mbaya

The Mbayá or Mbyá are an ethnic group, commonly called "Indians", which formerly ranged on both sides of the Paraguay River, on the north and northwestern Paraguay frontier, eastern Bolivia, and in the adjacent province of Mato Grosso do Sul, Brazil. They have also been called Caduveo. In the 16th century the Mbayá were called Guaycuru, a name later used generically for all the nomadic and semi-nomadic Indians of the Gran Chaco. The Kadiwéu people of Brazil are the surviving branch of the Mbayá.The Mbayá called themselves the Eyiguayegis 'people of the palm', a reference to the abundant palm trees in their home country. (The name Eyiguayegis is similar to that of Agaces or aigeis, a name more often applied to the related Payaguá. Possibly the two peoples were nearly the same in the 16th century.) The Mbayá spoke a Guaycuruan language. They were "formidable" fighters and "kept the Europeans – settlers and priests alike – at bay" for more than 300 years.The Mbayá were nomads. With horses captured from the Spanish, the Mbayá developed an equestrian culture by about 1600 and were a serious threat to Spanish and Portuguese settlers, missionaries, and governments in Paraguay, Bolivia, and Brazil until near the late 19th century. They also raided and subjugated other Indian groups, notably the Guana. They were generally friendly with the Payaguá, who lived along the Paraguay River and had a riverine culture.

View More On Wikipedia.org
  1. Expensive life

    Ukweli usemwe jezi za Yanga ni mbaya

    Misimu miwili nyuma Yanga walikuwa na jezi nzuri sana hila hizi za msimu huu ni mbayaaaa.
  2. GENTAMYCINE

    Inakera Kumsubiria kwa hamu na muda mrefu Demu halafu akitokea unamkuta ni mbaya ( wa Kawaida ) mno

    adriz na Bila bila Elimu yetu ile Kubwa ya kule Peru na Costa Rica imetusaidia sana kuwaza mbali zaidi ambako Wengine hawawezi. Simpigii tena Promo Demu ambaye hata bado sijamuona nikihisi labda ni mzuri na atanifikisha Kileleni na Begi langu baada ya kumuona huyu Demu wa Jana ni wa Kawaida (...
  3. TODAYS

    Mbona hatueleweki, akisema mbaya au nzuri yote tunashangilia, angalia Hayati Magufuli anavyoshangiliwa

    Uzuri wote tulivaa kijani na njano, hakukuwepo na kaki au nyekundu humo ndani. Kama una bundle angalia na usikilize hii 👇🏾. Mzee baba alikuwa anapiga madongo ya kusiliba aina ya ukopaji na kuomba ovyo misaada, hii ilionyesha alikerwa sana na mfumo wake. Ndugai (huyu aliyewahi kuwa spika...
  4. Z

    Mkataba wa Bandari wanaoona ni mbaya na wanaona ni mzuri kaeni meza moja

    kwa nini wa africa tunapenda ugomvi ?kama mkataba bandari kati ya Tanzania na DP World kuna wanaona ni mkataba ni mzuri na wengine ni mbaya kwa nini wasiitane wakakaa pamoja wakaelewashana mambo yakaisha kuliko kutukanana na kupelekana police na mahakamani? wanaolumbana wote ni wantanzania...
  5. polokwane

    Hii nchi kwa sasa inakosa viongozi wenye maono na tunakoelekea hali itakuwa mbaya zaidi

    Kwa sasa tuna uhaba mkubwa sana wa watu wenye maono na fikra, wengi waliopo kwa sasa kizazi hiki ni wale ambao hawaijui kuwaza ya kesho na hawana maono ya kesho. Wao wanaiwaza leo tu na mawazo yanaishia hapo na ndio maana hakuna kitu kipo katika mpangilio mzuri wa baadae kila jambo linafanyika...
  6. R

    Wakili Madeleka: Kauli aliyotoa Masauni inathibitisha hafahamu wajibu anaoutumikia, inawezekana alipewa kwa bahati mbaya

    Wakili Madeleka amesema mamlaka aliyonayo Masauni kama Waziri wa Mambo ya Ndani ni mamlaka ya kisera kuhusu vyombo ambavyo vipo chini ya wizara ile lakini hana mamlaka ya kiutendaji ya kila siku ya vyombo vile. Kama ni polisi kuna IGP mwenye majukumu yake na yuko trained kuyatekeleza majukumu...
  7. GENTAMYCINE

    Kumbe tumetanguliza Kutoa Jezi zetu Mbaya ili tupate Pesa ya Usajili?

    Na mpaka sasa Jezi zimedoda katika Maduka mengi na kuna uwezekano zikashushwa Bei hadi Kuuzwa Shilingi Elfu Tatu ( Tsh 3,000/= ) ili tupate Pesa za Kumalizia Deni la Kocha Mbelgiji ili FIFA wasitufungie kabisa Kusajili na kwa upande wa Wachezaji waliobakia ( ila tunawahitaji ) na wale Wapya...
  8. OKW BOBAN SUNZU

    Mwakinyo: Masikini ana roho mbaya sana

    Bondia ana hoja asikilizwe
  9. R-K-O

    Naona wazi kabisa kukiwa na nchi ya Tanganyika Demokrasia itakuwa ni ndogo sana, nchi itaongozwa kimuseveni kwa mabavu zaidi

    Mzanibari pamoja na makando kando yake ila akiingia huwa kuna unafuu katika demokrwasia (hatujawai kuwa na demokrasia kamili) Tunapotoka kwenye awamu za uminyaji wa demokrasia basi mzanzibari akiingia ndio tunapata nafuu ya demokrasia kuanzia uhuru wa kutoa maoni, Vyama vya upinzani hupewa...
  10. Roving Journalist

    Mdau huduma ya vyoo vya Wanawake SabaSaba ya Dar ni mbaya, vyoo ni vichafu

    Mdau ameshusha andiko lake hili hapa, tulisome tunaweza kupata kitu au ikiwezekana wahusika wachukue hatua... Japokuwa maonesho yanaelekea mwishoni lakini si vibaya tukipaza sauti changamoto ya huduma mbovu ya vyoo vinavyotumiwa na Wanawake ndani ya maonesho ya Viwanja vya SabaSaba, kwa ufupi...
  11. Street brain

    Fanya haya unapoona hali yako ya maisha ni mbaya au umasikini umezidi

    Nifanye nini ninapoona maisha yangu yanaendelea kuwa magumu Wakati maisha yanapoendelea kuwa magumu, kuna hatua kadhaa unazoweza kuchukua: Chambua hali yako: Tafakari kwa kina kuhusu sababu zinazofanya maisha yako yawe magumu. Je, kuna changamoto za kifedha, kiafya, au za kihisia? Kuelewa...
  12. Analogia Malenga

    Kidunda Mtu mbaya kuzichapa na mkongo

    Leo ndio ile siku Suleiman Kidunda anazichapa na mkongo. Kwasasa tunacheki burudani ya mapambano ya utangulizi taarifa zaidi kukujia hivi punde
  13. Mwamuzi wa Tanzania

    Ukatili na roho mbaya katika kundi hili la bodaboda vinasababishwa na nini?

    Hili kundi la bodaboda a.k.a Maafisa usafirishaji mostly ni watu wakatili na wenye roho mbaya. Kijana mwenzao kapata pikipiki ya mkataba akipeleka pua tu kwenye kijiwe wanamtoza laki 2, 3, 4 au aondoke haraka kabla hawajamwitishia mwizi. Laki 3 kijana ambaye ni jobless ndio kwanza kapata...
  14. Teko Modise

    Remmy Ongala aliwahi kukata rufaa akipinga kushindwa na Masoud sura mbaya katika shindano la wenye sura mbaya

    Mwanzoni mwa miaka ya 2000 kuliwahi kuandaliwa shindano la wenye sura mbaya Tanzania kwa upande wa wanaume. Wanawake walikataa hivyo likaandaliwa la wanaume tu. Washiriki walikuwa wengi lakini waliofanikiwa kufika top 3 walikuwa ni Mzee Jangala, Remmy Ongala na Masoud Sura Mbaya. Baada ya...
  15. Mwachiluwi

    Tamaa za kimwili ni mbaya sana ukishindwa kuzi control

    Hellow Africa 🌍 Mwili una unaushawishi mkubwa sana ambapo ukishindwa kabisa kuzizibiti mwisho wa siku una aangukia poor Wanasayansi wanasemaga matendo yetu. Yanategemeana na vitu vitatu ID EG NA SUPER EGO hizi huwa zinavutana sana kila moja inataka ishinde mwili na akili pia zinategemana...
  16. OKW BOBAN SUNZU

    Wanawake washauriwa kuacha roho mbaya na husda

    Na mimi nakazia, wanawake acheni roho mbaya
  17. Expensive life

    Ni kweli ili ufanikiwe kimaisha unapaswa kuwa na roho mbaya?

    Ndugu zangu, kuna ukweli hapa kuwa ukiwa na roho nzuri sana, ni nadra sana kufanikiwa kimaisha? Binafsi kwangu naona ili ufanikiwe kimaisha pale unapopata nafasi, kazi/ biashara inayokupa kipato unapaswa kuwa katili sana. Ukatili huu ni kuwa na roho mbaya kwenye pesa, yaani siyo kila mtu...
  18. M

    Umaskini ni laana; nimeamini pia maskini ana roho mbaya sana

    Hiki niandikacho ni kisa cha kweli na ndicho ninachopitia. Nikiri kwamba nimezaliwa kwenye umaskini na nimesomeshwa kwenye umaskini mpaka namaliza elimu yangu Nilisota kidogo tu kitaa baada ya kumaliza elimu nikapata kazi sehemu nikaajiriwa, baada ya mda kutokana na Tabia yangu ya ukimya na...
  19. Mwizukulu mgikuru

    Rais Samia ni mtu mwema sana ila amezungukwa na watu waroho na wenye roho mbaya

    Kwanza kabisa huyu mama ni mchamungu na nadhani nyie wenyewe ni mashahidi, hajawahi kuingia msikitini na camera. Mama amekuwa ni mtu wa kutoa sadaka kwa wingi hasa kwa watu wenye uhitaji na hata wale anaowapa misaada huwa hatuoni wakimulikwa na camera kama alivyokuwa anafanya mwendazake. Suala...
  20. sanalii

    Kama UKIMWI wa 2005 kurudi nyuma ungekuepo sasa, hali ingekua mbaya sana

    Vijana wadogo wanafanya sana ngono zembe ( kuuza mechi) na wanawake ambao kama vile wameshajikatia tamaa au kujitoa mahuru, hawataki mwanaume atumie condom. Nikikumbuka vile VVU vya 2005 kurudi nyuma, 1. Nywele zinanyonyoka af zilizobaki zinakua kama za kiarabu. 2. Mabega yanapanda juu na...
Back
Top Bottom