaka 2021 iliyozinduliwa leo 12 Februari, 2022 Jijini...
Nawaonea huruma sana hawa mabwana wawili Dkt Hassan Abbas na Gerson Msigwa ambao kimsingi ni wapenzi wa mfumo wa Mwendazake, walifanya kazi katika viburi vikubwa sana. Walitoa majibu ya hovyo sana kila walipoulizwa na wanahabari kuhusu uhuru wa habari.
Leo hii wamekutana na aliyekuja juu yao ni...
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema limepokea taarifa za vijana watano wanaodaiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha tangu mwisho wa mwaka 2021. Kamanda Jumanne Muliro amesema wamezipokea na wanazifanyia kazi kuweza kufahamu usahihi wake.
====
Dar es Salaam. Fears have...
20 Januari, 2022, Dodoma.
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum inatoa siku 30 tangu tarehe ya tamko hili hadi tarehe 18 Februari, 2022 kwa Makao ya watoto yasiyo na leseni kuwasilisha maombi ya usajili katika Halmashauri husika kuboresha huduma muhimu zinazohitajika...
Ukubwa wa seal za vizibo vya chupa za maji hauna tofauti na ukubwa wa vifungashio vya karanga na pipi.
Seal za vizibo vya chupa za maji zilikuwa ni uhakika kwa mtumiaji kuwa maji hayajachakachuliwa
Unapozuia maji kuwekewa seal una maana gani? Maji fake yaingie mitaani?
Nimeona yanga kwenye mechi ya coastal union nimejiridhisha kwamba msimu huu wamepania kufanya jambo ktk kuupigania ubingwa waliopoteza misimu 3 iliyopita, kuna kauli nazisikia zikisema yanga ilizidiwa umiliki wa mpira na coast lakini asiyeelewa ni kwamba yanga walikwenda mkwakwani wakijua ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.