mbadala

  1. ubongokid

    Je, CHADEMA wanao mbadala mwingine pembeni ya kususa?

    Huku duniani kuna mifumo mingi sana ya kuondoa tawala yoyote ile madarakani,Baadhi ya njia hizo ni halalai na nyingine ni haramu. Katika kutafuta haki unaweza kuamua kutumia njia halali au kuamua kutumia njia haramu yote inategemea tu na malengo yako kisiasa. Je, ni kweli Chadema wamesihiwa...
  2. Ng'wamapalala

    Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

    Mimi nilichojifunza ni kuwa serikali ya sasa imeanza kubadilika kwenye nyanja ya mawasiliano kwa umma hasa namna ya kukabiliana na tuhuma na uzushi wa kwenye mitandao ya kijamii lakini pia kwenye kuvuja kwa siri za Ikulu. Kwa jinsi ambavyo serikali/Ikulu imekabiliana na uzushi uliofanyika kwa...
  3. Breezyman

    Ni taratibu zipi natakiwa kuzijua kwenye uombaji wa cheti mbadala kutoka NACTE

    Msaada wa pendwa cheti changu cha Diploma kimungua kwa ajari ya moto, nimekwama baada ya kushindwa kupata muongozo kutoka kwenye website ya NACTE. Ni kiasi gani cha fedha na muda wa kupata hicho cheti mbadala ni upi?
Back
Top Bottom