mbele

Blaise Lelo Mbele (born 10 August 1987) is a retired Congolese footballer who last played for Al-Ahli Club. Lelo previously played for different professional clubs such as South African giants, Orlando Pirates FC and the Saudi Arabian club, Al-Hilal FC.

View More On Wikipedia.org
  1. H

    Kuweka tinted kioo cha mbele cha gari

    Katika mazingira ya kawaida kuweka tinted sio tatizo na yapo baadhi ya magari huuzwa yakiwa nayo kutokata na kazi ya msingi iliyokuwa inafanywa na gari husika Ila sasa huku ULIMWENGU WA TATU imekuwa changamoto pale watu wenye nia ovu wanapotumia huo mwanya kufanya uhalifu Mfano: 1. Watekaji...
  2. chiembe

    Je kwa tukio la Msigwa, Lissu ataanza kumuheshimu Mbowe kwa kuipanga Kanda ya Nyasa na kuona mbele?

    Lissu alienda Iringa akimtetea Msigwa kwa nguvu zote hata kumdhalilisha Mh. Mbowe, je Lissu ataanza kuheshimu beacons za siasa za upinzani, hasa Mbowe zinapotoa msimamo? Je Lissu bado hajajua huyo anayemuita "Abdul" alikuwa anawasiliana na nani (kama ni kweli, maana Lissu kwa uongo)? Je alienda...
  3. Webabu

    Wanaume Ukraine waacha kwenda masokoni,mikahawani,shughulini na sehemu za ibada kuogopa kukamatwa kupelekwa mstari wa mbele

    Kaka Serhiy na dada Tania walikatisha kufanya harusi yao ufukweni mwa bahari wakihofia hali mbaya ya hewa.Hata walipoingia kwenye ukumbi walikoalkwa wageni kushuhudia harusi yao bado waligundua hali isiyo rafiki kwa furaha yao.Viti zaidi ya nusu vilikuwa ni vitupu ikiwa na maana waliohudhuria ni...
  4. GENTAMYCINE

    Watanzania mbona hamtaki Kujibu Swali la Msingi lililopo katika Ukurasa wa Mbele kabisa wa Gazeti pendwa la Werevu Tanzania la MWANANCHI?

    Tafadhalini hebu lijibuni bhana kwani Watanzania wengi tusiosoma ( kama GENTAMYCINE ) tunahitaji Majibu yenu Ok?
  5. afrixa

    SoC04 Tanzania miaka 25 mbele

    Naipenda nchi yangu i: Ushauri kwa Serikali - “Tanzania Tuitakayo” Ndugu Mheshimiwa Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan Sekta ya Elimu: Ili kuendeleza taifa letu, ni muhimu kuwekeza katika elimu kuanzia ngazi ya msingi hadi vyuo vikuu. Serikali ihakikishe inaboresha miundombinu ya shule, kuongeza...
  6. uhurumoja

    Wakati afrika inawaza kupeleka mbele Afcon 2025 naiona Euro inayoongozwa na watu wenye msimamo iking'ra sana

    Motsepe na genge lake bado hawana uhakika wa kuwa na Afcon msimu wa 2025 kwa sababu inaingiliana na ratiba mpya ya vilabu duniani. Wakati huo huo msimu huu inaonekana kabisa Euro inaenda kuwa na ushindani mkubwa na mvuto usiomithirika kiasi kwamba watu hata hawaongelei Copa America. Namshauri...
  7. D

    Bacca after this season, apewe trial Ulaya. He is too good

    Kwa Tanzania Bacca mna tunachomdai? He is very good, naona next season Yanga wampe uhuru akacheze Ulaya hata trial tu. Wasting his potential at Yanga. Huyu hata Manchester United anapita.
  8. RedPill Prophet

    Mwanaume, usifanye mambo ya kijinga ukiachwa na mwanamke. Ishi maisha yako na usonge mbele

    Wanaume wengi huchanganyikiwa kwa sababu tu mwanamke huachana nao. Hii inasababisha wanaume: - Kunywa pombe na kulewa, wengine wanatumia dawa za mitishamba na kichawi kwa lengo la kumpata. - Wanapoteza mwelekeo wa maisha na kuanza kutokuwa na tija, kwa sababu ya kuvunjika moyo wengine...
  9. T

    Pre GE2025 Maamuzi magumu yapo mbele ya wana Kidon wa Tanzania

    Taifa la Tanzania nakupenda nalipenda jeshi lake nawapenda wanausalama na wana Usalama wa Taifa letu teule Tanzania Tanganyika. Neno la Mungu lina sema mavuno yapo tayari mtoto anataka kujifungua mimba umefika miezi tisa. Mtoto huyo je ni wakwetu ama baba yake yupo nje ? Mtoto huyo ana nguvu...
  10. Bodhichitta

    Nimefungua voice note ya boss wangu mbele ya mke wangu

    Waungwana hamjambo? Nimetoka kazini saivi, mke wangu akaniita jikoni niende kuangalia alichopika. Nikajivuta nikaenda mara nasikia notification ya Whatsapp ndindindiii Kufungua boss katuma voice note nikajichanganya kufungua, nimekula mgomo huo, ikabidi nipozi kwanza isiendelee. Mke wangu...
  11. Suley2019

    Michuano ya AFCON ya 2025 imesogezwa mbele mpaka Januari 2026

    Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limeahirisha rasmi michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 na badala yake itafanyika Januari 2026. Uamuzi huu umefanywa ili kuepusha mgongano wa ratiba na Kombe la Dunia la Vilabu la FIFA, linalotarajiwa kuanza Juni 15 hadi Julai 13, 2025...
  12. BARD AI

    Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika na Diwani wa Cheyo kufikishwa mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma

    Sektretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, inatarajia kumfikisha mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika, Onesmo M. Buswelu kwa tuhuma za Ukiukwaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Pia, Sekretarieti hiyo itamfikisha mbele ya Baraza hilo, Yusuph H...
  13. Kitimoto

    CCM mbele kwa mbele 2025

  14. MamaSamia2025

    Hawa Sio Comedians ila wakiongea mbele ya watu lazima tucheke sana

    Hawa ni watu ambao uchekeshaji sio kazi yao rasmi ila kila wanapoongea mbele za watu au kwenye mahojiano hawaachi kuwavunja watu mbavu. 1. Mheshimiwa Makongoro Nyerere 2. T.I.D 3. RC Chalamila 4. RC mstaafu Aggrey Mwanri 5. Ommy Dimpoz 6. Mheshimiwa Kishimba 7. Babalevo 8. Mheshimiwa Kibajaji...
  15. amadala

    Ulishawahi kupewa zawadi hewa mbele za watu?

    Hello Wadau wa JF! Weekend ipo vipi pande hizo? Binafsi ipo poa nimeshapata breakfast ya chapati za kusukuma, rosti la maini na kachai ka maziwa pembeni. Kwa wale wapenzi wa Korean Drama Leo nimerudi 2016 naangalia Shopaholic Luis. Kwenye 1 2 3 nimekumbuka siku ya sherehe yangu kaka yangu...
  16. L

    Pre GE2025 Ni aibu kubwa sana CHADEMA kupigana ngumi katika Uchaguzi mbele ya Naibu katibu Mkuu wake Benson Kigaila

    Ndugu zangu Watanzania, CHADEMA ni chama cha ajabu sana,ni chama kinachotia aibu sana,ni chama kinacholeta fedheha kubwa sana,ni chama kinachoendeshwa na kwenda utafikiri mtu aliyepofuka macho,ni chama kisicho heshimu hata uwepo wa viongozi wake wa ngazi za juu,ni chama ambacho kinawakatisha na...
  17. Melki Wamatukio

    Kwani kuna ulazima wa mwanaume kufanya mapenzi na kila mwanamke aliye mbele yake?

    Hii inakwenda kunipita mbali kwakweli. Hapa jirani kuna binti ambaye ni mzuri tu kimuonekano ambaye huwa naponea kwenye mwili wake Kabla ya kukubaliwa naye, nilipitia magumu mengi ya kupata shamba la kumwagia mbegu zangu hapa mtaani, maake kila niliyemuhitaji alinipiga chenga. Mimi na huyu...
  18. Strong and Fearless

    Je, unajiskiaje wenzako wa rika lako wakiwa mbele kimaendeleo?

    Je, unajiskiaje wenzako wa rika lako wakiwa mbele kimaendeleo Yani wamekuacha. Je, utakuwa Karibu nao kwa kujipendekeza ili wakupe connection Au utaamua kujitenga nao?
  19. cacutee

    Wanaume 'players' wana nguvu ya hoja kiasi kwamba mwanamke hapangui mbele yake

    Leo ni jumatatu na kama ilivyo Ada watu wako busy haswaa....pamoja na uchovu wa week end lakini watu wanajongea maeneo Yao ya kujitafutia rizikii. Bila shaka na nyie wa JF wenzangu mko sawa kabisa kiafya. Let's get Back to our business... Mwanaume shababi, asiyetulia au kwa jina baya Sana...
  20. sangaone98

    Vyeti visivyo na nguvu mbele ya five experience na umekaa shule miaka 17

    Hiki ni kipindi kigumu sana kwa upande wa vijana hasa kwa watoto wa kiume. Mambo yamegeuka kabisa Zamani jamii ilikuwa inaamini mtu alie soma ndie mkombozi wa jamii hasa kwenye swala la uchumi lakini mambo yamekuwa sio kwa miaka ya 2000 to date. Kila mmoja anashuudia maajabu yanayo fanywa na...
Back
Top Bottom