The Mazingira Green Party of Kenya is a Kenyan green party. It was formerly known as Liberal Party of Kenya (LPK). At the 1997 Kenyan General Elections LPK fielded a presidential candidate, Wangari Maathai, who later became a Nobel Peace Prize laureate. Maathai was only a minor candidate. She did not win a parliamentary seat. In 2002, the next general elections were held and the Maathai-led party was part of the victorious NARC coalition. Maathai herself won the Tetu Constituency parliamentary seat.At the Kenyan general election, 2007, Mazingira was part of the newly created Party of National Unity led by President Mwai Kibaki. However, Mazingira also fielded own candidates. Mazingira won one parliamentary seat at the elections, after Silas Muriuki beat PNU candidate David Mwiraria to clinch the North Imenti Constituency parliamentary seat. Maathai was first outvoted at the PNU primary elections and therefore vied on Mazingira ticket, but at the parliamentary elections lost again to the PNU candidate.
The word Mazingira is Swahili for environment.
Muda mfupi ujao Mabadiliko ya Baraza la mawaziri yanatarajiwa kutangazwa kutoka Ikulu Jijini Dar es salaam.
======
Rais Samia amebadilisha muundo wa Wizara Tatu, Ameunganisha Wizara ya Uwekezaji iliyokuwa chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Wizara ya Viwanda na Biashara kuwa Wizara Moja ambayo...
Baraza la Mazingira (NEMC) nawauliza hamuoni Uchafuzi wa mazingira baharini na kwenye vyanzo vya maji?
Uchafu unatiririshwa baharini, na ziwani kwa Hali ya kutisha. Public beaches (fukwe za umma) eg. Coco, Kawe, Jangwani zimejaa uchafu Wala hamchukui hatua. Why?
*Huko baharini mna hata Boat ya...
USAFI ktk Jiji la DSM limekuwa Donda Sugu, Kila RC akiteuliwa ana kuja na KAMPENI yake ya usaf lkn impact ya izo kampeni ni kitu ambacho hakidumu hata miezi 3.
Kwa haraka haraka zilikuwepo kampeni kama shika fagio, izi zilijikita ktk usafi was maeneo ya katikati ya Jiji maeneo ya fukwe...
Kuna muda ni lazima ukweli usemwe maana usiposemwa lazima kumbukumbu zitakuwa za upotoshaji Mkubwa
Kwenye Tatizo linaloikumba Tanzania la ukame na ukosefu wa Maji kwa sasa lawama zangu zote nazipeleka kwa watu wafuatao
1. William Lukuvi
Akiwa Waziri wa Ardhi kuanzia Awamu ya Tano, nchi yetu...
Mapambano ya kisiasa hayajawahi kuwa rahisi mahali popote duniani na hii ni kutokana na ukweli kwamba inakupa madaraka makubwa sana kwa njia nyepesi tu yaani kushawishi watu wakuunge mkono.
Ni kutokana na ukweli huo ndio maana ni kazi ngumu sana kumtoa madarakani anayetawala hivi sasa, kuliko...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuchochea uwekezaji na kukuza uchumi wa Tanzania.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumanne Novemba 16, 2021) wakati akifungua kongamano la biashara na uwekezaji kati ya...
JOHN FRANCIS RAIA WA MAREKANI ALIYETEMBEA KWA MIGUU MIAKA 22 AKIIZUNGUKA MAREKANI KUHAMASISHA UTUNZAJI WA MAZINGIRA
Umewahi fikiri kuwa unaweza kukaa kwa siku au miaka mingapi bila kuzungumza chochote yaani bila kutoa sauti, kwa kawaida tu binadamu tunatofautia wengine hata sekunde moja...
Kama hujui ni kwamba mji wa moshi kwa sasa unaongoza kwa kiwango cha joto ambalo kwa sasa limefikia nyuzi joto 36, jua ni kali ile mbaya hii yote ni matunda ya uharibifu wa mazingira.
Enzi za utawala wa Mangi Thomas Maraelle kulikuwa na sheria kali katika uhifadhi wa mazingira,watu...
Je Waamuzi wetu wanajua mazingira ya kutoa indirect free kick kwenye penalty box?
Reference simba vs Polisi Tanzania
Credit: Azam tv (mchambuzi Othman)
Deputy ERM
Posted Date: 27-Oct-2021
Location: Kibondo, Tanzania
Company: Plan International
The Organisation
Plan International is an independent development and humanitarian organisation that advances children’s rights and equality for girls.
We believe in the power and potential of...
Wanafunzi na Walimu wanapaswa kupata elimu ya kina kuhusu chanzo, dalili, athari na namna ya kujilinda na #coronavirus.
Walimu wajisimamie na wawasimamie Wanafunzi katika kuchukua tahadhari zote za kujilinda kama vile kusimamia usafi mikono kwa wanafunzi, kudhibiti miosongamano na kuzuia...
Wakuu,
Kuna mambo ambayo nimekuwa napambana nayo kwa muda mrefu sana katika maisha yangu. Nimejaribu njia nyingi, hasa za maombi hadi chumvi. Wakati mwingine naona kuna unafuu unakaribia kuja halafu ghafla narudi kule kule. Niliwahi kuleta uzi humu kuelezea hali yangu.
Kwenye masuala ya...
Wanasaikologia ni kweli wanandoa au wapenzi, wakifanya mapenzi sehemu za hadhi ya chini, kama vile msituni, shimoni, chini ya vibanda vya wazi, beach sehemu ya uwazi, vichochoroni, kwenye dari, n.k mwanamke au mwanaume ni ngumu sana kuyasahau hayo mazingira hadi uzeeni kulinganisha na...
China itaendelea kuziunga mkono nchi zinazoendelea kuendeleza nishati safi inayotoa kiwango kidogo cha kaboni, na haitajenga miradi mipya ya umeme wa makaa ya mawe nje ya nchi. Ahadi hii iliyotolewa na rais Xi Jinping wa China kwenye mjadala mkuu wa kikao cha 76 cha Baraza Kuu wa Umoja wa...
Waziri wa mazingira mh Jaffo amewataka wananchi kuacha kutumia majokofu ya mitumba kwani yanachafua hali ya hewa na hivyo kuharibu mazingira.
Jaffo amesema ni vema wananchi wakanunua majokofu mapya kwa ajili ya usalama wa afya zao.
Source: Upendo tv
======
Na Ramadhan Hassan, Dodoma
Waziri...
Kuna hofu kwa raia wazalendo kwamba kuachiwa na dpp watuhimiwa wa ufisadi kunakotokea sasa bila kuhusishwa mahakama huenda kukapelekea madai ya mabilioni toka hazina kuu ya taifa.
Tuhuma kuhusiana na IPTL ya harbinder sighn na rugemalila ziliwekwa wazi. Tangu wahujumu hao kutupwa lupango...
Salamu waja.
Waraka huu utumike kama mashitaka kwa binadamu kwa kushindwa kuishi kwenye daraja la ustaarabu wake, kushindwa kuwajibika na kutumia vyema vipawa alivyozawadiwa na asili. Namtuhumu binadamu kwa kuwa kiumbe mbaya sio tu kwa wanyama wengine na mazingira, bali hata kwa binadamu...
Habari wanaJF na wasomaji wote wa andiko hili.
Hongereni na pilikapilika za ujenzi wa taifa.
Utangulizi.
Kumekuwa na misemo mingi sana ambayo imekuwa ikielezea maana na umuhimu wa elimu kwa mtu mmoja mmoja, familia, jamii na taifa kwa ujumla. Misemo kama: elimu ni ufunguo wa maisha, elimu ni...
Wanabodi kuna hii Taarifa nimeiona Kwenye media zingine ikisema Shirika la Mazingira Nchini NEMC Limeitoza Kampuni ya Lake Oil Fine ya Tsh Bil 3.3 kwa kujenga vituo vingi sehemu tofauti za Nchi bila Kibali.
Hili limekua kama mshituko hasa kwa kuzingatia ukweli kwamba suala la mipango miji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.