mbali

Enhle Mbali Mlotshwa (born 3 March 1988), is a South African actress, TV presenter and fashion designer. She is known for her breakthrough role on the South African Television Series, Tshisa. She launched the maternity wear range SE Preggoz in South Africa and New York in 2015.

View More On Wikipedia.org
  1. Sky Eclat

    Ubora wa mbali ngumu ( hard wood)

    Mbao ngumu hupendeza machoni pia zina dumu kwa miaka mingi, wadudu si rahisi kushambulia mbao ngumu. Ni vizuri pia kuzilinda kutokana na kemikali pamoja na mwanga wajua pia maji ya mvua. Polish mara kwa mara huongeza ubora wa mbao ngumu. Ninapoongelea mbao ngumu ni miti ambayo siku hizi ni...
  2. B M F ICONIC

    Msanii Rema anamzidi mbali Diamond Platinumz kifedha

    Kwa vigezo Hivi. Moja kwa moja twende kwenye Mada. 1. STREAMS KWA UPANDE WA SPOTIFY Kwa upande wa hizi streaming platform Apple music ndo uongoza kwa kulipa vizuri ikifatiwa na Spotify, Youtube hulipa pesa ndogo zaidi. Kama unavyoona hapo chini Ikumbukwe Diamond ni kinara upande wa Youtbe...
  3. kavulata

    Tanzania tusiwe mbali na BRICS, tutachelewa

    Kwa muda mrefu Tanzania tulijiweka katikati ya dunia kupitia siasa ya nje ya kutofungamana na upande wowote, sera hii imetuchelewesha sana kwakuwa hakuna anaetuamini kwa 100% badala yake tuko 50/50. Hii imesababisha kukosa fursa nyingi kutoka Magharibi na Mashariki na Asia (waisalamu). Kenya...
  4. K

    Tanzania tungekuwa mbali sana, Kikwazo ni CCM

    Ni wazi sasa Tanzania ingekuwa mbali sana kama tungekuwa na vyama pinzani ambavyo ni 50/50 kuliko sasa nchi yetu iko chini ya udikteta wa walarushwa nawabinafsi wa CCM. Tungekuwa mbele kwenye haya 1. Tungekuwa na katiba mpya ambayo inajali maendelo 2. Tungekuwa na mifumo isiyotegemea rushwa...
  5. mr pipa

    Kataa ndoa naona mmeamua kufika mbali h

    KUNa vitu vina tia sana uchungu
  6. JanguKamaJangu

    Mahakama yatupilia mbali Afande Fatma kusomewa mashtaka popote alipo

    Kesi inayomkabili 'Afande' Fatma Kigondo, anayeshtakiwa kwa kuratibu ubakaji na ulawiti wa kundi dhidi ya binti wa Yombo, Dovya jijini Dar es Salaam, imeendelea Oktoba 18, 2024, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma. Hakimu anayesikiliza kesi hiyo, Nyamburi Tungaraja, ametupilia mbali maombi...
  7. B

    Misso Misondo naona anazidi kwenda mbali

    Kiutani utani nilisikia wimbo wa kwenye vibanda vya muziki nikiwa napita, mdundo wake ulinivuta nikazama SHAZAM kujua ni msanii gani kahusika. Duh mkali wa singeli Misso Missonda naona kapita na wimbo wa kihindi na kuuleta kwenye mahadhi ya kisingeli cha bongo. Wimbo ni hatari unaitwa TERA...
  8. K

    Napendaa mambo ya modeling sana na natamani nifike mbali lakini bado sijapata connection nzuri ili niweze kutimiza ndoto zangu

    Hello naitwa Jenipha napenda sana mambo ya modeling lakini Bado sijapata connection au njia rasmi ya kuweza kutimiza ndoto zangu nahitaji msaada wenu. 0713776534
  9. Down To Earth

    Computer ya IBM mwaka 1947: Wazungu wametoka mbali sana.

    Huyu ni Computer engineer, hapa anafanya wiring mwaka 1947 safari ya wazungu katika suala la Tech wametoka mbali sana
  10. KENZY

    Je, kuna namna naweza ku play music ya simu yangu hata kama ipo mbali na mimi..?

    kichwa cha habari kinajielezea labda kwa faida ya ambao hawajaelewa ni hivi.. Nawezaje ku access miziki ya simu yangu hata kama nikiwa mbali na simu yangu..? Yaani hata kama simu ipo mbali nawezaje kupata playlist ya miziki yangu kupitia kifaa chengine...????
  11. M

    Wewe halisi upo kwenye matendo ufanyayo ukiwa mbali na anayekuamini

    Kama mkiwa wote unaongea tofauti na matendo ufanyao pindi akiwa hakuoni jua wewe ni muigizaji tu na uhalisia wako upo kwenye hayo matendo ukiwa mbali. Wengi hutafuta KUAMINIKA kuoitia maneno yao ila uhalisia haupo hivyo na wewe ni yule ambaye unafanya yale ambayo huonekani mbele za...
  12. Li ngunda ngali

    Israel: Tutawafikia popote mdhanipo ni mbali

    Waziri wa Ulinzi wa Israel ametamba kwa kusema kwamba, wao kama Israel halipo eneo la mbali kwao wakiamua kukufikia ama kukushughulikia.
  13. kibori nangai

    Kiongozi mwingine wa Magaidi kafyekelewa mbali leo huko Beirut makao makuu ya Isbollah Lebano

    Wakuuu hizi ndio habari duniania Israel 🇮🇱 kupitia kikosi makini kabisa Imelipua makao makuu ya Isbollah mjini Beirut Lebanon 🇱🇧 Ikaenda na kichwa cha mkuu wao leo Huku Waziri mkuu mwenye akili kuliko wote duniani Benjamin Netanyahu Akiambia dunia Ukitupiga tunakupiga ,hakuna sehemu katka...
  14. okiwira

    SI KWELI Kuna maji yenye rangi mbili ndani ya bahari moja na hayachanganyiki?

    Mbali na sababu za kiimani, Ni kweli kuna bahari ambazo zina maji ya rangi tofauti ndani ya bahari moja na maji hayachangamani japokuwa yanagusana?
  15. G

    Tunakumbushana tu ! 2040 sio mbali sana, Hii ndio miaka utayokuwa nayo ukiwa bado hai, Usijisahau sana

    Mwaka 2040 sio mbali sana, Tusijisahau sana kwenye kujiandaa na uzee, kujali afya zetu, kuwekeza, n.k. Umezaliwa 1970, ukifika 2040 utakuwa na miaka 70 Umezaliwa 1971, ukifika 2040 utakuwa na miaka 69 Umezaliwa 1972, ukifika 2040 utakuwa na miaka 68 Umezaliwa 1973, ukifika 2040 utakuwa na...
  16. chiembe

    Kwa kuwa kile chama kinaonekana kujihusisha na wanajeshi (JWTZ) wastaafu, nashauri pia shughuli zao za maandamano JWTZ wasiwe wanakaa mbali.

    Mwanajeshi mstaafu ni askari wa akiba mpaka kifo, ana kiapo kwa Amiri Jeshi Mkuu na Mkuu wa Majeshi, muda wowote anaweza kupewa amri afanye shughuli za kijeshi. Vinginevyo anahesabika muasi. Nimeona wanajeshi wenye mafunzo maalum waliofukuzwa au kustaafu Jeshi wanajihusisha na hicho chama...
  17. F

    Rais Samia angekuwa mkali kwa wazembe, wezi na mafisadi nchi yetu ingefika mbali sana kimaendeleo

    Watu wanasema kama rais Samia anaweza kuonesha ukali kwa viongozi wa vyama vya upinzani na watu wenye mawazo kinzani na yeye kumbe anaweza kuwa mkali kwa wazembe na mafisadi waliopo nchini ambao ndio kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya nchi hii. Nchi yetu hupoteza matrilioni kutokana na uzembe wa...
  18. snipa

    Kesi ya Google: Hatimaye waanza kurecommend browser nyingine mbali na chrome, Je Kuna haja Serikali yetu ikaondoa monopoly inayofanywa na Bakhresa ?

    Wanajukwaa ikumbukwe Google walishtakiwa Kwa kufanya monopoly kwenye search engine ikiwa ni pamoja na kumiliki platform nyingi kama vile, Android, Chrome, YouTube, Gmaps, Gmail, Gmeet, n.k now wameshtuka wanarecommend pia na browser nyingine Lakini Kesi kubwa ilikuwa ni kudominate search...
  19. N

    Kwa wale wanaotaka kufika mbali

    Kama kuna vitu vipya vinavyoingia kwenye ubongo wako lazima kuwe na vitu vya zamani vinaondoka mfano: Mtoto aliyezaliwa na kufikia hatua ya kutembea kuna akili mpya ilimjia na kuondoa jumla akili ya zamani ya kutambaa ndio maana huwezi kukuta mtoto wa miaka mitano bado anatambaa...
  20. WENYELE

    Tunatoka mbali na Mungu huinua

    Wakuu nimekuja tu hapa kutia Moyo wapambanaji wote waliokata tamaa. Leo kwa mara ya kwanza nimeamka kutoka kwenye nyumba niliyojenga mimi. Ni miaka 10 ya jasho na damu hatimaye jana nimehamia. Mungu ni mwema, tuendeleze mapambano; kwa wale mliofanikiwa zaidi Mungu azidi kuwapandisha, kwa wale...
Back
Top Bottom